marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

trendbet

padişahbet

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

imajbet

lunabet

holiganbet

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

türk porno

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

bahiscasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet giriş

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

merit

betist

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

Uncategorized

MHE. MUNDE AHIMIZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MADINI YA GRAPHITE MOROGORO

Written by Alex Sonna


Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb) akisisitiza kuongeza kasi ya kuanza kwa Mradi wa uchimbaji wa madini ya Graphite uliopo Mahenge Mkoa wa Morogoro, wakati wa mkutano na Ujumbe wa Kampuni ya Faru Graphite Corporation Limited uliongozwa na Afisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni hiyo, Bw. Paul Sims, uliofanyika Ofisini kwake, Treasury Square, jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb) akipokea zawadi ya Kofia kutoka kwa Kiongozi wa Ujumbe wa Kampuni ya Faru Graphite Corporation Limited ambaye ni Afisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni hiyo, Bw. Paul Sims, baada ya mazungumzo kuhusu utekelezaji wa mradi wa huo, uliofanyika Ofisini kwake, Treasury Square, jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb) akiagana na Meneja Mkuu wa Uhandisi na Masuala ya Kiufundi wa Kampuni ya Faru Graphite Corporation Limited, Bw. Daniel Pantany, baada ya mazungumzo kuhusu utekelezaji wa mradi wa uchimbaji wa madini ya Graphite mkoani Morogoro, uliofanyika Ofisini kwake, Treasury Square, jijini Dodoma.

Kiongozi wa Ujumbe Kampuni ya Faru Graphite Corporation Limited ambaye pia ni Afisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni hiyo, Bw. Paul Sims, akieleza manufaa ya Mradi wa madini ya Graphite wakati wa mkutano na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), uliofanyika Ofisini kwake, Treasury Square, jijini Dodoma, kushoto ni Meneja Mkuu wa Uhandisi na Masuala ya Kiufundi Kampuni hiyo, Bw. Daniel Pantany.

Ujumbe wa Wizara ya Fedha ukiwa katika mkutano kati ya Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb) na Ujumbe Kampuni ya Faru Graphite Corporation Limited ulioongozwa na Afisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni hiyo, Bw. Paul Sims, kuhusu utekelezaji wa mradi wa Madini ya Graphite ulioko mkoani Morogoro, uliofanyika Ofisini kwake, Treasury Square, jijini Dodoma

Ujumbe Kampuni ya Faru Graphite Corporation Limited ulioongozwa na Afisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni hiyo, Bw. Paul Sims, ukiwa katika mkutano na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), kuhusu utekelezaji wa mradi wa uchimbaji wa madini ya Graphite ulioko mkoani Morogoro, uliofanyika Ofisini kwake, Treasury Square, jijini Dodoma

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb) akiongoza mkutano kati yake na Ujumbe Kampuni ya Faru Graphite Corporation Limited ulioongozwa na Afisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni hiyo, Bw. Paul Sims, kuhusu utekelezaji wa mradi wa uchimbaji wa madini ya Graphite mkoani Morogoro, uliofanyika Ofisini kwake, Treasury Square, jijini Dodoma

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb) (wa nne kulia) na Kiongozi wa Ujumbe wa Kampuni ya Faru Graphite Corporation Limited ambaye pia ni Afisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni hiyo, Bw. Paul Sims, wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa pande hizo mbili, baada ya mkutano utekelezaji wa mradi wa uchimbaji wa madini ya Graphite Morogoro, uliofanyika Ofisini kwake, Treasury Square, jijini Dodoma

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha)

Na. Peter Haule na Jordan Mbwambo, WF, Dodoma

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), amehimiza utekelezaji wa Mradi wa uchimbaji madini ya Graphite uliopo Mahenge Mkoa wa Morogoro ili uanze kutoa manufaa yaliyotarajiwa kwa watanzania kwa wakati.

Rai hiyo imetolewa Ofisini kwake jijini Dodoma wakati wa mkutano kati yake na Ujumbe wa Kampuni ya Faru Graphite Corporation Limited ulioongozwa na Afisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni hiyo, Bw. Paul Sims.

Mhandisi Munde alisema kuwa, Serikali itaendelea kutoa msaada katika kufanikisha utekelezaji wa mradi huo unaokwenda sambamba na wajibu wa mwekezaji katika masuala ya uwazi, utii wa masharti yaliyowekwa na ushirikiano wa karibu na mamlaka husika kadri utekelezaji unavyoendelea.

“Napenda kuihimiza kampuni yenu kuhakikisha kuwa mchakato wa upatikanaji wa mtaji unakamilika ndani ya muda uliokubaliwa ili kuanza utekelezaji wa mradi na kwamba fedha hizo zinaelekezwa kwa mujibu wa taratibu zilizokubaliwa”, alisema Mhandisi Munde

Alisema kuwa Serikali inatarajia mchango wa mradi huo katika upatikanaji wa ajira, kukuza fursa za biashara za ndani, kuongeza mapato ya fedha za kigeni, kuendeleza mnyororo wa thamani wa madini ya Graphite, kukuza viwanda, pamoja na kuongeza mapato ya muda mrefu ya Serikali yanayotokana na ushiriki wake katika mradi huo.

Vile vile alieleza kuwa mradi huo utatoa kipaumbele kwa maudhui ya ndani (local content), ikiwemo matumizi ya bidhaa na huduma za ndani, na pale ambapo ushiriki wa nje utahitajika, kutakuwa na utaratibu unaohakikisha ushiriki wa wazawa usiopungua asilimia 30, kwa kuzingatia makubaliano yaliyopo.

Aidha, Mhandisi Munde aliihakikishia Kampuni hiyo kuwa Serikali itaendelea kuunga mkono uwekezaji wa kimkakati unaoendana na vipaumbele vya maendeleo ya Taifa ikizingatiwa kuwa mradi huo ni sehemu ya nafasi ya kimkakati ya Tanzania katika madini muhimu duniani.

Kwa upande wake Kiongozi wa Ujumbe wa Kampuni ya Faru Graphite Corporation Limited ambaye ni Afisa Mkuu wa Fedha wa Kampuni hiyo, Bw. Paul Sims, alisema kuwa mradi utasaidia katika maendeleo ya viwanda na kuimarisha nafasi ya Tanzania katika usambazaji wa madini muhimu yanayotumika katika uzalishaji wa kisasa na teknolojia za nishati safi.

Bw. Sims ameahidi kuongeza jitihada katika kuhakikisha mtaji unapatikana kwa haraka na kuanza kwa utekelezaji wa mradi huo na aliomba Serikali kuendeleza ushirikiano na wadau muhimu ili kufanikisha mradi huo kuanza kwa wakati.

About the author

Alex Sonna