marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

pusulabet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

matbet

marsbahis

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

cratosroyalbet

pokerklas

marsbahis

perabet giriş

piabet

betoffice

restbet

imajbet

safirbet

goldenbahis

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

gobahis, gobahis giriş

jojobet giriş

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

setrabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

kingroyal giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

trendbet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10 giriş

bets10 giriş

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

grandpashabet giriş

casinoroyal

İkimisli

casinofast

holiganbet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

perabet giriş

mislibet

mislibet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis

kralbet giriş

belugabahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

ultrabet

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

ultrabet

mislibet

interbahis

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU AZINDUA RIPOTI YA UTAFITI VIASHIRIA VYA UKIMWI

Written by mzalendo

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua ripoti ya utafiti wa viashiria vya UKIMWI  baada ya kuhutubia katika Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Morogoro, Disemba 1, 2023. Wengine kutoka kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu.

……………………..

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezindua ripoti ya utafiti wa viashiria vya UKIMWI ambayo inaonesha maambukizi mapya miongoni mwa watu wazima wenye umri zaidi ya miaka 15 yanaendelea kupungua.

“Maambukizi mapya miongoni mwa watu wazima wenye zaidi ya miaka 15 yanaendelea kupungua kutoka watu 72,000 waliokuwepo mwaka 2016/2017 hadi watu 60,000 kwa mwaka 2022/2023. Hii ni sawa upungufu wa asilimia 0.18 ambapo asilimia 0.24 ni wanawake na asilimia 0.11 ni wanaume,” amesema. 

Ameyasema hayo leo (Ijumaa, Desemba mosi, 2023) wakati akizungumza na mamia ya wananchi waliohudhuria maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani yaliyofanyika kwenye viwanja vya shule ya sekondari ya Morogoro, mjini Morogoro.

Amesema Serikali iliamua kufanya utafiti kwa lengo la kujua hali ya sasa ya VVU na UKIMWI ilivyo hapa nchini na matokeo yameonesha kuwa Tanzania imepata mafanikio makubwa katika mapambano dhidi ya UKIMWI.

Utafiti huo unaotambulika kama Utafiti wa Viashiria vya UKIMWI kwa mwaka 2022/2023 unapima matokeo ya mwitikio wa kitaifa wa UKIMWI nchini miongoni mwa watu wazima wenye umri wa kuanzia miaka 15 ukiwa na lengo la kukadiria kiwango cha maambukizi mapya ya VVU, ushamiri wa VVU, ufubazaji wa VVU kwa watu wanaoishi na VVU na utumiaji wa dawa kitaifa na kimikoa. 

 

“Utafiti umebaini kuwa kiwango cha kufubaza VVU kimeendelea kukua ambapo kwa sasa ni wastani wa asilimia 78 ambapo kwa upande wa wanawake kiwango kimekua kwa asilimia 80.9 na wanaume asilimia 72.2 ikilinganishwa na asilimia 52 iliyokuwepo kulingana na utafiti wa mwaka 2016/2017.”

“Kiashiria hiki ni muhimu kwa sababu mtu anapokuwa amefubaza VVU anakuwa na afya njema na hatasumbuliwa na UKIMWI pamoja na magonjwa nyemelezi. Pia anapofikia kiwango ambacho virusi havionekani maabara, basi hataweza kuambukiza VVU kwa wengine,” amesema.

Kuhusu kiwango cha ushamiri wa VVU kwa umri kuanzia miaka 15 na zaidi kwa mikoa ya Tanzania bara, Waziri Mkuu amesema utafiti umeonesha kuwa, kinaanzia asilimia 1.7 kwa mkoa wa Kigoma hadi kufikia asilimia 12.7 kwa mikoa ya Njombe, Mbeya na Iringa. “Mkoa wa Njombe una viwango vya ushamiri zaidi ya asilimia 9 sawa na mara mbili ya kiwango cha Taifa. Kwa upande wa Zanzibar, yanaonesha unaanzia asilimia 0.2 katika Mkoa wa Kaskazini Pemba hadi asilimia 0.8 Mkoa wa Kusini Unguja,” amesema.

Akitoa maagizo mahsusi, Waziri Mkuu amewataka vijana wajitambue na kuthamini maisha yao kwa kujikinga na maambukizi mapya ya VVU. “Wadau wote wekeni kipaumbele katika kundi hili muhimu ili kulinusuru na athari za UKIMWI.”

Pia amewataka watu wanaoishi na VVU waendelee kutumia dawa za ARV kwa ufuasi sahihi bila kuacha ili kufubaza VVU na kuimarisha afya zao. “Taifa linawategemea, Serikali itaendelea kuhakikisha huduma za ARV nchini zinapatikana.”

Ameitaka mikoa na wilaya zote nchini itekeleze maelekezo ya kufanya Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani na kutoa huduma stahiki kwa wananchi. “Kila mkoa uandae taarifa ya maadhimisho itakayoainisha huduma mbalimbali za kijamii na kuiwasilisha kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI,” amesisitiza.

Ametumia fursa hiyo kuwaomba viongozi wa dini, wa siasa na wa kimila watumie majukwaa waliyonayo kuendelea kusema na kukemea taarifa za ubaguzi dhidi ya WAVIU na kuhimiza upendo na huruma kwao.

Mapema, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama alisema ofisi yake kwa kushirikiana na ofisi ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) pamoja na Waziri wa Afya watajipanga kuhakikisha wanawalinda vijana wa Tanzania dhidi ya janga la UKIMWI.

Naye, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu alisema ili kukabiliana na kasi ya kuenea kwa maambukizi wa VVU, wizara yake imezindua mpango wa kuoanisha VVU, magonjwa ya ngono na homa ya ini kwani kuna ushabihiano mkubwa wa njia za maambukizi za magonjwa hayo.

Amesema hatua hiyo imekuja baada ya kubaini kuwa asilimia 4.4 ya Watanzania wana maambukizi ya magonjwa ya ini.

Akielezea mpango wa wizara kufikisha huduma ya afya kwa ngazi ya jamii, alisema wizara hiyo inatarajia kuajiri wahudumu wa afya ya jamii 137,000 ambao watafanya kazi kuanzia ngazi ya mitaa na vitongoji.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia waandamanaji katika Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani yaliyofanyika  kitaifa kwenye  viwanja vya Shule ya Sekondari Morogoro, Disemba 1, 2023. Wengine kutoka kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima na kulia ni Mwenyeki wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Afya na masuala ya UKIMWI, Stanslaus Nyongo.

Waandamaji wakipita mbele ya mgeni rasmi Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika  Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yaliyofanyika kitaifa kwenye viwanja wa vya Shule ya Sekondari Morogoro,

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi alipowasili kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Morogoro kuwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani yaliyofanyika kitaifa kwenye viwanja vya Shule ya Sekodari Morogoro, Disemba 1, 2023.  Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima na wa pili kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mtalaamu wa Afya ya Jamii, Makune Makune (kushoto)  wakati alipotembelea banda la maonesho la Programu  ya  Marekani inayojishughulisha na masuala ya UKIMWI (PEPFAR) kabla ya kuhutubia katika Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani  kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Morogoro, Disemba 1, 2023. Kulia ni Mratibu wa Programu hiyo, Jesca Green.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani yaliyofanyika kitaifa kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Morogoro.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akibonyeza kitufe kuzindua  ripoti ya utafiti wa viashiria vya UKIMWI  baada ya kuhutubia katika Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Morogoro, Disemba 1, 2023. Wa pili kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama na wa tau kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua ripoti ya utafiti wa viashiria vya UKIMWI  baada ya kuhutubia katika Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Morogoro, Disemba 1, 2023. Wengine kutoka kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionesha nakala za ripoti ya utafiti wa viashiria vya UKIMWI  baada ya kuhutubia katika Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari  Morogoro, Disemba 1, 2023. Wengine kutoka kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira , Vijana na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu na Mkuu wa mkoa wa Morogoro Adam Malima.

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwaaga wananchi baada ya kuhutubia katika Maadhimisho ya Siku ya UKIMWIi Duniani yaliyofanyika kitaifa kwenye viwanja yha Shule ya Sikondari Morogoro

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na viongozi baada ya kuhutubia katika Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kitaifa kwenye viwanja vya Shule ya Sekodari Morogoro, Disemba 1, 2023. Kutoka Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Adam Malima, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Jenista Mhagama, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana. na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga na Mwenyekiti wa Barcza la Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI. (NACOPHA), Leticia Moris.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

mzalendo