marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

pusulabet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

matbet

marsbahis

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

pusulabet giriş

matbet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

cratosroyalbet

pokerklas

marsbahis

perabet giriş

piabet

betoffice

restbet

imajbet

safirbet

goldenbahis

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

gobahis, gobahis giriş

jojobet giriş

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

setrabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

kingroyal giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

trendbet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10 giriş

bets10 giriş

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

grandpashabet giriş

casinoroyal

İkimisli

casinofast

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

perabet giriş

mislibet

mislibet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis

kralbet giriş

belugabahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

ultrabet

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

ultrabet

mislibet

interbahis

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

Featured Kitaifa

SERIKALI KUENDELEA KUTHAMINI HAKI NA USTAWI WA WATU WENYE ULEMAVU

Written by mzalendo

 

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi,akizungumza wakati akizindua Kongamano la Kujadili Mada mbalimbali kuhusu Watu Wenye Ulemavu kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Watu wenye Ulemavu leo Desemba 1,2023 jijini Dodoma.

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi,akisisitiza jambo wakati akizindua Kongamano la Kujadili Mada mbalimbali kuhusu Watu Wenye Ulemavu kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Watu wenye Ulemavu leo Desemba 1,2023 jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma kwa Watu wenye Ulemavu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu,Bw.Rasheed Maftah,akizungumza wakati wa  Kongamano la Kujadili Mada mbalimbali kuhusu Watu Wenye Ulemavu kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Watu wenye Ulemavu leo Desemba 1,2023 jijini Dodoma.

Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Dkt.Simon Chacha akitoa salamu za Mkoa wa Dodoma wakati wa  Kongamano la Kujadili Mada mbalimbali kuhusu Watu Wenye Ulemavu kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Watu wenye Ulemavu leo Desemba 1,2023 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania Bara Ndugu Ernest Kimaya,akizungumza wakati wa  Kongamano la Kujadili Mada mbalimbali kuhusu Watu Wenye Ulemavu kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Watu wenye Ulemavu leo Desemba 1,2023 jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi (hayupo pichani) ,akizungumza wakati akizindua Kongamano la Kujadili Mada mbalimbali kuhusu Watu Wenye Ulemavu kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Watu wenye Ulemavu leo Desemba 1,2023 jijini Dodoma.

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi,akiwa katika picha ya pmoja mara baada ya kuzindua  Kongamano la Kujadili Mada mbalimbali kuhusu Watu Wenye Ulemavu kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Watu wenye Ulemavu leo Desemba 1,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

 

SERIKALI  inaendelea kuyapa kipaumbele masuala ya watu wenye ulemavu,kuwapenda,kuthamini haki na ustawi wao kwa kutekeleza shughuli mbalimbali ikiwemo, kufanya mapitio ya Sera ya Taifa ya Maendeleo na Huduma kwa Watu wenye Ulemavu ya mwaka 2004.

Hayo yamesemwa leo Disemba 1,2023 jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi,wakati akizindua  Kongamano la Kujadili Mada mbalimbali kuhusu Watu Wenye Ulemavu kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Watu wenye Ulemavu

“Lengo kuu la kongamano hili ni kujadili mada mbalimbali zitakazowasilishwa na wataalam wetu na kuweza kutoa michango yetu pamoja na kushauri namna bora ya kuboresha huduma hizo katika maeneo hayo husika. Aidha, nimejulishwa kuwa mada zitakazojadiliwa ni pamoja na Afya ya akili, ujumuishwaji wa masuala ya afya kwa Watu wenye Ulemavu pamoja na afya ya uzazi, fidia kwa Wafanyakazi wanaopata ulemavu kazini, Huduma kwa Watoto wenye kichwa kikubwa na mgongo wazi pamoja na mfumo wa utolewaji taarifa kwa Watu wneye Ulemavu” 
Na kuongeza kuwa “Serikali inaendelea kukamilisha kuandaa Mwongozo wa Ufikivu wa miundombinu, Mwongozo wa uanzishwaji, uendeshaji na usimamizi wa vyuo vya ufundi stadi na marekebisho kwa Watu wenye Ulemavu vya Serikali na watu binafsi pamoja na kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu ujumuishwaji wa masuala ya Watu wenye Ulemavu katika jamii,” amesema Mhe.Katambi
Aidha Mhe.Katambi amesema kuwa wamefanya  Maboresho ya miundombinu katika vyuo sita  vya ufundi stadi na marekebisho kwa Watu wenye Ulemavu vilivyopo Yombo – Dar es Salaam, Sabasaba – Singida, Masiwani –Tanga, Luanzari –Tabora, Mtapika – Masasi na Mirongo- Mwanza na sasa upanuzi wa chuo hicho unafanyika katika eneo la Kisesa ikiwemo Ujenzi wa vyuo vipya vitatu katika Mkoa wa Ruvuma, Songwe na Kigoma. 
Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, watu milioni 3.2 sawa na asilimia 9.3 ya watu milioni 44.9 wakati huo walikuwa na aina fulani ya ulemavu. Kulingana na Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 idadi ya Watu ni 61,741,120 hivyo inatarajiwa pia idadi ya Watu wenye Ulemavu kuongezeka ikizingatiwa ushirikishwaji wa Watu wenye Ulemavu ulikuwa mkubwa na hivyo kuongeza hamasa ya kushiriki.
Kongamano hilo limewashirikisha watendaji kutoka Idara za serikali na Taasisi zake, mashirika na taasisi zinazotoa huduma kwa Watu wenye Ulemavu, vyama vya Watu wenye Ulemavu, Watu wenye Ulemavu pamoja na vyombo vya habari. Ninatambua kuwa ninyi nyote ni wadau muhimu katika kongamano hili la leo ambalo linaenda kuangazia sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya afya, elimu, ajira, uwezeshwaji wananchi kiuchumi pamoja na huduma kwa Watu wenye Ulemavu.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma kwa Watu wenye Ulemavu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu,Bw.Rasheed Maftah, amesema kuwa zoezi la mapitio ya sera ya Maendeleo ya watu Wenye Ulemavu limeanza 

”Zoezi hilo ni shirikishi kwani katika timu inayofanya mapitio ya sera hiyo imejumuisha Makundi yote ikiwemo Kamati za watu Wenye Ulemavu kuanzia ngazi ya Mtaa.”amesema Bw.Maftah

About the author

mzalendo