marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

escort bayan

imajbet

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

casibom

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

trendbet giriş

Milanobet

jojobet

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

padişahbet giriş

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

vaycasino giriş

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

bahis siteleri

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

eminevim

tipobet

tipobet giriş

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

Featured Kitaifa

TANGA YAPATA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 429 KUINUA BANDARI NA MIUNDOMBINU YA UCHUMI

Written by Alex Sonna

MKUU wa  Mkoa wa Tanga Balozi Dkt. Batilda  Burian ,akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 15,2025 jijini Dodoma kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

MKUU wa  Mkoa wa Tanga Balozi Dkt. Batilda  Burian ,akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 15,2025 jijini Dodoma kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

SEHEMU ya Waandishi wa habari wakifuatilia hotuba ya Mkuu wa  Mkoa wa Tanga Balozi Dkt. Batilda  Burian (hayupo pichani) wakati akizungumzia  Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

Na Alex Sonna-DODOMA 

 

Mkoa wa Tanga umepokea zaidi ya shilingi bilioni 429.1 kwa ajili ya maboresho ya Bandari ya Tanga, ikiwa ni sehemu ya mikakati mikubwa ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kubadilisha taswira ya mkoa huo kuwa kitovu cha biashara, usafirishaji, ajira na utalii wa kisasa katika Ukanda wa Kaskazini-Mashariki mwa Tanzania.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Dkt. Batilda Salha Burian,ameeleza hayo Jana Jijini hapa wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo mkoani humo kwa kipindi cha miaka mitano (2020–2025) ikiwa ni utaratibu wa Idara ya Habari maelezo kutoa nafasi kwa wakuu wa mikoa kuzungumzia maendeleo kwenye maeneo Yao.

Amesema Bandari ya Tanga sasa inahudumia meli zaidi ya 307 kwa mwaka, ikilinganishwa na meli 198 zilizohudumiwa mwaka 2021. Aidha, shehena ya mizigo imeongezeka kutoka tani 888,130 hadi tani 1,191,480, ikiwa ni mafanikio makubwa yaliyochochewa na maboresho ya kimkakati ya miundombinu.

Dkt. Batilda pia amesema kuwa mafanikio ya bandari hiyo yameenda sambamba na ongezeko la fursa za ajira, ongezeko la mapato kwa mamlaka ya bandari, na kuvutia wawekezaji wa sekta binafsi ambao kwa sasa wanawekeza kwenye maghala, maeneo ya kuhifadhia mizigo na huduma za usafiri.

Pamoja na uwekezaji huo mkubwa,ameeleza kuwa Mkoa wa Tanga pia ni mwenyeji wa mradi mkubwa wa kimataifa wa bomba la mafuta ghafi (EACOP) kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, Tanga. Mradi huo ambao umefikia asilimia 53 ya utekelezaji, unahusisha ujenzi wa bomba lenye urefu wa kilomita 205.91, kambi za wafanyakazi, vituo vya kuhifadhia mafuta, na mitambo ya usimamizi wa mradi.

Katika hatua za kuhakikisha wananchi wanashiriki kikamilifu kwenye utekelezaji wa mradi huo, Mkuu wa Mkoa amesema Serikali imelipa fidia kwa zaidi ya asilimia 98.7 ya wananchi waliopisha mkuza wa bomba.

Amefafanua kuwa Kati ya wananchi 1,580, jumla ya 1,560 tayari wamelipwa fidia yenye jumla ya shilingi bilioni 9.38, huku wengine 40 wakijengewa nyumba 43 mbadala ambazo tayari zimekamilika kwa asilimia 100.

Aidha, kupitia mradi huo, amesema zaidi ya ajira 810 zimezalishwa katika eneo la Chongoleani pekee, huku shughuli za kiuchumi kama vile mama lishe, huduma za usafiri, bidhaa ndogondogo na huduma za kifedha zikiongezeka kwa kasi kubwa.

Kwa upande wa sekta ya michezo, ameeleza kuwa Mkoa wa Tanga umepokea zaidi ya shilingi bilioni 4.5 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Michezo cha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kinachojengwa eneo la Mnyanjani. Mradi huo unalenga kukuza vipaji vya vijana wa mkoa huo na kutengeneza fursa zaidi za ajira kupitia michezo na burudani.

Kwa upande mwingine, amesema Mkoa huo umewekeza katika miradi ya kibiashara kama vile ujenzi wa jengo la kisasa la Dkt. Samia Suluhu Hassan Business Centre, pamoja na soko la machinga la kisasa, miradi inayolenga kuhamasisha biashara ndogo na kati na kuongeza mapato ya Halmashauri.

Ameongeza kuwa kupitia mpango wa TASAF, zaidi ya walengwa 38,952 wameweza kuanzisha biashara ndogondogo, huku 48,645 wakijiunga na Bima ya Afya (CHF) na 44,234 wakijishughulisha na shughuli za kilimo na ufugaji. Amesema mafanikio haya yamekuwa nguzo ya ustawi wa familia nyingi vijijini na mijini.

Katika kuimarisha usafiri wa majini,Mkuu huyo wa Mkoa wa Tanga amesema Serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 1.1 kwa ajili ya ukarabati wa kivuko cha MV Tanga, ambacho ni kiunganishi muhimu kwa wakazi wa maeneo ya mwambao. Huduma hiyo imeboreshwa ili kurahisisha usafirishaji wa abiria na bidhaa kati ya Tanga, visiwa vya jirani na maeneo ya pwani.

Amesisitiza kuwa Serikali pia imewekeza katika kuimarisha utawala bora kwa kujenga ofisi za utawala, nyumba za wakurugenzi, pamoja na kuongeza idadi ya mahakama za mwanzo kutoka 65 hadi 67, huku wilaya zikiongezeka kutoka 6 hadi 8, hatua inayolenga kusogeza huduma karibu na wananchi.

About the author

Alex Sonna