Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

GGML WAUNGANA NA BITEKO KUANIKA MBINU ZA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI

Written by mzalendo

 

 

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko (katika) akihutubia na viongozi mbalimbali wa serikali, wanaoishi na virusi vya UKIMWI  na wadau wa maendeleo ikiwamo Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika mkutano maalum wa wadau wanaoshughulikia udhibiti wa UKIMWI Tanzania uliofanyika juzi mjini Morogoro.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko (katika) akiwa na viongozi mbalimbali wa serikali pamoja na wadau wa maendeleo ikiwamo Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) ambayo iliwakilishwa na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama, Mazingira na Mafunzo wa GGML, Dk Kiva Mvungi (wa kwanza kulia waliosimama) na Meneja Uhusiano na Mawasiliano, Stephen Mhando (wa kwanza kushoto waliosimama).

NA MWANDISHI WETU

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wadau mbalimbali wanaohusika na mapambano dhidi ya UKIMWI nchini kwa kushirikiana na Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) kuhakikisha kuwa wanatenga fedha za kutosha kwa ajili ya mapambano dhidi ya UKIMWI nchini badala ya kutegemea wafadhili kwa kiasi kikubwa.

Dk. Biteko amesema hayo jana katika mkutano maalum wa wadau wanaoshughulikia udhibiti wa UKIMWI Tanzania uliofanyika mjini Morogoro na kuhusisha viongozi wa Serikali, wanaoishi na virusi vya UKIMWI na wadau wa maendeleo ikiwamo Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML).

Alisema pamoja na juhudi mbalimbali zinazochukuliwa na Serikali pamoja na wadau, bado UKIMWI haujadhibitiwa inavyotakiwa, hali inayoweza kusababisha maambukizi mapya kuongezeka.

Aliwataka wadau wote wanaohusika kuendelea na juhudi za utoaji afua mbalimbali zenye lengo la kutokomeza ugonjwa wa UKIMWI.

“Tanzania imepiga hatua kubwa katika mapambano dhidi ya UKIMWI na nawataka TACAIDS na wadau kuhakikisha mnashirikiana kwa pamoja dhidi ya mapambano ya Ukimwi kwa kuongeza ushiriki wa wananchi pia,” amesisitiza Dk. Biteko

Aidha, akichangia mada katika mkutano huo, Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama, Mazingira na Mafunzo wa GGML, Dk Kiva Mvungi aliunga mkono hoja hizo za Dk. Biteko na kusisitiza kuwa maeneo mengine ambayo Serikali inaweza kutumia na kupunguza utegemezi wa wafadhili ni kupitia kampuni kubwa zinazofanya shughuli zake hapa nchini.

“Kwa mfano GGML hushirikiana na TACAIDS kila mwaka kuandaa kampeni ya Kili Challenge ambayo  washiriki hupanda na kuuzunguka mlima Kilimanjaro na fedha zinazopatikana huelekezwa katika mfuko wa kudhibiti Ukimwi pamoja na kuwezesha afua na asasi zinazojishughulisha na masuala ya Ukimwi,” alisema.

Dk. Kiva alitaja mbinu nyingine ya kuondokana na utegemezi kutoka kwa wafadhili kuwa ni kushirikisha Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) ambacho kina wanachama mbalimbali wakiwamo makampuni makubwa ya madini na kampuni nyingine ambazo zitaweza kuchangia fedha za kuendeleza mapambano dhidi ya VVU/ Ukimwi.

“Kwa kutumia ATE tunaweza kushirikisha wafanyakazi wetu au kuwatia moyo wanachama  wa ATE wawe na mtazamo na kusaidia jamii na kufanya tathmini ya mahali ambapo mtu au kampuni husika inapofanya kazi. Kisha tunaingia kwenye jamii za kupima kama kweli huduma hizo muhimu za elimu ya afya zimetolewa.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), Dk. Jerome Kamwela alisema mkutano huo unalenga kutoa nafasi ya mashaurinao kati ya Serikali na wadau wake katika mapambano dhini ya UKIMWI.

Alisema mkutano  huo ni muhimu hasa wakati huu ambao Tanzania inaelekea kufikia lengo la dunia la kumaliza UKIMWI ifikapo mwaka 2030.

“Lengo linataka kusiwe na maambukizi mapya ya UKIMWI, kusiwe na vifo vinavyotokana na UKIMWI pia, kusiwe na unyanyapaa kwa watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi,” alisema.

About the author

mzalendo