marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

pusulabet

matbet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

ultrabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

tambet

ngsbahis

betlike

parmabet

mislibet

mislibet

jojobet giriş

nitrobahis

jojobet

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

enjoybet giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

Featured Kitaifa

WATIMISHI WAWILI WAKUTWA NA TUHUMA ZA KUJIBU KWENYE KITUO CHA AFYA KABUKU

Written by Alex Sonna

Na. WAF – Tanga

Watumishi wawili wakutwa na tuhuma za kujibu kwenye kifo cha Bi. Mariam Zahoro mkazi wa Kijiji cha Mumbwi katika Wilaya ya Handeni kilichotokea kwenye Kituo cha Afya Kabuku, Mkoa wa Tanga.

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema hayo leo baada ya kupokea taarifa ya uchunguzi wa kifo cha mama mjamzito na kichanga chake katika kituo cha Afya Kabuku Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga.

“Serikali imepokea mapendekezo ya kamati iliyoundwa na tayari tumeanza kufanyiwa kazi ikiwa ni pamoja na Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) kutoa notisi ya kumtaka Daktari kujibu tuhuma zinazomkabili pamoja na Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) kutoa notisi kwa Muuguzi na kutakiwa kujibu tuhuma hizi ndani ya siku 14 kuanzia leo.” Amesema Waziri Ummy

Waziri Ummy wakati akifafanua taarifa hiyo amesema kuwa Watumishi hao wawili ambao ni Daktari wa zamu namba 2 (Dkt xxx) na Muuguzi wa kutoa huduma za usingizi xxx kushindwa kuzingatia maadili na weledi wa taaluma zao katika kumuhudumia mgonnjwa huyu.

“Kamati imebaini kuwa Daktari wa zamu namba 2 alishindwa kufika kwa wakati kutoa huduma za dharura licha ya kupewa taarifa mara kwa mara ya kutakiwa kufika Kituoni kutoa huduma ya dharura kwa mgonjwa huyu.” Amesema Waziri Ummy

Amesema, Daktari huyu licha ya kufika Kituoni kwa kuchelewa bado alishindwa kutimiza wajibu wake wa kitaaluma ikiwemo kutoa rufaa kwa mgonjwa kwenda kuhudumiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Handeni (ambayo ipo takribani kilometa kutoka Kituo cha Afya Kabuku) baada ya mtaalamu wa usingizi kutopatikana kwenye simu na hivyo mgonjwa kutofanyiwa upasuaji kwa wakati.

“Kamati imebaini kuwa Daktari huyu alishindwa kutoa Taarifa ya dharura hii kwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya au Mganga Mkuu wa Halmashauri ili wawezi kuchukua hatua za haraka kwa ajili ya kuokoa maisha ya mama huyu.” Amesema Waziri Ummy

Aidha Kamati imebaini ukiukwaji wa Maadili kwa Muuguzi xxx mwenye utaalamu wa kutoa huduma ya dawa ya usingizi ambapo imepelekea kutakiwa kutoa maelezo ndani ya siku 14.

Aidha, Waziri Ummy amepiga Marufuku kwa Viongozi na wataalamu kufanya maamuzi ya kuwatoza fedha wananchi kupitia vikao vya makubaliano pasi na kuwashirikisha wananchi kutokana na Majibu ya taarifa ya Uchunguzi kuonyesha kuwa yaliweka makubaliano kuwatoza wajawazito gharama hizo za Shilingi laki na nusu kwa watakojifungua kwa Upasuaji.

“Kifo cha Bi. MARIAMU ZAHORO kingeweza kuepukika kutokana na taarifa iliyotolewa, tusubiri majibu ndani ya hizo siku 14 lakini kwa sasa hawatarudi kazini hii iwe funzo na onyo kwa wengine.” Amesema Waziri Ummy

About the author

Alex Sonna