Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

nitrobahis

mavibet giriş

kavbet giriş

mavibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

Grandpashabet Güncel Giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

marsbahis

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

dinimi sitiliri

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10

piabellacasino

nerobet

cratosroyalbet

nitrobahis

mavibet giriş

mavibet

Meritking

meritking

สล็อตเว็บตรง

bets10

betpas

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

meritbet giriş

tipobet

kavbet

mavibet

jojobet giriş

marsbahis giriş

jojobet giriş

jojobet telegram

marsbahis

jojobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

monobahis, monobahis giriş

alobet, alobet giriş

grandpashabet

betsat

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

tarafbet

jojobet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

kingroyal

jojobet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

sweet bonanza oyna

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

caddebet, caddebet giriş

Google

casinoroyal

primebahis

marsbahis giriş

sweet bonanza siteleri

Doctors | Akdeniz University Hospital Login

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

jojobet giriş

holiganbet

sweet bonanza

casibom giriş

betflix

betflix

deneme bonusu

betgaranti

casinowon

mercurecasino

amgbahis

sonbahis

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

mavibet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

meritking

meritking

marsbahis

meritking

jojobet

jojobet güncel

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

esbet

Hacklink panel

zirvebet

meritking

Google

meritking giriş

holiganbet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet giris

jojobet para çekme

jojobet güncel

jojobet giris

jojobet giris

jojobet

favorisen

otobet

otobet giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

marsbahis giriş

marsbahis giriş

truvabet

mavibet

mavibet

mavibet

Bet365 Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet

piabellacasino

robinbet

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betebet

holiganbet

jojobet erişim

jojobet adres

jojobet para yatırma

jojobet giris

marsbahis

jojobet adres

jojobet oyunlar

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet son giriş

jojobet canlı bahis

jojobet aninda

jojobet bonuslar

jojobet bahis

jojobet casino

jojobet adres

jojobet telegram

giriş jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

jojobet vip giriş

jojobet tik giriş

jojobet adres

jojobet gir

marsbahis giriş

güncel giriş burada jojobet

jojobet telegram

jojobet heyecan

jojobet telegram

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

goldenbahis

coinbar

marsbahis, marsbahis giriş

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

grandpashabet

gorabet

jojobet

https://sjconsultors.com/

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pokerklas

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino

marsbahis

casibom

grandpashabet

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

jojobet

betsat

cratosroyalbet

sekabet giriş

betpuan

dental implants turkey

izmit escort

Featured Kitaifa

AQRB WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA UADILIFU NA KUEPUKA VITENDO VYA RUSHWA

Written by Alex Sonna
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi Balozi. Mha. Aisha Amour, akizungumza Leo Agosti 29,2023 Jijini Dodoma wakati akifungua Kikao Cha Tisa Cha Baraza la Wafanyakazi wa Bodi ya usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB).
Msajili wa Bodi ya usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) Mbunifu Majengo Edwin John Nnunduma,akizungumza Leo Agosti 29,2023 Jijini Dodoma wakati akifungua Kikao Cha Tisa Cha Baraza la Wafanyakazi wa Bodi ya usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB).
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi Balozi. Mha. Aisha Amour, (Katikati Kwa waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Bodi ya usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB).
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi Balozi. Mha. Aisha Amour, (Katikati Kwa waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Bodi ya usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB).
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi Balozi. Mha. Aisha Amour, (Katikati Kwa waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Bodi ya usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB).
Baadhi ya Washiriki wa Kikao Cha Tisa Cha Baraza la Wafanyakazi wa Bodi ya usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) kilichofanyika Leo Agosti 29,2023 Jijini Dodoma.
Baadhi ya Washiriki wa Kikao Cha Tisa Cha Baraza la Wafanyakazi wa Bodi ya usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) kilichofanyika Leo Agosti 29,2023 Jijini Dodoma.
Baadhi ya Washiriki wa Kikao Cha Tisa Cha Baraza la Wafanyakazi wa Bodi ya usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) kilichofanyika Leo Agosti 29,2023 Jijini Dodoma.

 

Na Okuly Julius-Dodoma.

 
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi Balozi. Mha. Aisha Amour amewataka wafanyakazi wa Bodi ya usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB),kufanya kazi Kwa kujituma na kuepuka Vitendo vya Rushwa.
 
 
Balozi Amour ametoa kauli hiyo Leo Agosti 29,2023 Jijini Dodoma wakati akifungua Kikao Cha Tisa Cha Baraza la Wafanyakazi wa Bodi ya usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB).
 
 
“Kutokuwa na weledi na uadilifu na uwepo wa Makundi inapelekea kudorora Kwa ufanisi wa utendaji kazi baina yenu kama watumishi wa umma na nitangaze rasmi hapa hatutaweza kumvumilia mtumishi yeyote atakayekuwa kikwazo katika utendaji kazi,”amesema Balozi Amour
 
 
Katibu Mkuu huyo amesema hakutakuwepo na nafasi ya kumhamishia mtumishi wa Umma kisa ameshindikana au kashindwa kutimiza majukumu yake vyema Kwa nafasi aliyepo zaidi ni kumuondoa kwenye mfumo wa ajira ili wengine wachukue nafasi na kufanya kazi kwa weledi na uadilifu.
 
 
“Hatutampokea mtumishi aliyeota mapembe na kushindikana huko aliko kikubwa tutamuondoa kwenye mfumo ili akafanye kazi kwingine nje ya utumishi wa Umma Kwani tukikutoa huko tukakuhamishia sekta nyingine utaendeleza yaleyale,”amesisitiza Balozi Amour.
 
 
Pia amewapongeza viongozi wa Bodi hiyo Kwa kuondoa kikao hicho ambacho ndani yake kutakuwa na mada mbalimbali ikiwemo ya Maadili ya kazi na kuwataka wahakikisha watumishi wanapata Mafunzo ya mara Kwa mara ya Mahala pa kazi ili kuendelea kuwajengea uelewa na kuwakumbusha misingi ya kazi.
 
 
Aidha,Katibu Mkuu huyo ameagiza ufuatiliaji wa uwepo wa vitendo vya Rushwa baina ya wafanyakazi wa Bodi hiyo hasa pale wanapokwenda kupima na kukagua Majengo.
 
 
“Nawaagiza Fuatilieni suala la kupokea Rushwa baina ya wafanyakazi wenu hasa pale wanapokwenda kufanya vipimo na kukadiria Majengo,”Ameeleza Balozi Amour 
 
 
Kwa upande wake Msajili wa Bodi ya usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) Mbunifu Majengo Edwin John Nnunduma, amesema kuwa Bodi hiyo ina Watumishi wa kudumu 42 na Watumishi wa Mikataba 16 ambao wanafanya jumla ya Watumishi wa Bodi kuwa 58 na kwa mujibu wa Muundo mpya wa Bodi, IKAMA ya Bodi inatakiwa kuwa na Watumishi 114 hivyo kuna upungufu wa Watumishi 56.
 
 
“Kikao cha Faragha cha Bodi
Madhumuni ya Kikao cha Faragha ni kutekeleza maelekezo ya Mhe. Prof.Makame Mnyaa Mbarawa (Mb) Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi aliyoyatoa katika kikao cha faragha kati ya Menejimenti ya Wizara na Menejimenti ya
Taasisi zilizo chini yake kilichofanyika kuanzia tarehe 10 hadi 12 Juni, 2023 Beach Resort Hotel jijini Tanga. Kikao hiki kitaainisha hali na mazingira ya utendaji kazi wa Watumishi wa Bodi pamoja na kubainisha Watumishi ambao hawaleti tija katika utendaji kazi,”ameeleza Nnunduma
 
 
Nnunduma amebainisha matarajio ya Utendaji kazi Kwa watumishi wa Bodi hiyo baada ya Kikao kuwa ni kutoa majibu sahihi na kwa wakati,kuwa wawazi katika utendaji,kumjali na kumheshimu mteja,matumizi sahii ya taarifa za Bodi na Serikali,kuzingatia viwango, weledi na maadili ya taaluma,kuzingatia huduma inayotolewa inaendana na thamani ya fedha zinazotumika,kuwa tayari kujifunza na kubadilika, na Kutoa huduma kwa kutumia Teknolojia ya Kisasa.
 
 
Naye Kiongozi wa kanda kanfa ya Kati,Msanifu majengo kutoka (AQRB) Joseph Ringo amesema kazi kubwa inayofanywa na bodi hiyo ni kufanya ukaguzi kwenye miradi ya ujenzi hivyo ametoa wito kwa washitili kutumia wasanifu majengo waliosalijiliwa kwa leo na nia ya kuleta tija suala la ujenzi.
 
 
Sambamba na hayo kwa upande wake Mkaguzi wa Ndani wa AQRB Farha Hussein Baabde amesema suala la uadilifu, uchapakazi na uaminifu katika sehemu za kazi ni muhimu kwa watumishi kwani inaleta tija katika uchapakazi serikalini.
 
 
Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (Architects and Quantity Surveyors Registration Board) ilianzishwa kwa Sheria ya Bunge Na.16 ya mwaka 1997 ambayo tarehe 01 Oktoba, 2010 ilifutwa na nafasi yake kuchukuliwa na Sheria Na. 4 ya mwaka 2010 ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi. Baada ya Bodi kuanzishwa, mwaka 1998 ilisajili Wataalam 188 na Kampuni 53. Hivi sasa Bodi ina Wataalam 1,340 na Kampuni 460.

About the author

Alex Sonna