Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pusulabet, pusulabet giriş

gameofbet

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

coinbar

coinbar

maxwin, maxwin giriş

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

casibom giriş

casibom

betewin

interbahis

casinofast giris

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

grandpashabet

jojobet

holiganbet

jojobet

nakitbahis

bets10

jojobet

tambet

ultrabet

mislibet

mavibet güncel giriş

setrabet

pulibet

perabet

timebet

jojobet

coinbar

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet giriş

mislibet giriş

mavibet güncel giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet

mislibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

mislibet

mavibet giriş

mislibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

fenomenbet, fenomenbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

grandpashabet

grandpashabet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

https://ganeshpoojakit.com/

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

betpas

royalbet

Betpas

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

TANGA YAPATA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 429 KUINUA BANDARI NA MIUNDOMBINU YA UCHUMI

Written by Alex Sonna

MKUU wa  Mkoa wa Tanga Balozi Dkt. Batilda  Burian ,akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 15,2025 jijini Dodoma kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

MKUU wa  Mkoa wa Tanga Balozi Dkt. Batilda  Burian ,akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 15,2025 jijini Dodoma kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

SEHEMU ya Waandishi wa habari wakifuatilia hotuba ya Mkuu wa  Mkoa wa Tanga Balozi Dkt. Batilda  Burian (hayupo pichani) wakati akizungumzia  Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

Na Alex Sonna-DODOMA 

 

Mkoa wa Tanga umepokea zaidi ya shilingi bilioni 429.1 kwa ajili ya maboresho ya Bandari ya Tanga, ikiwa ni sehemu ya mikakati mikubwa ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kubadilisha taswira ya mkoa huo kuwa kitovu cha biashara, usafirishaji, ajira na utalii wa kisasa katika Ukanda wa Kaskazini-Mashariki mwa Tanzania.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Dkt. Batilda Salha Burian,ameeleza hayo Jana Jijini hapa wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo mkoani humo kwa kipindi cha miaka mitano (2020–2025) ikiwa ni utaratibu wa Idara ya Habari maelezo kutoa nafasi kwa wakuu wa mikoa kuzungumzia maendeleo kwenye maeneo Yao.

Amesema Bandari ya Tanga sasa inahudumia meli zaidi ya 307 kwa mwaka, ikilinganishwa na meli 198 zilizohudumiwa mwaka 2021. Aidha, shehena ya mizigo imeongezeka kutoka tani 888,130 hadi tani 1,191,480, ikiwa ni mafanikio makubwa yaliyochochewa na maboresho ya kimkakati ya miundombinu.

Dkt. Batilda pia amesema kuwa mafanikio ya bandari hiyo yameenda sambamba na ongezeko la fursa za ajira, ongezeko la mapato kwa mamlaka ya bandari, na kuvutia wawekezaji wa sekta binafsi ambao kwa sasa wanawekeza kwenye maghala, maeneo ya kuhifadhia mizigo na huduma za usafiri.

Pamoja na uwekezaji huo mkubwa,ameeleza kuwa Mkoa wa Tanga pia ni mwenyeji wa mradi mkubwa wa kimataifa wa bomba la mafuta ghafi (EACOP) kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, Tanga. Mradi huo ambao umefikia asilimia 53 ya utekelezaji, unahusisha ujenzi wa bomba lenye urefu wa kilomita 205.91, kambi za wafanyakazi, vituo vya kuhifadhia mafuta, na mitambo ya usimamizi wa mradi.

Katika hatua za kuhakikisha wananchi wanashiriki kikamilifu kwenye utekelezaji wa mradi huo, Mkuu wa Mkoa amesema Serikali imelipa fidia kwa zaidi ya asilimia 98.7 ya wananchi waliopisha mkuza wa bomba.

Amefafanua kuwa Kati ya wananchi 1,580, jumla ya 1,560 tayari wamelipwa fidia yenye jumla ya shilingi bilioni 9.38, huku wengine 40 wakijengewa nyumba 43 mbadala ambazo tayari zimekamilika kwa asilimia 100.

Aidha, kupitia mradi huo, amesema zaidi ya ajira 810 zimezalishwa katika eneo la Chongoleani pekee, huku shughuli za kiuchumi kama vile mama lishe, huduma za usafiri, bidhaa ndogondogo na huduma za kifedha zikiongezeka kwa kasi kubwa.

Kwa upande wa sekta ya michezo, ameeleza kuwa Mkoa wa Tanga umepokea zaidi ya shilingi bilioni 4.5 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Michezo cha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kinachojengwa eneo la Mnyanjani. Mradi huo unalenga kukuza vipaji vya vijana wa mkoa huo na kutengeneza fursa zaidi za ajira kupitia michezo na burudani.

Kwa upande mwingine, amesema Mkoa huo umewekeza katika miradi ya kibiashara kama vile ujenzi wa jengo la kisasa la Dkt. Samia Suluhu Hassan Business Centre, pamoja na soko la machinga la kisasa, miradi inayolenga kuhamasisha biashara ndogo na kati na kuongeza mapato ya Halmashauri.

Ameongeza kuwa kupitia mpango wa TASAF, zaidi ya walengwa 38,952 wameweza kuanzisha biashara ndogondogo, huku 48,645 wakijiunga na Bima ya Afya (CHF) na 44,234 wakijishughulisha na shughuli za kilimo na ufugaji. Amesema mafanikio haya yamekuwa nguzo ya ustawi wa familia nyingi vijijini na mijini.

Katika kuimarisha usafiri wa majini,Mkuu huyo wa Mkoa wa Tanga amesema Serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 1.1 kwa ajili ya ukarabati wa kivuko cha MV Tanga, ambacho ni kiunganishi muhimu kwa wakazi wa maeneo ya mwambao. Huduma hiyo imeboreshwa ili kurahisisha usafirishaji wa abiria na bidhaa kati ya Tanga, visiwa vya jirani na maeneo ya pwani.

Amesisitiza kuwa Serikali pia imewekeza katika kuimarisha utawala bora kwa kujenga ofisi za utawala, nyumba za wakurugenzi, pamoja na kuongeza idadi ya mahakama za mwanzo kutoka 65 hadi 67, huku wilaya zikiongezeka kutoka 6 hadi 8, hatua inayolenga kusogeza huduma karibu na wananchi.

About the author

Alex Sonna