Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

holiganbet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

SADC YAJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU FEDHA, UCHUMI NA UWEKEZAJI

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, akichangia hoja wakati wa Kikao cha Makatibu Wakuu wa Hazina na Maafisa Waandamizi wa Benki Kuu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), kinachoendelea jijini Harare, Zimbabwe, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano wa Mawaziri wa Fedha na Uwekezaji wa SADC.

Viongozi wa mjadala katika mkutano wa ngazi ya juu wa Makatibu Wakuu wa Hazina na Maafisa Waandamizi wa Benki Kuu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), (kutoka kushoto) ni Mkurugenzi Mkuu Mwandamizi wa Masuala ya Uchumi kutoka Wizara ya Fedha ya Zimbabwe Mhe. Joseph Mverecha, akifuatiwa na Mkurugenzi Mkuu Mwandamizi na Mwenyekiti wa Maafisa Wakuu wa Hazina wa Jamhuri ya Afrika Kusini, Mhe. Themba Zulu, Naibu Katibu Mtendaji anayeshughulikia Ujumuishaji wa Kikanda, Sekretarieti ya SADC Bi. Angele Makombo N’tumba na Mkurugenzi wa Fedha, Uwekezaji na Forodha wa SADC. Dkt. Yolanda Sabino.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, akifuatilia na kusikiliza hoja mbalimbali zinazowasilishwa na wajumbe wakati wa Kikao cha Makatibu Wakuu wa Hazina na Maafisa Waandamizi wa Benki Kuu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), kinachoendelea jijini Harare, Zimbabwe.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, (wanne kushoto) katika picha ya pamoja na Makatibu Wakuu wa Hazina na Maafisa Waandamizi wa Benki Kuu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), mara baada ya kuhitimishwa kwa kikao chao kilichofanyika jijini Harare, Zimbabwe.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini – Wizara ya Fedha)

Na Eva Ngowi, WF, Harare – Zimbabwe

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, ameongoza ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Kikao cha Makatibu Wakuu wa Hazina na Maafisa Waandamizi wa Benki Kuu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), kinachofanyika jijini Harare, Zimbabwe, kikijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano wa kifedha, uwekezaji na maendeleo ya kiuchumi katika ukanda huo.

Kikao hicho kimewakutanisha Makatibu Wakuu kutoka nchi wanachama wa SADC, ambapo pamoja na ajenda kuu ya utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo wa Kikanda wa SADC, wajumbe walipitia maendeleo ya Viashiria vya vigezo vya uchumi jumla (Macroeconomic Convergence), Uimarishaji wa Masoko ya Mitaji, pamoja na maendeleo ya Mfumo wa Malipo wa Kikanda wa SADC (SADC-RTGS).

Aidha, Kikao hicho kilijadili mapendekezo ya kutumika kwa njia mbadala za kugharamia Bajeti, programu na miradi mbalimbali ya kikanda, ambazo ni kwa kutumia Tozo ya Bidhaa zinazoingia nchini kutoka Nje ya Afrika (Import Levy) na Tozo ya Utalii (Tourism Levy) ambapo nyingi zilionesha wasiwasi wao wa utekelezaji wa njia hizi kwa kuwa zinakinzana na sheria za nchi wanachama za Mamlaka za Mapato na kupunguza mapato na pia zitaongeza gharama za shughuli za Utalii na kupelekea kushuka kwa Sekta ya Utalii.

Kikao hicho pia kilijadili hatua za kuimarisha uwekezaji na maendeleo ya Mfuko wa Maendeleo wa SADC, mapitio ya utekelezaji wa maamuzi ya mikutano iliyopita, uimarishaji wa usimamizi wa sekta ya fedha, pamoja na mikakati ya kupambana na utakatishaji fedha Haramu na ufadhili wa ugaidi katika ukanda wa SADC.

Katika mjadala wa Mfuko wa Maendeleo wa Kikanda, Tanzania imeendelea kusimamia msimamo wake wa kuunga mkono juhudi za utekezaji wa Mfuko huo, huku ikisisitiza umuhimu wa nchi wanachama kuhakikisha utekelezaji wa maamuzi na maazimio yote yanayofikiwa katika vikao vya SADC ili kuharakisha mchakato wa kusaini, kuridhia na kuanza utekelezaji wake.

Akichangia mjadala huo, Dkt. Mwamba alisema utekelezaji madhubuti wa maamuzi ya kikanda ni msingi muhimu wa kuhakikisha programu na miradi ya SADC inatekelezwa kwa ufanisi na kwa wakati.

Alisema ingawa Mfuko wa Maendeleo wa Kikanda wa SADC unalenga kuongeza upatikanaji wa rasilimali fedha kwa ajili ya kugharamia miradi ya maendeleo, bado kuna changamoto zinazohusiana na uwezo wa nchi wanachama kuchangia, hasa kutokana na tofauti za kiuchumi na vikwazo vya kibajeti vinavyoikabili baadhi ya nchi.

“Utekelezaji wa bajeti, programu na miradi ya maendeleo ya kikanda ni muhimu kwa nchi wanachama kuendelea kutekeleza maamuzi na maelekezo yanayotokana na maazimio ya kikao na mikutano mbalimbali ya SADC ili kuharakisha mchakato wa kusaini, kuridhia na kuanza kutekeleza Mfuko huu.” Alisema Dkt. Mwamba

Aidha, alisisitiza umuhimu wa kuzingatia uwezo halisi wa kifedha wa nchi wanachama, akieleza kuwa mchakato wa uanzishaji wa mfuko huo unapaswa kuambatana na tathmini ya kina ya uwezo wa nchi kuchangia mtaji wake, hasa katika mazingira ya ongezeko la madeni na vikwazo vya bajeti.

“Mchakato wa kutekeleza Mfuko wa Maendeleo wa Kikanda wa SADC unapaswa kuzingatia makadirio halisi ya uwezo wa kifedha pamoja na tathmini ya uwezo wa nchi wanachama kuchangia mtaji wa mfuko huo, hususan katika mazingira ya ongezeko la madeni na vikwazo vya kibajeti,” alifafanua Dkt. Mwamba.

Dkt. Mwamba pia alisisitiza umuhimu wa uwiano kati ya michango ya nchi wanachama na rasilimali kutoka kwa washirika wa maendeleo, akibainisha kuwa hatua hiyo ni muhimu katika kulinda hadhi ya Mfuko, kuimarisha uendelevu wake na kuhakikisha unatimiza malengo ya maendeleo ya kikanda.

“Ni muhimu kuzingatia uwiano unaofaa kati ya michango ya nchi wanachama na rasilimali kutoka kwa washirika wa maendeleo. Hii itasaidia kuhifadhi hadhi ya mfuko, kulinda uhuru wake na kufikia vipaumbele vya maendeleo kama ilivyokusudiwa,” aliongeza.

Alihitimisha mchango wake kwa kueleza dhamira ya Tanzania katika mchakato huo, akibainisha kuwa Tanzania tayari imesaini mkataba wa kuanzishwa kwa Mfuko wa Maendeleo wa Kikanda wa SADC, na taratibu za uridhiaji zinaendelea kukamilishwa kabla ya taarifa rasmi kuwasilishwa Sekretarieti ya SADC.

Mapendekezo yanayotokana na kikao hicho yanatarajiwa kuwasilishwa katika Mkutano wa Mawaziri wa Fedha na Uwekezaji wa SADC kwa ajili ya maamuzi yatakayochochea ukuaji wa uchumi, uwekezaji na ushirikiano wa kifedha katika ukanda wa Kusini mwa Afrika.

About the author

Alex Sonna