Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

maxwin, maxwin giriş

casibom

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet giriş

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

betmarino

lordcasino

pusulabet, pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

casibom

interbahis

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

grandpashabet

jojobet

holiganbet

jojobet

betsat sınırsız giriş

betsat giriş 2027

jojobet

tambet

ultrabet

jojobet

piabellacasino

setrabet

pulibet

jojobet

timebet

jojobet

kulisbet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet giriş

megabahis giriş

megabahis

mavibet

piabellacasino

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

holiganbet

mavibet giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betpark

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

grandpashabet

grandpashabet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

perabet

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casinoroyal giriş

perabet

holiganbet

maxwin

vdcasino

Featured Kitaifa

WATU 502 WAFANYIWA UCHUNGUZI NA MATIBABU YA MAGONJWA YA MOYO MKOANI GEITA

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Martha Mkupasi akizungumza na wananchi waliofika katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato (CZRH) kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi na matibabu ya moyo wakati wa kufunga kambi maalum ya matibabu ya moyo iliyokua ikifanywa na wataalam wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete kwa kushirikiana na wenzao wa CZRH.

………………………..

Jumla ya watu 502 wamefanyiwa uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo katika kambi maalum ya uchunguzi na matibu ya moyo iliyofanywa na wataalam wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato (CZRH).

Kambi hiyo ya matibabu ya moyo ya siku tano iliyomalizika hivi karibuni imefanyika katika viwanja vya Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato na kutoa motisha kwa wataalam wa afya wa hospitali hiyo kujifunza namna ya kutoa huduma kwa wagonjwa wa moyo.

Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kufunga kambi hiyo Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Martha Mkupasi aliishukuru Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete kwa kutoa wataalam kwa ajili ya kuwahudumia na kuwafanyia uchunguzi na matibabu wananchi ambao kwa namna moja au nyingine ilikuwa ngumu kwao kupata huduma hiyo.

“Wataalam wa afya waliokuwa wanatoa huduma hapa wametoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, sio kwamba kule JKCI ni wengi sana, hapana ni wachache lakini kwa kutambua kwamba hata Chato kuna watu wanahitaji huduma ya matibabu ya moyo wakajitoa ili nasi tuweze kuanzisha huduma hii ya uchunguzi na matibabu ya moyo hapa Wilayani kwetu”,

“Mbali ya kuchunguza afya zetu tumepata elimu ya namna bora ya kuishi, wakati mwingine tumekuwa hatufuati mtindo bora wa maisha ambao kwa namna moja ni sehemu ya kutufanya tupate magonjwa ya moyo lakini kupitia kwa wataalam hawa tumejifunza namna ya kulinda afya zetu”, alisema Mhe. Martha  

Aidha Mhe. Martha amewaagiza wataalam wa afya wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato kuendelea kutangaza upatikanaji wa huduma ya uchunguzi na matibabu ya moyo katika Hospitali hiyo kwani tayari watalaam wamepatiwa ujuzi na kliniki kwa ajili ya wagonjwa wa moyo imeshafunguliwa.

“Leo tarehe 4 sio mwisho wa huduma hizi za uchunguzi na matibabu ya moyo kwani zitaendelea kutolewa kwasababu wataalam wetu wameshajengewa uwezo hivyo watu waendelee kuja hapa kupata huduma na pale itakapohitajika kupata huduma zaidi bado wataalam wa JKCI wapo tayari kutusaidia”, alisema Mhe. Martha

Akitoa takwimu kuhusu kambi hiyo Mkuu wa Kitengo cha Mafunzo na Utafiti wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Pedro Pallangyo alisema kuwa wananchi zaidi ya 300 walifanyiwa vipimo vya kibingwa vya magonjwa ya moyo.

“Takribani asilimia 10 ya wananchi waliofanyiwa vipimo vya kibingwa vya moyo wamegundulika kuwa na matatizo mbalimbali ya magonjwa ya moyo, ambapo kwa watu wazima tatizo kubwa lililoonekana ni kuwa na shinikizo la damu na kwa watoto wameonekana kuwa na matazizo ya valvu na matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo”,

“Tumetoa rufaa kwa wagonjwa 64 kwenda Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa kibingwa zaidi kutokana na hali zao kuhitaji kufanyiwa uchunguzi huo”, alisema Dkt. Pedro

Dkt. Pedro alisema kuwa kambi hiyo ni mwanzo wa kuendeleza mahusiano ya kujengeana uwezo ambao utaleta tija katika jamii inayotegemea wataalam wa afya kutatua changamoto za magonjwa mbalimbali yakiwemo magonjwa ya moyo.

Kwa upande wake Daktari kutoka Hospitali ya Rufaa ya kanda Chato Gerald Muniko alisema kuwa CZRH itaendelea kutoa wito kwa jamii ya watu wa Mkoa wa Geita na mikoa ya jirani ya Shinyanga, Kigoma Musoma na kagera bila kusahau nchi za jirani za Uganda, Rwanda na Burundi ili watu wote wanaotoka maeneo hayo wafaidike na huduma za matibabu ya moyo zitakazokuwa zikitolewa katika Hospitali hiyo.

“Mikoa ya jirani na nchi jirani zinazotuzunguka ni moja ya walengwa wanaokusudiwa kupatiwa huduma za kibingwa katika Hospitali yetu hivyo watu wasisite kujitokeza kupata huduma za matibabu ya moyo”,

“Wataalam wa afya kutoka Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato watakuwa wanatoa huduma za kliniki ya matibabu ya moyo kila siku jumatatu hadi ijumaa kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa kumi jioni”, alisema Dkt. Gerald

Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Martha Mkupasi akizungumza na wananchi waliofika katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato (CZRH) kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi na matibabu ya moyo wakati wa kufunga kambi maalum ya matibabu ya moyo iliyokua ikifanywa na wataalam wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete kwa kushirikiana na wenzao wa CZRH.

Baadhi ya wataalam wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato (CZRH) wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Martha Mkupasi wakati wa kufunga kambi maalum ya siku tano ya matibabu ya moyo iliyokua ikifanywa na wataalam hao na kumalizika kumalizika hivi karibuni kwa kuwafanyia uchunguzi na matibabu wananchi 502.

Baadhi ya wananchi wa Mkoa wa Geita wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Martha Mkupasi wakati wa kufunga kambi maalum ya matibabu ya moyo iliyokuwa ikifanywa na wataalam wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato CZRH na kumalizika kumalizika hivi karibuni kwa kuwafanyia uchunguzi na matibabu wananchi 502.

Wataalam wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa kambi maalum ya siku tano ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo kwa wakazi wa Mkoa wa Geita na mikoa ya jirani. Jumla ya watu 502 wakiwemo watoto na watu wazima walifanyiwa uchunguzi katika kambi hiyo.

Picha na: JKCI

About the author

Alex Sonna