Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

LISSU AZOMEWA NA WANANCHI KANDA YA ZIWA, WANANCHI WENGI WASUSIA MIKUTANO YAKE KWA UNAFIKI KWA MAGUFULI

Written by Alex Sonna

* Wananchi wengi wasusia mikutano yake kwa unafiki wake kwa Magufuli

Na Mwandishi Wetu, Geita

MAKAMU Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amezomewa na wananchi wa kanda ya ziwa katika mikutano ya hadhara ya chama hicho cha upinzani, huku wakimshutumu kwa unafiki anaouonesha kwa aliyekuwa Rais John Magufuli.

 

Video na picha kutoka kwenye mikutano ya hadhara ya Lissu kanda ya ziwa ambazo zimesambaa kwenye mitandao ya jamii zinaonesha akiwa anazomewa na wananchi, huku watu wachache wakihudhuria mikutano hiyo.

 

Viongozi wa CHADEMA, wakiongozwa na Mjumbe wa Kamati Kuu John Heche kutoka mkoa wa Mara, wamekuwa wanamnadi Lissu kama “Rais” kwenye mikutano yake, licha ya mchakato ya kumpata mgombea urais wa chama hicho kwenye uchaguzi mkuu ujao wa 2025 kuwa bado haujafanyika.

 

Heche na viongozi wengine wa CHADEMA wameingiwa na fedheha kubwa kutokana na Lissu kuzomewa na kususiwa na wananchi wa kanda ya ziwa katika mikutano inayoendelea.

 

Wananchi hao wameonesha kutomkubali Lissu kutokana na kugeugeu au unafiki anaouonesha kwa hayati Rais Magufuli, ambaye alikuwa na wafuasi wengi kanda ya ziwa.

 

Akiwa Biharamulo, Lissu alipata wananchi wachache katika mkutano wake na walianza kumzomea alipoanza kuongelea mambo ya bandari ya Dar es Salaam.

 

Hali hiyo ilimfanya Lissu kuonesha hulka yake ya kutopenda kukosolewa kwa kutaka watu wanaomzomea waondolewe mara moja kwenye mkutano huo.

 

“Kama kuna mtu anataka kuleta kelele na hawezi kutulia, nawaombeni muwaondoe kimya kimya,” alisema Lissu akiwa jukwaani baada ya kuzomewa na wakazi wa Biharamulo kwenye mkutano wake wa hadhara juzi.

 

Kitendo cha Lissu kuzomewa na wananchi wa kanda ya ziwa na mikutano yake kukosa mvuto na kuhudhuriwa na watu wachache ni ishara kuwa amekosa ufuasi kwenye kanda hiyo muhimu katika siasa za Tanzania.

 

“Sisi wananchi wa kanda ya ziwa kamwe hatutasahau maneno ya kejeli ya Lissu dhidi ya Rais Magufuli kwa kusema kuwa kifo chake kimeleta ahueni kwa taifa. Leo Lissu huyo huyo anageuka na kusema eti anataka aende Chato kumuombea Magufuli kwenye kaburi lake. Kwani anatuchukuliaje sisi wananchi?” Alihoji Simon Simba, mkazi wa mkoa wa Geita.

 

Lissu akiwa anaishi uhamishoni nchini Ubelgiji alikuwa akitoa lawama moja kwa moja kwa Rais Magufuli baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana jijini Dodoma mwaka 2017 na kusema kuwa amefurahia kifo cha Maguufuli.

 

Lissu aliwahi kusema hadharani mara kadhaa kuwa kamwe hawezi kutembelea kaburi la Magufuli, Chato, kwa kuwa aliwatesa wapinzani na alimlaumu kuhusika na jaribio la kutaka kumuuwa.

 

Mwanasiasa huyo wa upinzani alienda mbali kwa kudai kuwa kifo cha Magufuli kimeleta “ahueni” kwa taifa.

 

Kwa sababu za kisiasa, Lissu amekuwa akijaribu kuwachochea wananchi dhidi ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanya upotoshaji kuwa Rais ameuza nchi na kudai kuwa sasa yeye Lissu anamkumbuka Magufuli kwa mema.

 

Katika hali ya kushangaza, baada ya mjadala wa DP World kuibuka, Lissu amedai kuwa ataenda kwenye kaburi la Magufuli kumuombea na anatamani afufuke.

 

Kauli hizo za kutatanisha za Lissu zimeonesha kuwakera wakazi wengi wa kanda ya ziwa ambao wamesusia mikutano yake na kumzomea na kufanya ziara yake ipooze kwa kuhudhuriwa na watu wachache.

 

About the author

Alex Sonna