Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

nitrobahis

mavibet giriş

kavbet giriş

mavibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

Grandpashabet Güncel Giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

dinimi sitiliri

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10

piabellacasino

nerobet

cratosroyalbet

nitrobahis

mavibet giriş

mavibet

Meritking

meritking

สล็อตเว็บตรง

bets10

tarafbet

jojobet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

meritbet giriş

tipobet

kavbet

mavibet

jojobet giriş

marsbahis giriş

jojobet giriş

jojobet telegram

marsbahis

jojobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

caddebet, caddebet giriş

betgar

bets10

grandpashabet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

tarafbet

jojobet

casibom

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

Google

casinoroyal

primebahis

marsbahis

turkey dental implants cost

Doctors | Akdeniz University Hospital Login

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom

casibom giriş

dental implants turkey clinics

casibom güncel giriş

betflix giriş

turkey dental implants

deneme bonusu

wbahis

imajbet

grandpashabet

jojobet

casinowon

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

mavibet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

meritking

meritking

marsbahis

meritking

jojobet

jojobet güncel

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis

Hacklink panel

zirvebet

holiganbet

Google

meritking

holiganbet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet giris

jojobet para çekme

jojobet güncel

jojobet giris

jojobet giris

jojobet

matbet

otobet

otobet giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

marsbahis giriş

marsbahis giriş

truvabet

mavibet

mavibet

mavibet

Bet365 Giriş

betturkey

betturkey giriş

betflix

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet

piabellacasino

robinbet

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betebet

jojobet

jojobet erişim

jojobet adres

jojobet para yatırma

jojobet giris

marsbahis

jojobet adres

jojobet oyunlar

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet son giriş

jojobet canlı bahis

jojobet aninda

jojobet bonuslar

jojobet bahis

jojobet casino

jojobet adres

jojobet telegram

giriş jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

jojobet vip giriş

jojobet tik giriş

jojobet adres

jojobet gir

marsbahis giriş

güncel giriş burada jojobet

jojobet telegram

jojobet heyecan

jojobet telegram

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

goldenbahis

coinbar

betcio, betcio giriş

galabet, galabet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

grandpashabet

gorabet

jojobet

https://sjconsultors.com/

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

starzbet

pusulabet

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino

marsbahis

Featured Kitaifa

SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA GAMIS KUIMARISHA USIMAMIZI WA MALI ZA UMMA

Written by Alex Sonna
Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani Bi. Pili Mnyema, akizungumza wakati akifungua  Mafunzo ya Usimamizi wa Mali za Umma kwa Maafisa Masuuli wa Taasisi za Umma kutoka Sekretarieti za Mikoa, Halmashauri za Wilaya, Idara zinazojitegemea na taasisi nyingine zinazofunga hesabu katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Morogoro, iliyofanyikia katika ukumbi wa ukumbi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga mkoani Pwani.
Na. Josephine Majura, WF, PWANI
Serikali imezitaka taasisi zote za umma nchini kuimarisha usimamizi wa mali za Serikali kwa kuhakikisha taarifa zote za mali zinaingizwa na kutunzwa katika Mfumo wa Serikali wa Usimamizi wa Mali (GAMIS), ili kuongeza uwajibikaji, kuimarisha matumizi ya rasilimali za umma na kupunguza hoja za ukaguzi.
Maagizo hayo yametolewa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Bi. Pili Mnyema, wakati akifungua Mafunzo ya Usimamizi wa Mali za Umma kwa Maafisa Masuuli wa Taasisi za Umma kutoka Sekretarieti za Mikoa, Halmashauri za Wilaya, Idara zinazojitegemea na taasisi nyingine zinazofunga hesabu katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Morogoro, yaliyofanyika katika ukumbi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga mkoani  Pwani .
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo, Bi. Mnyema alisema mafunzo hayo yameandaliwa na Wizara ya Fedha kwa lengo la kuwajengea uwezo viongozi na watendaji wakuu wa taasisi za umma katika kusimamia mali za Serikali kwa kuzingatia matakwa ya Sheria ya Fedha za Umma Sura ya 348, Kanuni za Usimamizi wa Mali za Umma za mwaka 2024 pamoja na miongozo mbalimbali inayosimamia eneo hilo.
“Mali za umma ni rasilimali muhimu zinazowezesha Serikali kutoa huduma kwa wananchi na kutekeleza miradi ya maendeleo, huku wastani wa asilimia 70 ya bajeti za taasisi za umma ukitumika katika ununuzi unaozalisha mali hizo, usimamizi wake unapaswa kuzingatia uwajibikaji, ufanisi na utii wa sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa”,alisema Bi. Mnyema.
Aidha, taasisi hizo zimetakiwa kuhakikisha mali chakavu, sinzia, ziada na zilizokwisha muda wa matumizi zinaondoshwa kwa kuzingatia sheria, kanuni na miongozo iliyopo kabla ya Septemba 30, 2026 ili kuimarisha ufanisi wa matumizi ya mali za umma.
Katika hatua nyingine Bi. Mnyema, amezitaka taasisi za umma kuwasilisha taarifa za ajali, hasara na upotevu wa mali kwa Mlipaji Mkuu wa Serikali ndani ya siku 30 tangu tukio litokee na mali zilizopata ajali au uharibifu zifanyiwe matengenezo mara baada ya kupata kibali husika.
Naye Mkurugenzi Msaidizi wa Usimamizi wa Mali za Serikali Bw. Ismael Ogaga, alisema kuwa mafunzo hayo yameandaliwa mahsusi ili kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika usimamizi wa mali za Serikali.
Alifafanua kuwa kupitia mafunzo hayo, washiriki wamepata uelewa wa kina kuhusu sheria, kanuni na taratibu za usimamizi wa mali za umma, jambo litakalosaidia kuimarisha uwajibikaji, kuongeza ufanisi wa matumizi ya rasilimali za Serikali na kupunguza hoja za ukaguzi.
Aidha, alisema Wizara ya Fedha itaendelea kutoa mafunzo hayo katika mikoa yote nchini ili kuhakikisha watumishi wa umma wanapata maarifa na stadi zinazohitajika katika kusimamia mali za Serikali.
Kwa upande wao mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI), Dkt. Revocatus Mushumbusi, alisema kuwa watahakikisha wanayafanyia kazi yote waliyojifunza ili kuimarisha usimamizi wa mali za umma katika taasisi zao.
Aidha, aliiomba Wizara ya Fedha kuendelea kutoa mafunzo kama hayo kwa watumishi wa ngazi za chini wanaoshiriki moja kwa moja katika shughuli za usimamizi wa mali, ili kuongeza uelewa na kuhakikisha utekelezaji wa sheria, kanuni na taratibu unafanyika kwa ufanisi katika ngazi zote.
Katika mafunzo hayo jumla ya mada sita ziliwasilishwa ikiwemo majukumu ya Idara ya Usimamizi wa Mali za Serikali na Upungufu wa Taasisi za Umma kwenye usimamizi wa mali, usimamizi wa vifaa vya kuhifadhia fedha, mali za thamani na nyaraka muhimu, usimamizi wa Mfumo wa Kielektroniki wa Usimamizi wa Mali (GAMIS), usimamizi wa ajali na potevu za mali za umma na mwongozo wa kushughulikia madai ya fidia pamoja.
Hadi sasa Wizara ya Fedha imeshafanya mafunzo hayo kwa Maafisa Masuuli katika Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Ziwa, Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na Kanda ya Pwani.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani Bi. Pili Mnyema, akizungumza wakati akifungua  Mafunzo ya Usimamizi wa Mali za Umma kwa Maafisa Masuuli wa Taasisi za Umma kutoka Sekretarieti za Mikoa, Halmashauri za Wilaya, Idara zinazojitegemea na taasisi nyingine zinazofunga hesabu katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Morogoro, iliyofanyikia katika ukumbi wa ukumbi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga mkoani Pwani.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani Bi. Pili Mnyema, akiteta jambo na Mkurugenzi Msaidizi wa Usimamizi wa Mali za Serikali Bw. Ismael Ogaga, wakati wa Mafunzo ya Usimamizi wa Mali za Umma kwa Maafisa Masuuli wa Taasisi za Umma kutoka Sekretarieti za Mikoa, Halmashauri za Wilaya, Idara zinazojitegemea na taasisi nyingine zinazofunga hesabu katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Morogoro, iliyofanyikia katika ukumbi wa ukumbi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga mkoani Pwani.
Mkurugenzi Msaidizi wa Usimamizi wa Mali za Serikali Bw. Ismael Ogaga, akifafanua jambo wakati wa Mafunzo ya Usimamizi wa Mali za Umma kwa Maafisa Masuuli kuhusu matumizi bora ya mali za Serikali, usimamizi wa ajali na potevu za mali za umma na mwongozo wa kushughulikia madai ya fidia pamoja na usimamizi wa Mfumo wa Kielektroniki wa Usimamizi wa Mali (GAMIS), yaliyofanyika katika ukumbi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga mkoani Pwani.
Msimamizi wa Mali za Serikali Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Neema Luanga, akifanya wasilisho kuhusu majukumu ya Idara ya Usimamizi wa Mali za Serikali na upungufu wa Taasisi za Umma kwenye Usimamizi wa Mali, wakati wa Mafunzo ya Usimamizi wa Mali za Umma kwa Maafisa Masuuli wa Taasisi za Umma kutoka Sekretarieti za Mikoa, Halmashauri za Wilaya, Idara zinazojitegemea na taasisi nyingine zinazofunga hesabu katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Morogoro, iliyofanyikia katika ukumbi wa ukumbi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga mkoani Pwani.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara, Bi.  Bahati Geuzye, akiuliza swali wakati wa wakati wa Mafunzo ya Usimamizi wa Mali za Umma kwa Maafisa Masuuli wa Taasisi za Umma kutoka Sekretarieti za Mikoa, Halmashauri za Wilaya, Idara zinazojitegemea na taasisi nyingine zinazofunga hesabu katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Morogoro, yaliyofanyika katika ukumbi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga mkoani Pwani.
Baadhi ya Maafisa Masuuli wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa Mafunzo ya Usimamizi wa Mali za Umma kwa Maafisa Masuuli  ikiwemo majukumu ya Idara ya Usimamizi wa Mali za Serikali na Upungufu wa Taasisi za Umma kwenye usimamizi wa mali, usimamizi wa vifaa vya kuhifadhia fedha, mali za thamani na nyaraka muhimu, usimamizi wa Mfumo wa Kielektroniki wa Usimamizi wa Mali (GAMIS),usimamizi wa ajali na potevu za mali za umma na mwongozo wa kushughulikia madai ya fidia pamoja,  yaliyofanyika katika ukumbi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga mkoani Pwani.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI), Dkt. Revocatus Mushumbusi, akiuliza swali wakati wa Mafunzo ya Usimamizi wa Mali za Umma kwa Maafisa Masuuli wa Taasisi za Umma kutoka Sekretarieti za Mikoa, Halmashauri za Wilaya, Idara zinazojitegemea na taasisi nyingine zinazofunga hesabu katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Morogoro, yaliyofanyika katika ukumbi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga mkoani Pwani.
Meza Kuu ikiongozwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani Bi. Pili Mnyema (katikati), Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Usimamizi wa Mali za Serikali Wizara ya Fedha Bw. Ismael Ogaga (kulia) na Msimamizi wa Mali za Serikali Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Farida Chamkwea (kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja na Sektretarieti baada ya kuhitimishwa kwa Mafunzo ya Usimamizi wa Mali za Umma kwa Maafisa Masuuli kutoka mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Morogoro, yaliyofanyika katika ukumbi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga mkoani Pwani.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WF, Pwani)

About the author

Alex Sonna