marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

pusulabet

matbet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

ultrabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

tambet

ngsbahis

betlike

parmabet

mislibet

mislibet

jojobet giriş

nitrobahis

jojobet

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betcio

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

enjoybet giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

imajbet

Featured Kitaifa

SHUWASA : TUNAENDELEA NA MATENGENEZO BOMBA LILILOPASUKA KWENYE MTO MHUMBU

Written by Alex Sonna
Kaimu Mkurugenzi Usambazaji Maji na Usimamizi wa Usafi SHUWASA, Mhandisi Uswege Musa akionesha eneo la matengenezo ya bomba la maji lililopasuka katika Mto Mhumbu na kusababisha huduma ya maji kutopatikana katika kata ya Ibadakuli na Kolandoto Manispaa ya Shinyanga
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) imeendelea kuwaomba radhi wateja wake zaidi ya 10,000 wa kata ya Ibadakuli na Kolandoto Manispaa ya Shinyanga baada ya bomba kubwa lenye upenyo wa milimita 700 kupasuka ndani ya mto Mhumbu uliofurika maji ambapo kutokana na jitihada zinazoendelea huduma itarejea muda wowote.
 

 
Akizungumza na waandishi wa habari waliofika katika eneo la Mto Mhumbu leo Jumamosi Aprili 13,2024 kushuhudia juhudi zinazofanywa na SHUWASA kuhakikisha huduma ya maji inarejea kwenye maeneo yaliyoathirika, Kaimu Mkurugenzi Usambazaji Maji na Usimamizi wa Usafi SHUWASA, Mhandisi Uswege Musa amesema SHUWASA inaomba radhi kwa changamoto hiyo iliyotokea kutokana na mazingira yaliyo nje ya uwezo wao.
 
 
“Tupo eneo la Mto Mhumbu kutatua changamoto ya kupasuka kwa bomba kubwa lenye kipenyo cha milimita 700 linalopeleka maji katika kata ya Kolandoto na Ibadakuli Manispaa ya Shinyanga. Maeneo haya yamekosa huduma ya maji tangu Aprili 8,2024 hadi leo hii tunaendelea na matengenezo. Baada ya kutokea changamoto ya kupasuka kwa bomba tulitoa tangazo kwa wananchi wa maeneo husika waweze kuhifadhi maji na tulianza hatua ya kutatua changamoto hii siku ya Jumatano na mpaka leo tupo hapa tunaendelea na jitihada za kurudisha huduma ya maji”, amesema Mhandisi Musa.
“Siku ya kwanza Jumatano tulianza kazi kwa ufanisi mzuri kabisa hadi kufikia jioni tulikuwa tumekamisha kazi kwa asilimia 50 lakini baadae tulikutana na changamoto ya maji kutoka katika mto Mhumbu yalijaa hadi kwenye eneo tunalofanyia kazi, mto ulijaa na kusababisha mafundi kuondoa vifaa vya kazi eneo la matengenezo”,ameeleza.
Amebainisha kuwa, kutokana na jitihada wanazoendelea nazo matengenezo yatakamilika leo ili kurejesha huduma kwa wananchi hivyo kuwaomba wananchi waendelee kuwa watulivu wanapoendelea kurejesha huduma ya maji kwenye maeneo yaliyoathirika.

 

Matengenezo yakiendelea katika bomba kubwa la maji lililopasuka katika Mto Mhumbu Manispaa ya Shinyanga

 

 
“SHUWASA inafanya kazi usiku na mchana, tunatarajia siku ya leo tutakamilisha kazi hii kwa sababu leo kuna hali ya jua lakini kama hali ya hewa haitabadilika inaweza kutukwamisha kwa sababu changamoto kubwa iliyopo katika eneo la matengenezo ni kwamba kuna chemchemi kubwa kutokana na kwamba tupo katikati ya mto Mhumbu, kuna maji kutoka chini ya mto yanapenya kuja kwenye eneo la matengenezo ambayo inatuwia ugumu kwa kiasi flani kufanya matengenezo haya”,ameongeza Mhandisi huyo.
 
 
Kwa upande wake, Kaimu Meneja Uzalishaji na Usambazaji Maji SHUWASA, Mhandisi Salum Ramadhan Ndelema amesema bomba kubwa maji la milimita 700 lilipata majeraha tangu Aprili 8,2024 na kushindwa kuendelea kusukuma maji kuelekea kwa wateja wa Bugweto na Kolandoto hivyo ikawalazimu kufunga maji ili waweze kuziba jeraha hilo.
 
“Mpaka sasa hivi tunaendelea na kazi, na hii yote imesababishwa na hali ya mazingira ambayo haikuwa vizuri, hali ya mto kujaa maji mengi na kurudisha maji kwenye eneo ambalo tunafanyia kazi ya matengenezo. Tulitegemea kazi hii ingemalizika mapema lakini tunaendelea na mafundi wetu ili kuhakikisha tunarudisha huduma katika maeneo yaliyoathirika, sasa tunaelekea kukamilisha kazi hii kwa sababu sasa bomba linaonekana tofauti na hapo awali”,amesema Mhandisi Ndelema.
Kaimu Mkurugenzi Usambazaji Maji na Usimamizi wa Usafi SHUWASA, Mhandisi Uswege Musa akielezea changamoto ya kupasuka kwa bomba la maji katika Mto Mhumbu na kusababisha huduma ya maji kutopatikana katika kata ya Ibadakuli na Kolandoto Manispaa ya Shinyanga. Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Kaimu Mkurugenzi Usambazaji Maji na Usimamizi wa Usafi SHUWASA, Mhandisi Uswege Musa akionesha eneo la matengenezo ya bomba la maji lililopasuka katika Mto Mhumbu na kusababisha huduma ya maji kutopatikana katika kata ya Ibadakuli na Kolandoto Manispaa ya Shinyanga
 
Kaimu Meneja Uzalishaji na Usambazaji Maji SHUWASA, Mhandisi Salum Ramadhan Ndelema akielezea changamoto ya kupasuka kwa bomba la maji katika Mto Mhumbu na kusababisha huduma ya maji kutopatikana katika kata ya Ibadakuli na Kolandoto Manispaa ya Shinyanga
Matengenezo yakiendelea katika bomba kubwa la maji lililopasuka katika Mto Mhumbu Manispaa ya Shinyanga
Matengenezo yakiendelea katika bomba kubwa la maji lililopasuka katika Mto Mhumbu Manispaa ya Shinyanga
Matengenezo yakiendelea katika bomba kubwa la maji lililopasuka katika Mto Mhumbu Manispaa ya Shinyanga

 

Matengenezo yakiendelea katika bomba kubwa la maji lililopasuka katika Mto Mhumbu Manispaa ya Shinyanga

 

Matengenezo yakiendelea katika bomba kubwa la maji lililopasuka katika Mto Mhumbu Manispaa ya Shinyanga
Muonekano wa sehemu ya Mto Mhumbu Manispaa ya Shinyanga
Matengenezo yakiendelea katika bomba kubwa la maji lililopasuka katika Mto Mhumbu Manispaa ya Shinyanga
Muonekano wa sehemu ya Mto Mhumbu Manispaa ya Shinyanga
Muonekano wa sehemu ya Mto Mhumbu Manispaa ya Shinyanga
Muonekano wa sehemu ya Mto Mhumbu Manispaa ya Shinyanga
Muonekano wa sehemu ya Mto Mhumbu Manispaa ya Shinyanga mahali panapopita bomba la maji ya SHUWASA
Muonekano wa sehemu ya Mto Mhumbu Manispaa ya Shinyanga mahali panapopita bomba la maji ya SHUWASA
Muonekano wa sehemu ya Mto Mhumbu Manispaa ya Shinyanga mahali panapopita bomba la maji ya SHUWASA

About the author

Alex Sonna