marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

trendbet giriş

Milanobet

jojobet

türk ifşa

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

padişahbet giriş

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

bahiscasino

vdcasino

vaycasino giriş

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

bahis siteleri

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

deneme bonusu veren siteler

eminevim

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA ATAKA MAJAJI NA MAHAKIMU KUISHI KATIKA MISINGI YA VIAPO VYAO

Written by mzalendo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi pamoja na wageni mbalimbali wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini ambayo Kitaifa yamefanyika katika viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma tarehe 01 Februari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini ambayo Kitaifa yamefanyika katika viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma tarehe 01 Februari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Hamis Juma wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini ambayo Kitaifa yamefanyika katika viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma tarehe 01 Februari, 2024.
Kwaya ya Mahakama ikitumbuiza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini ambayo Kitaifa yamefanyika katika viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma tarehe 01 Februari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini ambayo Kitaifa yamefanyika katika Viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma tarehe 01 Februari, 2024.

Na.Alex Sonna-DODOMA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan,amesema Serikali itaendelea kuchukua  hatua za kuimarisha utendaji kazi wa Mahakama ikiwemo  matumizi  ya Tehama huku akiwataka Majaji na Mahakimu kuishi katika misingi ya viapo vyao kwa  kutenda haki kwa wote.

Rais Samia ameyasema hayo leo Februari 1,2024 jijini Dodoma  wakati wa kilele cha Maadhimisho ya wiki ya sheria nchini inayobebwa na kaulimbiu isemayo umuhimu wa Dhana ya haki Kwa ustawi  wa Taifa na nafasi ya Mahakama na wadau katika kuboresha mfumo jumuishi wa haki.

Amewataka Mahakimu na Majaji nchini kutoa hukumu za kesi wanazozisimamia kwa kuzingatia haki ili kukomesha malalamiko ya wananchi kutumikia adhabu ambazo siyo zao.

“Kutoa haki ni kazi ya Mungu ukitoa kwa dhuruma umetenda dhambi na dhambi ni aibu kwa mujibu wa vitabu vitakatifu ni aibu”amesema Mhe.Rais Samia

Aidha Rais Samia ameitaka Mahakama kuona Umuhimu wa kuimarisha haki madai kutokana na kuwepo kwa malalamiko  toka kwa Wananchi na kupelekea  kucheleweshwa kwa kesi.

“Jitihada kubwa zimefanyika hasa katika eneo la haki jinai hivyo ipo haja ya kuongeza jitihada katika eneo la haki madai na  kuna malalamiko kesi zinacheleweshwa mzunguko ni mkubwa wanasema inachukua hadi miezi 12 kwa shauri lililopo kwenye mahakama ya wilaya na mahakama ya hakimu mkazi kuskilizwa hadi kuhitimishwa.”

Hata hivyo Rais Samia amesema ipo haja ya kuangalia namna ya bora ya kuanza kutumia usuluhishi katika mashauri mbalimbali badala ya watu kwenda mahakamani.

“Twente kwenye usuluhishi ambao ni njia nzuri kila mmoja anatoka na amani na hauachi makovu kwa wahusika tofauti na ilivyo mahakamani ambako mashauri yanatumia muda mrefu kutolewa maamuzi na shughuli nyingine zinasimama”amesema 

Aidha ameiagiza Wizara ya Katiba na Sheria kushirikiana na wadau wa usuluhishi ili kusaidia kuudwa kwa sera ya masula yanayohusu usuluhishi.

Kwa upande wake  Jaji Mkuu wa Tanzania,Prof Ibrahim Hamis  Juma amesema kuwa mwelekeo wa utoaji wa haki nchini unaenda sambamba na Matumizi ya mifumo ya TEHAMA.

“Ushirikiano baina ya taasisi za haki jinai ni jambo muhimu sana kwa mafano mahakama tumepiga hatua kubwa sana katika maboresho kitengo chetu cha maboresho kipo tayrai kuwasaidia wadau ambao wanataka kujinza maboresho, kitengo chetu cha TEHAMA kimejijengea uwezo mkubwa wa kuweza kutengeneza mifumo inayokidhi mahitaji ya Tanzania.”amesema

Awali  Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dkt.Elieza Fereshi amesema kuwa tayari Sheria 256 zimeshatafsiriwa kwa Kiswahili ambapo Watatumia Mfumo wa haki jinai ili kuongeza ufanisi wa kazi kwa kundi  la mawakili 

About the author

mzalendo