Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

avrupabet

vipslot

betcool

betlivo

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

kareasbet

hazbet

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

betra

gobahis

casival

casival

betcool

avrupabet

celtabet

jojobet

Hacklink panel

norabahis

kingroyal

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

hepbet

millibahis giriş

gobahis

vipslot

betface

elitbahis giriş

betcool

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

betlike

holiganbet

jojobet

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betewin

jojobet

vipslot

betnis

betmarino giriş

aresbet

aresbet

avrupabet giriş

betface

luxbet

betmarino

casival giriş

betlivo giriş

realbahis

gallerbahis

gallerbahis

aresbet giriş

parmabet

betnis

elitbahis

vaycasino giriş

betra giriş

celtabet giriş

parmabet giriş

vipslot giriş

hazbet giriş

elitbahis

luxbet giriş

hepbet

lordcasino

parmabet

lordcasino

kareasbet

betcool giriş

realbahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

slot siteleri

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

parmabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

madridbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

casino siteleri

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat

jojobet giriş

marsbahis

sweet bonanza

realko

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

betlivo

millibahis

millibahis

celtabet

millibahis

parmabet giriş

mavibet giriş

coinbar

coinbar

mislibet giriş

mavibet

parmabet giriş

parmabet

bahiscasino

mavibet

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

marsbahis

betsat

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

sekabet güncel giriş

grandpashabet

grandpashabet

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

casibom

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

Featured Kitaifa

DKT. MWIGULU AKIPONGEZA CHUO CHA MIPANGO KWA KUWAINUA WANANCHI KIUCHUMI.

Written by mzalendo

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bi. Jenifa Omolo, kwa niaba ya Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akitunuku shahada wahitimu wa Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini duru ya kwanza Kampasi kuu ya Dodoma katika hafla ya mahafali ya 37 ya chuo hicho, jijini Dodoma. Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho Profesa Hozen Mayaya.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bi. Jenifa Omolo, (mwenye joho jekundu), akiwa katika maandamano wakati wa mahafali ya 37 ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini duru ya kwanza Kampasi kuu ya Dodoma, jijini Dodoma, kwa niaba ya Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb). Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho Profesa Hozen Mayaya. Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho, Prof. Hozen Mayaya na kushoto ni Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Uongoziw a chuo hicho Dkt. Remidius Ruhinduka.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na MIpango Bi. Jenifa Omolo, kwa niaba ya Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza wakati akihutubia hadhira wakati wa hafla ya mahafali ya 37 ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini duru ya kwanza Kampasi kuu ya Dodoma, jijini Dodoma.

Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Dkt. Remidius Ruhinduka, akizungumza wakati wa hafla ya mahafali ya 37 ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini duru ya kwanza Kampasi kuu ya Dodoma, jijini Dodoma.

Baadhi ya wahitimu wa kada mbalimbali wakiwa katika hafla ya mahafali ya 37 ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini duru ya kwanza Kampasi kuu ya Dodoma, jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bi. Jenifa Omolo (mwenye joho jekundu) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wahadhili wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini baada ya kuhitimisha hafla ya mahafali ya 37 ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini duru ya kwanza Kampasi kuu ya Dodoma, jijini Dodoma. 

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bi. Jenifa Omolo (wa pili kulia) akiangalia maonesho ya bidhaa zinazotengenezwa na wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo Vijijini Kampasi ya Dodoma,wakati mmoja wa wanafunzi alipokuwa akitoa ufafanuzi  wakati alipotembelea maonesho ya wanafunzi kabla ya kufungua hafla ya mahafali 37 ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini duru ya kwanza Kampasi kuu ya Dodoma, jijini Dodoma.

………………………… 

Na. Ramadhani Kissimba na Saidina Msangi, WF, Dodoma.

 Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amekipongeza Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) kwa kuwainua wananchi kiuchumi kupitia Kituo cha Ujasiriamali na Ubunifu cha Chuo hicho (Mipango Enterprenurship and Innovation Centre – MEI), pamoja na miradi inayoendeshwa na wabia wa maendeleo wakiwemo Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP).

 Akizungumza kwa niaba ya Mhe. Waziri wa Fedha katika mahafali ya 37 ya Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini duru ya kwanza Kampasi Kuu – Dodoma, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Omolo, amekitaka Chuo hicho kuendelea kutilia mkazo mawazo ya kijasiriamali na ubunifu ya wanafunzi kwani kwa kufanya hivyo watakuwa wanaunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuwawezesha vijana kushiriki kwenye mapinduzi makubwa ya kiuchumi.

 ‘Kwa namna ya kipekee ninakupongeza Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi wa Chuo na Baraza lako la Uongozi  kwa mafanikio ambayo Chuo imeyapata. Mmetoa mchango mkubwa wa kuwainua wananchi kiuchumi kupitia Kituo chenu cha Ujasiriamali na Ubunifu (Mipango Enterprenurship and Innovation Centre – MEI)’’. Alisema Bi. Omolo

 Aidha, Bi. Omolo alisema kuwa Serikali imeendelea kuwapunguzia mzigo wazazi wa wanafunzi hasa kwenye suala la kupata elimu hapa nchini kwa kuondoa ada kuanzia shule ya awali hadi kidato cha sita, kuongeza bajeti ya Mikopo ya elimu ya juu kila mwaka.

‘‘Kwa mwaka wa fedha 2023/24 Serikali imetenga jumla ya shilingi bilioni 731 ikilinganishwa na shilingi bilioni 570 zilizotengwa mwaka wa fedha 2022/23 na Kuanzisha Mikopo ya Elimu ya Stashahada ambapo kwa mwaka wa masomo 2023/24, Serikali imetenga jumla ya shilingi bilioni 48 kwa ajili ya kuwakopesha wanafunzi 8,000 wa ngazi ya Stashahada katika fani mbalimbali zikiwemo za Afya na Sayansi Shirikishi’’alisema Bi. Omolo.

 Aliongeza kuwa pamoja na jitihada hizo Serikali pia haijawaacha nyuma wahitimu wa ngazi nyingine pamoja na vijana hapa nchini kwani imechukua hatua mbalimbali katika kuwatengenezea mazingira mazuri ya kujiajiri ikiwemo kuanzisha Programu ya Jenga Kesho iliyo bora (Building Better Tomorrow -BBT), programu ambayo inalenga kuwafungamanisha vijana wasomi na wenzao wengine kwenye kilimo biashara kwa kulima mazao mbalimbali ya kimkakati.

 Awali, Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Profesa Hozen Mayaya alisema Chuo Kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo (UNDP) iliandaa Miongozo ya Kufundishia kuhusu miradi inayokopesheka “Bankable Projects” na vyombo maalum vya uendeshaji biashara za taasisi (Special Purpose Vehicle – SPV) kwa Halmashauri zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Halmashauri 13 za Tanzania Bara.

 Profesa Mayaya aliongeza kuwa Chuo kilifanya tathmini ya Mkakati wa Kugharamia Utekelezaji wa Mpango wa Tatu wa Taifa kwa kushirikina na Wizara ya Fedha kwa Kukusanya takwimu na uandishi wa ripoti kuhusu tathmini ya Mikopo kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu itolewayo na Halmashauri hapa Nchini.

 Akimkaribisha Mgeni Rasmi katika Mahafali hayo, Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Chuo, Dkt. Remidius Ruhinduka, alisema Chuo cha Mipango kikiwa ni Chuo pekee hapa nchini chenye jukumu la kuandaa watalaamu wa masuala ya mipango ya maendeleo kitaendelea kuunga mkono juhudi za Mheshimiwa Rais kwa kuendelea kufanya kazi kwa bidii, maarifa na weledi wa hali ya juu.

 Dkt. Ruhinduka aliongeza kuwa Chuo kitaendelea kutekeleza majukumu yake kwa kufuata Sheria, Taratibu, Kanuni na Miongozo mbalimbali inayotolewa na Serikali mara kwa mara na kuendelea kutoa wahitimu mahiri na wenye kutumia weledi katika utekelezaji wa majukumu yao.

 Katika mahafali ya 37 ya Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) wahitimu 6,362 ambapo wanaume ni 2,783 na wanawake ni 3,579 wametunikiwa Astashahada, Stashahada, Shahada ya kwanza, Stashahada ya uzamili na Shahada ya uzamili.

About the author

mzalendo