Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

kavbet

kavbet

jojobet giriş

marsbahis giriş

jojobet giriş

jojobet telegram

marsbahis

jojobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

monobahis, monobahis giriş

alobet, alobet giriş

grandpashabet

betsat

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

betpas

jojobet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

kingroyal

jojobet

jojobet güncel giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

sweet bonanza oyna

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

casinoroyal

caddebet, caddebet giriş

Google

casinoroyal

betsmove

marsbahis giriş

sweet bonanza

Doctors | Akdeniz University Hospital Login

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

jojobet giriş

holiganbet

sweet bonanza

casibom giriş

betflix

betflix

deneme bonusu

casinoroyal

bahiscasino

holiganbet

teosbet

jojobet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

mavibet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

meritking

meritking

marsbahis

meritking

jojobet

jojobet güncel

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

betsalvador

Hacklink panel

zirvebet

meritking

Google

kingroyal

holiganbet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet giris

jojobet para çekme

jojobet güncel

jojobet giris

jojobet giris

jojobet

favorisen

otobet

otobet giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

marsbahis giriş

marsbahis giriş

padişahbet

atlasbet

kalebet

betcio

Bet365 Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

cratosroyalbet

tarafbet

robinbet

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betebet

holiganbet

jojobet erişim

jojobet adres

jojobet para yatırma

jojobet giris

marsbahis

jojobet adres

jojobet oyunlar

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet son giriş

jojobet canlı bahis

jojobet aninda

jojobet bonuslar

jojobet bahis

jojobet casino

jojobet adres

jojobet telegram

giriş jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

jojobet vip giriş

jojobet tik giriş

jojobet adres

jojobet gir

marsbahis giriş

güncel giriş burada jojobet

jojobet telegram

jojobet heyecan

jojobet telegram

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

nerobet

meritking

marsbahis, marsbahis giriş

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

Deneme Bonusu

gorabet

jojobet

https://sjconsultors.com/

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pokerklas

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino

marsbahis

casibom

Deneme Bonusu Veren Siteler

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

jojobet

cratosroyalbet

cratosroyalbet güncel giriş

sekabet giriş

betgit

dental implants turkey

mavibet

mavibet

casibom

Featured Kitaifa

UBAGUZI NA KUKOSEKANA KWA USAWA VINARUDISHA NYUMA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI NCHINI

Written by Alex Sonna

 

MKUU wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule,akizungumza leo Machi 1,2023 jijini Dodoma wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupinga Unyapaa na Ubaguzi yanayofanyika Machi Mosi kila Mwaka .

MAKAMU Mwenyekiti kutoka Baraza la Watu wanaoishi na VVU _NACOPHA Bw.Yusufu Marere,akisoma risala  wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupinga Unyapaa na Ubaguzi yanayofanyika Machi Mosi kila Mwaka  yaliyofanyika leo Machi 1,2023 jijini Dodoma.

KAIMU Mkurugenzi Mtendaji TACAIDS Bw. Jumanne Issango,akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupinga Unyapaa na Ubaguzi yanayofanyika Machi Mosi kila Mwaka  yaliyofanyika leo Machi 1,2023 jijini Dodoma.

MWAKILISHI wa UNAIDS Dkt.Grace Mallya,akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupinga Unyapaa na Ubaguzi yanayofanyika Machi Mosi kila Mwaka  yaliyofanyika leo Machi 1,2023 jijini Dodoma.

SEHEMU ya Washiriki wakifatilia hotuba ya Mkuu  wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule (hayupo pichani) wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupinga Unyapaa na Ubaguzi yanayofanyika Machi Mosi kila Mwaka yaliyofanyika leo Machi 1,2023 jijini Dodoma.

MKUU wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule,akiwa katika picha ya pamoja na washiriki mara baada ya kuzungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupinga Unyapaa na Ubaguzi yanayofanyika Machi Mosi kila Mwaka yaliyofanyika leo Machi 1,2023 jijini Dodoma.

Na. Alex Sonna-DODOMA  

TANZANIA  imeungana na nchi nyingine Duniani kuadhimisha Siku ya Kupinga Unyanyapaa na Ubaguzi Duniani yanayoadhimishwa kimataifa Machi Mosi kila mwaka ili kuendelea kuangazia na kupaza sauti juu ya kupinga na kupiga marufuku vitendo vyote vya unyanyapaa.

Madhimisho hayo yamefanyika leo Machi 1,2023 Jijini Dodoma ambapo Mgeni Rasmi katika kuadhimisha siku hii alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) George  Simbachawene.

Kupitia hotuba yake Simbachawene amesema kuwa ubaguzi na kukosekana Usawa na Haki ni miongoni mwa makundi mbalimbali ya kijamii yanayosababisha vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia na ukatili.

Mhe Simbachawene amesema  Dhana na vitendo vya Ubaguzi vinavyoashiria Ukatili na kutokuwepo kwa usawa vinasababisha kutotimia kwa malengo yetu ya kitaifa ya mwitikio wa VVU na UKIMWI na kurudisha nyuma jitihada za Serikali za kutokomeza UKIMWI.

“Kauli mbiu ya mwaka huu ni “TOKOMEZA UBAGUZI, OKOA MAISHA ambapo inatutaka kuangalia umuhimu wa kuhakikisha tunatokomeza ubaguzi na unyanyapaa miongoni mwa watu wanaoishi na VVU na makundi mengine.

Aidha ameeleza  kuwa kukosekana kwa usawa, uwepo wa mila zilizopitwa na wakati, ubaguzi, kutengwa na unyanyapaa kwa namna mbalimbali vyote hivi vinachangia kasi ya maambukizi mapya ya VVU.

Ameeleza kuwa Takwimu zinaonyesha usawa wa kijinsia, mila hatarishi na ukatili ni wanawake na wasichana ndio wahanga wakubwa.

“Baadhi ya wanawake na wasichana wamepata maambukizi ya VVU kutokana na ukatili wa kingono, Wanawake wenye VVU wapo katika hatari ya ukatili hasa baada ya kuweka wazi hali zao za maambukizi”amesema

Kadhalika, amesema tabia, mila na desturi  hatarishi vimepelekea kukosekana kwa usawa wa kijinsia na ukatili wa kijinsia Tanzania, hali hiyo inachochea na kuongeza kiwango cha maambukizi na baadhi ya matukio yanayosababisha kuambukizwa na kusambaza VVU, kati ya wanawake na wasichana.

Vile vile, amesema  wanawake wameathirika zaidi kutokana na hali ya kutokuwepo kwa usawa katika uhusiano wa kijinsia na majukumu ya kijinsia pamoja na kutopewa fursa ya kufanya maamuzi.

“Ikiwa ni pamoja na kutokuwa na uwezo wa kujadili juu ya matumizi ya kondomu na ngono salama, vipengele hivi husababisha ukiukwaji wa haki za binadamu na ukatili wa kijinsia”amesema

Hata hivyo amesema serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wakiwemo Baraza la NACOPHA wameweza kufanikisha kuhamasisha watu wanaoishi na VVU kujiunga kwenye konga ambapo hushirikiana pamoja kujikwamua kiuchumi, kupeana taarifa mbalimbali, na hata kuhudumiana..

“Nachukua fursa hii kuwapongeza wadau wote na mashirika yanayotoa msaada kwa watu wanaoishi na VVU na watoto yatima. Aidha nawapongeza TACAIDS na Baraza la watu wanaoishi na VVU kwa kuendelea kusimamia maslahi pamoja na haki za ustawi wa watu wanaoishi na VVU nchini”amepongeza   Simbachawene 

Pia amesema Serikali imehakikisha Dawa za ARV zinaendelea kupatikana nchini bila kikwazo chochote, hivyo wale wote wanaogundulika kuwa na VVU waanze na waendelee kutumia ARV kama inavyooelekezwa na wataalamu wa Afya.

“Natoa rai kwa watoa huduma wote kuepuka vitendo vya kunyanyapaa na lugha za kudhalilisha WAVIU pindi wanapohitaji kuhudumiwa. Suala hili la unyanyapaa na ubaguzi linarudisha nyuma jitihada za kuutokomeza UKIMWI”, amesisitiza Simbachawene

Simbachaene amesema kuwa Serikali ya Tanzania imeweka sera na mifumo mizuri ya kisheria, mipango ya kitaasisi na miongozo ya kitaifa ambayo imetengeneza mazingira mazuri ya kuboresha haki za binadamu, usawa wa kijinsia pamoja na ushirikiano wa jamii.

Kupitia Wizara ya Jinsia Wanawake na watoto mwaka 2000 serikali ilitunga Sera ya Maendeleo ya Wanawake na jinsia na mpango mkakati wa kijinsia ili kuhamasisha usawa wa kijinsia na ushirikishwaji wa jamii.

Sera hiyo pia inaongelea kuhusu unyanyasaji wa wanawake na watoto kupitia mkakati wake wa kijamii kwa ajili ya kuwalinda wanawake na watoto dhidi ya maambukizi ya VVU.

Naomba kutoa wito kwa TACAIDS na wadau wake kuangalia jinsi gani mnaweza kuandaa jumbe kwa makundi yote ikiwemo matumizi ya maandishi ya nukta nundu kutoa elimu kwa kundi hili.

Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa NACOPHA Bw. Yusuph Marere, amesema Katika maadhimisho hayo wanaungana na wenzao duniani kote kuhakikisha kuwa kila mmoja anaishi kwa kuzingatia heshima na utu wa binadamu pasipo kuwa na ubaguzi wa aina yoyote.

“Siku hii muhimu inatukumbusha kuwa kila mmoja anapaswa kuheshimu na kuheshimiwa na vilevile inatukumbusha kuwa na mifumo, sera na huduma jumuishi zinazohusisha makundi yote katika jamii na pia tunakumbushwa kupinga aina zote za unyanyapaa na ubaguzi kwa WAVIU na watu walio katika makundi maalumu”,amesema Bw.Marere

Ameeleza kuwa kwa kiasi kikubwa unyanyapaa na ubaguzi katika jamii umechangia watu wengi kushindwa kujitokeza ili kupata huduma bora za VVU na UKIMWI ikiwemo upimaji wa hiari wa VVU, tiba na matunzo.
Amesema Juhudi za dhati zinahitajika ili kukomesha hali hii katika taifa letu na kwa kufanya hivyo tunaweza kufikia malengo ya dunia ya kutokomeza UKIMWI ifikapo 2030.

About the author

Alex Sonna