Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

Brain Savior Review

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

madridbet giriş

NervEase

hacker google hacked

sapanca escort

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Jojobet

marsbahis

mislibet

imajbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

betoffice

coinbar

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

matbet, matbet giriş

perabet, perabet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

holiganbet

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

piabellacasino

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

truvabet, truvabet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

supertotobet

tümbet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

betixir

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

tarafbet giriş

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

goldenbahis

artemisbet

imajbet

artemisbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

piabellacasino giriş

jojobet

celtabet

holiganbet

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

tipobet

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet

casibom giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

betcio, betcio giriş

pokerklas, pokerklas giriş

betsat

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

piabellacasino

jojobet

tipobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

madridbet

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

interbahis

winxbet, winxbet giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

pusulabet

Vdcasino

marsbahis

matbet

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

grandpashabet

Hacklink panel

mislibet giriş

holiganbet giriş

grandpashabet

holiganbet

jojobet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

roketbet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

safirbet

casifix

robinbet

jojobet

imajbet

pusulabet

pusulabet

matbet

Featured Kitaifa

WIZARA YA ELIMU YAIBUKA KINARA KATIKA MATUMIZI YA GESI

Written by mzalendo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 20, 2024 Jijini Dodoma kuhusu hatua za utekelezaji wa katazo la matumizi ya kuni na mkaa. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Bw. Abdallah Hassan Mitawi.

Na.Alex Sonna-DODOMA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Dkt. Selemani Jafo ametaja Taasisi za serikali zinazolisha watu zaidi ya 100 kwa siku zilizotekeleza katazo la matumizi ya kuni na mkaa huku Wizara ya Elimu ikiwa kinara kwa kutekeleza agizo hilo kwa asilimia 85.

Waziri Jafo ameyasema  hayo  leo Februari 20,2024 jijini Dodoma wakati akitoa taarifa kwa  waandishi wa habari kuhusu Taasisi ambazo zimechukua hatua za kuachana na matumizi ya kuni na mkaa.

Waziri Jafo amesema kuwa Wizara sita zimetekeleza maelekezo ya Serikali ya kuhama kutoka matumizi ya kuni na mkaa na kuhamia katika matumizi ya nishati safi ya kupikia.

”Katika sekta ya Elimu hadi kufikia Januari 31, mwaka huu jumla ya Vyuo vya Ualimu 30 kati ya 35 sawa na asilimia 85.71 ya lengo, Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi 51 kati ya 54 sawa na asilimia 94.44 ya lengo, na Vyuo vya Elimu ya Ufundi (VETA) vinane (8) kati ya 36 sawa na asilimia 22.22 vimeshaunganishwa na huduma ya Nishati Mbadala ya Kuni Poa.”amesema Dkt.Jafo

Aidha amefafanua  kuwa  vyuo vya maendeleo ya wananchi 51 kati ya 54  sawa na asilimia 94.44 ya lengo na vyuo vya elimu ya ufundi (VETA) nane kati ya 36  vimeshaunganishwa na huduma hiyo ya nishati mbadala .

”Naipongeza Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekuwa kinara kwa taasisi zake kutekeleza agizo hili la Serikali kwa zaidi ya asilimia 85.”amesema Waziri Jafo

Amesema lengo la maelekezo hayo ni kupunguza madhara ya kiafya na mazingira yanayosababishwa na kukithiri kwa matumizi ya kuni na mkaa katika jamii zetu na ukataji wa miti kwa ajili ya nishati ya kupikia.

Dkt. Jafo amesisitiza kuwa katazo hilo haliwahusu watumiaji katika ngazi ya kaya na watumiaji wadogo bali limeanza kwa watumiaji wakubwa na Serikali inaendelea kutoa elimu kwa wananchi hao ili waanze kutumia nishati safi ya kupikia

“Kama nilivyosema awali Taasisi hizo ziko chini ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Wizara ya Afya, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Makundi Maalum, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,” amesema Dkt. Jafo.

Dkt. Jafo amesema Sera ya Taifa ya Mazingira ya mwaka 2021 inahimiza umuhimu wa kulinda na kuhifadhi mazingira ikiwemo rasilimali za misitu, hivyo ili kufikia lengo hilo, Sera inahamasisha matumizi ya nishati mbadala wa kuni na mkaa kwa lengo la kupunguza ukataji miti na uharibifu wa misitu.

Ameongeza kuwa Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais ilitoa katazo la matumizi ya kuni na mkaa kwa taasisi zinazoandaa na kulisha watu zaidi ya mia moja (100) kwa siku, ifikapo Januari, 2024 ambapo katika taarifa yake ya utekelezaji Wizara hizo zimetuma mipango husika ya matumizi ya nishati mbadala na jinsi zitakavyotekeleza agizo hili.

Amefafanua kuwa Sekta ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, kuna jumla ya Taasisi 8 ambapo 6 ni vyuo vya maendeleo ya Jamii na taasisi mbili ni vyuo vya maendeleo ya jamii na ufundi. Vyuo vya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Uyole kwa sasa vimeanza kutumia Nishati mbadala sawa na asilimia 25 ya lengo.

Aidha Dkt. Jafo ameeleza kuwa katika Sekta ya Afya hadi kufikia Januari 31 mwaka huu Hospitali tatu (3) ikiwemo Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala (DSM), Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma na Kituo cha Afya Sinza (DSM) tayari zimeanza kuzalisha gesi.

Kuhusu taasisi zilizopo Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Chuo cha Chuo cha Maafisa wa Polisi Kidatu na shule ya Polisi Tanzania zinatumia majiko yenye mfumo wa gesi.

Na baadhi ya vyuo ikiwemo Chuo cha Polisi Zanzibar wanatumia gesi na kuni kidogo.“Jeshi la Magereza lina jumla ya Magereza 129, Vyuo vya Magereza vinne (4) na Shule za Sekondari Bwawani.

Kati ya vituo hivyo jumla ya Magereza 76 sawa na asilimia 58.91, Vyuo 3 sawa na asilimia 75 ya vyuo vya magereza, na Sekondari ya Bwawani yameanza kuacha kutumia kuni na mkaa na kuanza kutumia nishati mbadala ikiwemo gesi asilia” amesema Dkt. Jafo.

Katika Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Jafo amesema asilimia 90 ya baadhi ya vikosi vinatumia nishati mbadala kama vile gesi wakati huo vikosi vingine vikiwa vimetekeleza kwa kiwango cha wastani kwa kupunguza matumizi ya kuni na mkaa na kuanza kutumia gesi.

Aidha Dkt. Jafo amesema katika Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa (TAMISEMI), ambayo inamiliki kiwango kikubwa cha shule za Msingi na Sekondari nchini, jumla ya shule 571 za bweni zenye wanafunzi wapatao 156,622.

Kati ya shule hizo za bweni, shule 67 sawa na asilimia 11.73 zimefungwa mifumo ya gesi ambapo shule 60 kati ya hizo zinatumia mufumo ya gesi.

Amesema kuwa Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na Wizara za Kisekta ipo kwenye maandalizi ya kuunda Timu ya Wataalam itakayoweza kutembelea taasisi husika ili kufuatilia hatua zinazoendelea katika utekelezaji wa katazo hilo na kutoa ushauri wa kitaalam.

Itakumbukwa kuwa tarehe 01 Novemba, 2022, Jijini Dar es Salaam, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan alizindua Mjadala wa Kitaifa wa Nishati Safi ya Kupikia ambapo aliekeza kusitisha matumizi ya kuni na mkaa kwa taasisi zinazolisha watu Zaidi 100 kwa siku, ifikapo Januari 31, 2024.

 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 20, 2024 Jijini Dodoma kuhusu hatua za utekelezaji wa katazo la matumizi ya kuni na mkaa. Kulia ni Meneja wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Kanda ya Kati, Dkt. Caren Kahangwa.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 20, 2024 Jijini Dodoma kuhusu hatua za utekelezaji wa katazo la matumizi ya kuni na mkaa. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Bw. Abdallah Hassan Mitawi.

Watendaji Waandamizi wa Ofisi ya Makamu wa Rais kutoka kulia, Mkurugenzi wa Ugavi na Ununuzi, Bi. Juliana Mkalimoto, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Bi. Sarah Kibonde (katikati) na Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira, Bw. Thomas Chali wakifuatilia mkutano baina ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo na waandishi wa vyombo vya habari kuhusu hatua za utekelezaji wa katazo la matumizi ya kuni na mkaa leo Februari 20, 2024.

– Advertisement –

Ad image

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 20, 2024 Jijini Dodoma kuhusu hatua za utekelezaji wa katazo la matumizi ya kuni na mkaa. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Bw. Abdallah Hassan Mitawi.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo Jumanne Februari 20, 2024 Jijini Dodoma kuhusu hatua za utekelezaji wa katazo la matumizi ya kuni na mkaa. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Bw. Abdallah Hassan Mitawi.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 20, 2024 Jijini Dodoma kuhusu hatua za utekelezaji wa katazo la matumizi ya kuni na mkaa. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Bw. Abdallah Hassan Mitawi.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 20, 2024 Jijini Dodoma kuhusu hatua za utekelezaji wa katazo la matumizi ya kuni na mkaa. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Bw. Abdallah Hassan Mitawi na Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira, Bw. Thomas Chali.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 20, 2024 Jijini Dodoma kuhusu hatua za utekelezaji wa katazo la matumizi ya kuni na mkaa. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Bw. Abdallah Hassan Mitawi na Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira, Bw. Thomas Chali(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

About the author

mzalendo