Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

Brain Savior Review

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

madridbet giriş

NervEase

hacker google hacked

sapanca escort

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Jojobet

marsbahis

mislibet

imajbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

betoffice

coinbar

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

matbet, matbet giriş

perabet, perabet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

holiganbet

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

piabellacasino

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

truvabet, truvabet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

supertotobet

tümbet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

betixir

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

tarafbet giriş

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

goldenbahis

artemisbet

imajbet

artemisbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

piabellacasino giriş

jojobet

celtabet

holiganbet

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

tipobet

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet

casibom giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

betcio, betcio giriş

pokerklas, pokerklas giriş

betsat

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

piabellacasino

jojobet

tipobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

madridbet

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

interbahis

winxbet, winxbet giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

pusulabet

Vdcasino

marsbahis

matbet

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

grandpashabet

Hacklink panel

mislibet giriş

holiganbet giriş

grandpashabet

holiganbet

jojobet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

roketbet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

safirbet

casifix

robinbet

betkare

imajbet

betpark

betkare

matbet

Uncategorized

TANZANIA YASAINI MKATABA WA BILIONI 988 KUENDELEZA MIUNDOMBINU JIJINI DAR ES SALAAM

Written by mzalendo
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (kulia), na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Bw. Nathan Belete, wakisaini hati ya mkataba wa mkopo wenye thamani ya Euro milioni 361.1 (sawa na takribani shilingi bilioni 988.093) kwa ajili ya kutekeleza Awamu ya Pili ya Mradi wa Kuendeleza Miundombinu Dar es Salaam (Dar Es Salaam Metropolitan Development Project Phase II (DMDP II). Hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Hazina Ndogo, jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa pia na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb), Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Deogratius Ndejembi, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Khamis Hamza Khamis, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, Wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiongozwa na Mwenyekiti wao Dkt. Faustine Ndugulile, Viongozi waandamizi wa Serikali pamoja na Viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (kulia), na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Bw. Nathan Belete, wakibadilishana hati ya mkataba wa mkopo wenye thamani ya Euro milioni 361.1 (sawa na takribani shilingi bilioni 988.093) kwa ajili ya kutekeleza Awamu ya Pili ya Mradi wa Kuendeleza Miundombinu Dar es Salaam (Dar Es Salaam Metropolitan Development Project Phase II (DMDP II). Hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Hazina Ndogo, jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa pia na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb), Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Deogratius Ndejembi, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Khamis Hamza Khamis, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, Wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiongozwa na Mwenyekiti wao Dkt. Faustine Ndugulile, Viongozi waandamizi wa Serikali pamoja na Viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (kulia), na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Bw. Nathan Belete, wakionesha hati ya mkataba wa mkopo wenye thamani ya Euro milioni 361.1 (sawa na takribani shilingi bilioni 988.093) kwa ajili ya kutekeleza Awamu ya Pili ya Mradi wa Kuendeleza Miundombinu Dar es Salaam (Dar Es Salaam Metropolitan Development Project Phase II (DMDP II). Hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Hazina Ndogo, jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa pia na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb), Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Deogratius Ndejembi, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Khamis Hamza Khamis, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, Wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiongozwa na Mwenyekiti wao Dkt. Faustine Ndugulile, Viongozi waandamizi wa Serikali pamoja na Viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akizungumza wakati wa hafla ya utiaji wa Saini ya hati ya mkataba wa mkopo wenye thamani ya Euro milioni 361.1 (sawa na takribani shilingi bilioni 988.093) kwa ajili ya kutekeleza Awamu ya Pili ya Mradi wa Kuendeleza Miundombinu Dar es Salaam (Dar Es Salaam Metropolitan Development Project Phase II (DMDP II). Hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Hazina Ndogo, jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa pia na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb), Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Deogratius Ndejembi, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Khamis Hamza Khamis, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, Wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiongozwa na Mwenyekiti wao Dkt. Faustine Ndugulile, Viongozi waandamizi wa Serikali pamoja na Viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Bw. Nathan Belete (Mb), akizungumza wakati wa hafla ya utiaji wa Saini ya hati ya mkataba wa mkopo wenye thamani ya Euro milioni 361.1 (sawa na takribani shilingi bilioni 988.093) kwa ajili ya kutekeleza Awamu ya Pili ya Mradi wa Kuendeleza Miundombinu Dar es Salaam (Dar Es Salaam Metropolitan Development Project Phase II (DMDP II), katika ukumbi wa Hazina Ndogo, jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo imehudhuriwa pia na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb), Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Deogratius Ndejembi, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Khamis Hamza Khamis, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, Wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiongozwa na Mwenyekiti wao Dkt. Faustine Ndugulile, Viongozi waandamizi wa Serikali pamoja na Viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb), akizungumza wakati wa hafla ya utiaji wa Saini ya hati ya mkataba wa mkopo wenye thamani ya Euro milioni 361.1 (sawa na takribani shilingi bilioni 988.093) kwa ajili ya kutekeleza Awamu ya Pili ya Mradi wa Kuendeleza Miundombinu Dar es Salaam (Dar Es Salaam Metropolitan Development Project Phase II (DMDP II), katika ukumbi wa Hazina Ndogo, jijini Dar es Salaam.  Hafla hiyo imehudhuriwa pia na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb), Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Deogratius Ndejembi, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Khamis Hamza Khamis, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, Wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiongozwa na Mwenyekiti wao Dkt. Faustine Ndugulile, Viongozi waandamizi wa Serikali pamoja na Viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
 
Viongozi mbalimbali wa Serikali wakishuhudia hafla ya utiaji Saini wa hati ya mkataba wa mkopo wenye thamani ya Euro milioni 361.1 (sawa na takribani shilingi bilioni 988.093) kwa ajili ya kutekeleza Awamu ya Pili ya Mradi wa Kuendeleza Miundombinu Dar es Salaam (Dar Es Salaam Metropolitan Development Project Phase II (DMDP II), katika ukumbi wa Hazina Ndogo, jijini Dar es Salaam.  Hafla hiyo imehudhuriwa pia na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb), Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Deogratius Ndejembi, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Khamis Hamza Khamis, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, Wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiongozwa na Mwenyekiti wao Dkt. Faustine Ndugulile, Viongozi waandamizi wa Serikali pamoja na Viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (Katikati walioketi), Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) (wa pili kulia walioketi), Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Bw. Nathan Belete (Mb) (wa pili kushoto walioketi), na Mwenyekiti wa Wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye pia ni Mbunge wa Kigamboni, Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile (wa kwanza kushoto walioketi), wakiwa katika picha ya pamoja na Makatibu wakuu waliohudhuria halfa ya utiaji wa Saini ya hati ya mkataba wa mkopo wenye thamani ya Euro milioni 361.1 (sawa na takribani shilingi bilioni 988.093) kwa ajili ya kutekeleza Awamu ya Pili ya Mradi wa Kuendeleza Miundombinu Dar es Salaam (Dar Es Salaam Metropolitan Development Project Phase II (DMDP II), katika ukumbi wa Hazina Ndogo, jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (Katikati walioketi), Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) (wa pili kulia walioketi), Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Bw. Nathan Belete (Mb) (wa pili kushoto walioketi), na Mwenyekiti wa Wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye pia ni Mbunge wa Kigamboni, Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile (wa kwanza kushoto walioketi), wakiwa katika picha ya pamoja na Maafisa kutoka Benki ya Dunia waliohudhuria halfa ya utiaji wa Saini ya hati ya mkataba wa mkopo wenye thamani ya Euro milioni 361.1 (sawa na takribani shilingi bilioni 988.093) kwa ajili ya kutekeleza Awamu ya Pili ya Mradi wa Kuendeleza Miundombinu Dar es Salaam (Dar Es Salaam Metropolitan Development Project Phase II (DMDP II), katika ukumbi wa Hazina Ndogo, jijini Dar es Salaam. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dar es Salaam)
……………..
Na. Farida Ramadhan na Joseph Mahumi, WF, Dar es Salaam
 
Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia zimesaini mkataba wenye thamani ya Euro milioni 361.1 (sawa na takribani shilingi bilioni 988.093) kwa ajili ya kutekeleza Awamu ya Pili ya Mradi wa Kuendeleza Miundombinu Dar es Salaam {Dar Es Salaam Metropolitan Development Project Phase II (DMDP II)}.
 
Hafla ya utiaji saini wa mkataba huo imefanyika jijini Dar es Salam kati ya Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Bw. Nathan Belete.
 
Akizungumza baada ya kusaini mkataba huo, Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba alisema DMDP II itaendelea kuboresha miundombinu muhimu ya umma katika Wilaya za Ilala, Temeke na Kinondoni zilizokuwepo kwenye Awamu ya I ya mradi huo, sambamba na kupanua wigo wa uboreshaji miundombinu katika Wilaya zinazoingia katika mradi kwa mara ya kwanza za Ubungo na Kigamboni.
 
Alisema lengo la mradi huo ni mwendelezo wa utekelezaji wa Mpango wa Tatu wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2021/22–2025/26, Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2020 -2025 na ajenda ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inayolenga kutanua na kuboresha miundombinu na huduma katika Jiji la Dar-es-Salaam.
 
“Hii ikijumuisha ujenzi na uboreshaji wa mtandao wa barabara katika kupunguza msongamano na kuimarisha mawasiliano, mitaro ya maji katika kupunguza athari za mafuriko pamoja na miundombinu ya masoko katika kutoa fursa za biashara na shughuli za kiuchumi ili kuboresha maisha ya wakazi wa Dar es Salaam”, alibainisha Dkt. Nchemba.
 
Aidha, Mhe.Dkt. Nchemba alisema Awamu ya Pili ya Mradi huo imezingatia ustahimilivu wa athari za mabadiliko ya tabianchi katika ujenzi wa miundombinu, miradi rafiki kwa mazingira na yenye lengo la kusaidia na kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi.
 
Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Bw. Nathan Belete alisema Benki hiyo inajivunia kuwa sehemu ya ukuaji wa Dar es Salaam ambapo katika kipindi cha miaka 15 iliyopita, benki hiyo imetenga dola bilioni 1.5 kwa ajili ya ufadhili maendeleo ya jiji hilo.
 
Alisema mfano mzuri wa matokeo ya ushiriki wao katika maendeleo ya Dar es Salam unaonekana katika matokeo ya Awamu ya Kwanza ya Mradi wa Kuendeleza Miundombinu Dar es Salaam wa dola milioni 300 uliokamilika mwaka jana.
 
“Mradi huu ulijenga kilomita 207 za barabara na vituo vinne vya mabasi ambavyo vimeboresha usafiri kwa zaidi ya watu milioni 3.5 na kujenga kilomita 75 za mfumo wa maji na mabwawa matatu ya kuzuia mafuriko, kupunguza mafuriko kwa watu wanaoishi katika eneo la hekta 400 lenye hatari ya mafuriko”, alisema Bw. Belete.
 
Aliongeza kuwa mradi huo pia ulijenga masoko 10 na maeneo 6 ya wazi ya wananchi kupumzika, kutoa fursa za kiuchumi na upatikanaji wa bidhaa na kufanya jiji kuwa mahali pazuri zaidi pa kuishi.
 
Bw. Belete alibainisha kuwa mradi huo pia ulianzisha mifumo ya kuongeza uwezo wa Serikali za Mitaa kuboresha ukusanyaji wa mapato, kutekeleza udhibiti wa maendeleo pamoja na kupanga na kudumisha miundombinu.
 
Naye Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa, alisema Wizara hiyo itasimamia kikamilifu mradi huo na kuhakikisha unatekelezwa kwa wakati.
 
Alisema mradi huo unalenga kujenga kimlomita 250 za Barabara, kutokomeza changamoto ya taka ngumu, kujenga masoko ya kisasa 18, vituo vya mabasi tisa pamoja na mifereji mikubwa ya maji ya mvua ili kupunguza adha ya mafuriko jijini Dar es Salaam.
 
Akizungumza kwa niaba ya Wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Wabunge wa mkoa huo na Mbunge wa Kigamboni, Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile, aliishukuru Serikali na Benki ya Dunia kwa kuwasikiliza na kutimiza ahadi yao ya hakikisha fedha hizo zinapatikana.
 
Mhe. Ndugulile alisema Awamu ya Pili ya Mradi wa Kuendeleza Miundombinu Dar es Salaam ni muhimu kwa maendeleo ya nchi kwa kuwa asilimia 70 ya mapato ya Serikali yanatoka  jiji hilo.
Aliiomba mamlaka husika kuhakikisha mradi huo unaanza kwa haraka na kuahidi  kufuatilia kwa karibu ili kuhakikisha mradi huo unatekelezwa kwa wakati na unaendana na fedha zilizotolewa.

About the author

mzalendo