Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pusulabet, pusulabet giriş

gameofbet

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

coinbar

coinbar

maxwin, maxwin giriş

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

casibom giriş

casibom

betewin

interbahis

casinofast giris

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

grandpashabet

jojobet

holiganbet

jojobet

nakitbahis

bets10

jojobet

tambet

ultrabet

mislibet

mavibet güncel giriş

setrabet

pulibet

perabet

timebet

deneme bonusu veren siteler

coinbar

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet giriş

mislibet giriş

mavibet güncel giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet

mislibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

mislibet

mavibet giriş

mislibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

fenomenbet, fenomenbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

grandpashabet

grandpashabet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

https://ganeshpoojakit.com/

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

betpas

royalbet

Betpas

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

MTATURU ATAJA MAMBO MANNE YALIYOMO KWENYE MISWADA YA SHERIA ZA UCHAGUZI

Written by mzalendo

 

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,akichangia Miswada ya Sheria ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023,Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wa Mwaka 2023 na Muswada wa Sheria ya marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa wa mwaka 2023 bungeni jijini Dodoma.

Na.Mwandishi Wetu-DODOMA

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameeleza mambo manne yaliyopendekezwa kwenye
miswada mitatu ya Sheria zinazodhamira kuleta mageuzi kwenye uchaguzi na kisiasa ikiwemo uwepo wa kamati ya usaili inayoongozwa na Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jaji Mkuu wa Zanzibar.

Miswada hiyo ni Sheria ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023,Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wa Mwaka 2023 na Muswada wa Sheria ya marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa wa mwaka 2023.

Akichangia miswada hiyo Januari 30,2024,bungeni Jijini Dodoma,Mtaturu amesema eneo la Tume Huru ya Uchaguzi lilikuwa linapigiwa kelele na wadau wengi na Rais Samia Suluhu Hassan ameliona hilo na kuridhia mabadiliko hayo.

“Ni Marais wachache wenye nguvu ambao wanaweza kukubali baadhi ya mambo yake yafanywe na watu wengine,Mhe.Rais wetu amekubali kwamba kuwe na Kamati ya Usaili ambayo itamsaidia kuwachuja watu,kamati ambayo imebeba watu waaminifu wa level ya juu kabisa ambao wataenda kufanya kazi hiyo kwa niaba ya Mh Rais.”

“Kamati hii ya Usaili ambayo imetajwa tusipoiamini tutamuamini nani, maana yake ni kwamba tutakapokuwa tumekubali Sheria hii tutakuwa tumekubali Kamati hii ya Usaili itakayomsaidia sana Mh Rais kuondoa maneno ambayo yamekuwepo kwamba amekuwa akiteua peke yake,jambo ambalo sio kweli kwak uwa Rais ni taasisi lakini sasa amekubali,hivyo Kamati itateua au kupendekeza majina matatu na yatapelekwa kwa Rais,”amesema.

Jambo la pili alilochangia ni kuhusu sifa za viongozi wa Kamati ya Usaili ambao kupitia Sheria hiyo wanatakiwa kuwa majaji na kusisitiza kuwa Sheria hiyo ikipitishwa watakuwa na Tume Bora ya Uchaguzi ambayo itaenda kuwa na jibu la manung’uniko yaliyoliyokuwepo siku za nyuma.

Mtaturu ametaja jambo la tatu ni kuhusu wagombea kupita bila ya kupingwa ambapo mwanzoni kulikuwa na kelele lakini kupitia sheria hiyo kelele hizo zimesikilizwa.

“Viongozi wengi wameeleza kuwa haiwezekani kukawa na mgombea mmoja akapita bila ya kupingwa hivyo kupitia hii sheria akitokea mgombea mmoja lazima apigiwe kura ya ndio ama hapana ili kuamua ama kubariki kuwa huyu sasa amechaguliwa kwa kupiga kura,”amesema.

Amesema hatua hiyo itaondoa hofu ile iliyokuwepo mwanzoni kwamba watu wanapitishwa tu ili waende wakawe viongozi bila ya kuwa na ruhusa kutoka kwa wananchi.

Jambo la nne ni kuhusu Usawa wa Kijinsia ambalo limezingatiwa katika Sheria ili kuondoa manyanyaso yaliyokuwepo katika baadhi ya meneo.

“Baadhi ya wanawake wazuri katika maeneo fulani fulani lakini wameshindwa kuchaguliwa kwa sababu tu ni wanawake,lakini kumekuwa na mfumo dume katika maeneo ya jamii yetu ambayo hayaamini katika mwanamke kuwa kiongozi kwa hiyo kupitia Sheria hii itavilazimisha vyama vya siasa kuweka wagombea ambao ni wanawake au kama walivyosema wengine hata wanaume ambao hawakubaliki,”.amesema Mtaturu.

Amewaomba watanzania kuiunga mkono serikali na kuipitisha miswada hiyo ambayo itaimarisha demokrasia nchini.

About the author

mzalendo