Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

1xbet

matbet, matbet giriş

gameofbet

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

jojobet giriş

jojobet

holiganbet, holiganbet giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

casibom

betewin

interbahis

casinofast giris

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Pusulabet

pusulabet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

grandpashabet

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark

betsat giriş

jojobet

tambet

ultrabet

mislibet

kavbet

setrabet

pulibet

perabet

timebet

jojobet

kulisbet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet giriş

mavibet giriş

mavibet

mavibet

piabellacasino

mavibet

mislibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

mislibet

mavibet giriş

kavbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Pusulabet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betpark

betyap, betyap giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

grandpashabet

grandpashabet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

kingroyal

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

betpas

royalbet

Betpas

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

USHIRIKIANO WA NSSF NA MAHAKAMA CHACHU YA MAFANIKIO KATIKA HIFADHI YA JAMII 

Written by Alex Sonna

Na Mwandishi Wetu, SINGIDA

Mgeni rasmi katika kikao kazi kati ya Majaji wa Mahakama ya Rufani na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mhe. Augustine Mwarija – Jaji wa Mahakama ya Rufani aliye mwakilisha Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. George Mcheche Masaju – amesisitiza kuwa ushirikiano imara kati ya NSSF na wadau, hasa Mahakama, umekuwa kichocheo kikubwa cha mafanikio ya Mfuko huo. Amesema kuwa ushirikiano huu unatoa nafasi ya kujadili changamoto kwa pamoja, kubadilishana uzoefu na kubuni njia bora za kuimarisha huduma kwa wanachama.

Mhe. Mwarija alipongeza waandaaji wa kikao kazi hicho kilichoandaliwa na Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) kwa kushirikiana na NSSF, na kusema kuwa kikao hiki ni utekelezaji wa Mpango Mkakati wa Mahakama ya Tanzania (2021–2025), hususan nguzo ya tatu inayolenga ushirikishwaji wa wadau katika utoaji wa haki. Aliongeza kuwa changamoto kama za mirathi zinahitaji kushughulikiwa kwa pamoja kwa kuweka mifumo ya pamoja inayotambua wategemezi na kuharakisha utoaji wa haki.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Bw. Masha Mshomba alieleza kuwa tangu mwaka 2018 Serikali ilipofanya maboresho makubwa ya sheria, NSSF imekuwa chombo pekee kinachotoa huduma za hifadhi ya jamii kwa sekta binafsi na waliojiajiri. Mwaka 2024, kupitia mabadiliko ya Sheria ya NSSF (Sura ya 50), wanachama sasa wanaweza kuchangiwa na zaidi ya mwajiri mmoja, vipindi vya uchangiaji vya zaidi ya miaka 60 vinazingatiwa, adhabu ya kuchelewesha michango imepunguzwa kutoka asilimia 5 hadi 2.5, na waliojiajiri sasa wanaweza kujiunga kupitia mpango wa lazima (mandatory).

Bw. Mshomba alieleza kuwa thamani ya Mfuko imeongezeka kwa kiasi kikubwa kutoka Shilingi trilioni 4.8 mwaka 2021 hadi kufikia Shilingi trilioni 9.6 hadi kufikia Juni 2025, ikiwa ni ongezeko la asilimia 98. Aidha, michango ya wanachama imeongezeka kutoka trilioni 1 hadi trilioni 2.16, huku mapato ya uwekezaji yakipanda kutoka Shilingi bilioni 527.1 hadi bilioni 543.5.

Mafanikio mengine yaliyoelezwa ni pamoja na ongezeko la thamani ya vitega uchumi vya Mfuko kufikia trilioni 8.2 kutoka trilioni 7.4. Vilevile, mafao ya wanachama yaliyolipwa yamefikia Shilingi bilioni 947.2 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ikilinganishwa na Shilingi bilioni 884.8 mwaka uliotangulia, ongezeko la asilimia 7. NSSF pia inalenga kulipa mafao ndani ya saa 24 pindi mwanachama anapostaafu, hatua inayowezekana kupitia maboresho ya TEHAMA ambapo kwa sasa huduma za Mfuko zinatekelezwa kwa asilimia 90 kwa njia ya kidijitali.

Katika mwaka wa fedha ulioishia Juni 2025, NSSF imefikisha wanachama wachangiaji 1,816,026 kutoka 1,358,882 mwaka uliotangulia, ongezeko la asilimia 19. Ongezeko hili limetokana na mabadiliko ya sheria ambayo sasa yanamruhusu kila Mtanzania analiye katika shughuli za kujiajiri kujiunga na hifadhi ya jamii, hivyo kuimarisha uhakika wa kipato kwa Watanzania wote kwa kuwa na akiba ya uhakika na kuwa mnufaika wa hifadhi ya jamii muda utakapofika. Bw. Mshomba amesema pamoja na mambo mengine, mazingira mazuri ya kisera yaliyoanzishwa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan yamechangia mafanikio ya Mfuko.

Pamoja na mafanikio haya, changamoto bado zipo. Bw. Mshomba alibainisha kuwa baadhi ya waajiri hawawasilishi michango kwa wakati au huwasilisha kwa kiwango kidogo tofauti na kiasi halisi wanachowalipa wafanyakazi wao. Hata hivyo, elimu inaendelea kutolewa kwa waajiri na wafanyakazi kuhusu umuhimu wa hifadhi ya jamii,kuwasilisha michango sahihi na kwa wakati.

Mwenyekiti wa TMJA Tawi la Mahakama ya Rufani, Mhe. Shabani Ally Lila ambaye pia ni Jaji wa Mahakama ya Rufani, aliishukuru NSSF kwa kuandaa kikao kazi hicho ambacho kimelenga kushirikisha wadau muhimu katika kuhakikisha haki za wanachama zinalindwa. Alisema kikao kazi hicho ni jukwaa muhimu la kuimarisha ushirikiano na kuhakikisha mafao ya wastaafu yanalipwa kwa wakati na haki.

Kwa upande wake, Mhe. Bupe Abonike Kibona – Hakimu Mkazi na Msaidizi wa Sheria wa Jaji Mahakama ya Rufani – alisema kuwa kikao kazi hicho kimewapa maarifa ya kina kuhusu taratibu za NSSF, jambo litakalosaidia mahakama kushughulikia kesi za hifadhi ya jamii kwa haraka na kwa usahihi zaidi. Aliongeza kuwa mpango wa Hifadhi Scheme wa NSSF ni hatua chanya inayowawezesha Watanzania wote kujiunga na kunufaika na mafao mbalimbali ya hifadhi ya jamii.

Kikao kazi kati ya TMJA na NSSF kilichofanyika mkoani Singida, kimehudhuriwa na Majaji wa Mahakama ya Rufani, Wasajili, Mahakimu, pamoja na watendaji wa NSSF, kikiongozwa na kaulimbiu isemayo “Utoaji Haki kwa Wakati kwa Ustawi wa Hifadhi ya Jamii.”

About the author

Alex Sonna