marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

pusulabet

matbet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

ultrabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

1win

marsbahis

ngsbahis

betlike

teosbet

batumslot

mislibet

meritbet giriş

artemisbet

meritbet

jojobet

kulisbet giriş

meritking

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betcio

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet giriş

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

enjoybet giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

Featured Kitaifa

NAIBU WAZIRI KHAMIS ATAKA WANANCHI LUDEWA MKOANI MBEYA KUTUNZA VYANZO VYA MAJI

Written by mzalendo

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amewataka wananchi kutunza vyanzo vya maji ili viwanufaishe na kuhifadhi mazingira. 

Amesema hayo wakati akizungumza na wananchi akiwa kwenye ziara ya kikazi ya kukagua Mradi wa Kuhifadhi Ardhi (SLM) katika Bonde la Ziwa Nyasa wilayani ya Ludewa mkoani Mbeya.

Mhe. Khamis amesema shughuli mbalimbali za uzalishaji mali zinazofanyika kupitia mradi huo zikiwemo ufugaji wa samaki ni matunda ya uwepo wa vyanzo vya maji  

Amesema Wilaya ya Ludewa na Mkoa wa Njombe ni miongoni mwa maeneo yenye vyanzo vingi vya maji hivyo ametoa rai kwa viongozi kuhakikisha vyanzo hivyo vinatunzwa.

“Ndugu zangu Mwenge wa Uhuru si umepita huku kwenu?..Na mmeona ujumbe wake ulihimiza namna ya kutunza mazingira na kuhifadhi vyanzo vya maji sasa leo hii yale mabwawa ya samaki yasingekuwepo kama tusingekuwa na vyanzo vya maji, leo hii nimepita kule nimeona mnafanya kilimo cha irrigation yanafanyika haya kwasababua tuna vyanzo maji, tuvitunze” amesisitiza.

Naibu Waziri Khamis amewataka wananchi kuwa walinzi wa vyanzo vya maji vitunze ili wanufaike kinyume na hapo watakuwa wanategemea tu mvua inyeshe ndipo wapate maji.

Sanjari na vyanzo vya maji, pia Mhe. Khamis amewataka wananchi kuitunza miradi hiyo walioyonufaika nayo ikiwemo kupanda miti kwa wingi ili iwanufaishe. 

Amewatahadharisha wananchi kulinda amani iliyopo kuepuka madhara yanatokana na migogoro mbalimbali inayoweza kujitokeza endapo amani itachezewa. 

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Lugarawa Mhe. Erasto Mhagama akizungumzia mradi wa ufugaji wa samaki unaotekelezwa kupitia SLM katika kata hiyo ameshukuru Serikali kwa kuwapelekea mradi huo katika wilaya yao.

Ameiomba Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais inayotekeleza mradio huo chini ya ufadhili wa Mfuko Mazingira wa Dunia (GEF) kuongeza wigo wa utekelezaji wa mradi ili uwafikie wananchi wnegi zaidi.

Nae Bw. Longinus Mgani ambaye ni mwenyekiti wa Kikundi cha INAWEZEKANA kinachojishughulisha na mradi wa ufugaji wa samaki amesema wameitumia fursa ya mradi kujikwamua kimapato.

Amesema kuwa mradi huo umewapa hamasa ya kuacha kufanya shughulli za kilimo cha kuhamahama kisicho endelevu na kukata miti ambazo husababisha uharibifu wa mazingira. 

Mradi wa Kuhifadhi Ardhi (SLM) katika Bonde la Ziwa Nyasa unatekelezwa katika halmashauri za wilaya tano zikiwemo ya Kyela (Mbeya), Makete na Ludewa (Njombe), Mbinga na Nyasa (Ruvuma).

Lengo la mradi, pamoja na kuhifadhi ardhi katika eneo hilo lakini pia kuisaidia jamii kufanya shughuli za kujipatia kipato bila kuathiri mazingira na kulinda hifadhi ya Bonde la Ziwa Nyasa.

About the author

mzalendo