Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

maxwin, maxwin giriş

smartbahis

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

zirvebet giriş

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

betmarino

lordcasino

pusulabet, pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

pasacasino

interbahis

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Pusulabet

pusulabet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

grandpashabet

jojobet

holiganbet

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

meritbet güncel giriş

jojobet

tambet

ultrabet

ultrabet

piabellacasino

setrabet

pulibet

jojobet

timebet

jojobet

kulisbet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

mavibet

piabellacasino

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

holiganbet

mavibet giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Pusulabet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

meritbet

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

grandpashabet

grandpashabet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

İmajbet

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casinoroyal giriş

perabet

meritking

betpark

vdcasino

Featured Kitaifa

LISSU AZOMEWA NA WANANCHI KANDA YA ZIWA, WANANCHI WENGI WASUSIA MIKUTANO YAKE KWA UNAFIKI KWA MAGUFULI

Written by Alex Sonna

* Wananchi wengi wasusia mikutano yake kwa unafiki wake kwa Magufuli

Na Mwandishi Wetu, Geita

MAKAMU Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amezomewa na wananchi wa kanda ya ziwa katika mikutano ya hadhara ya chama hicho cha upinzani, huku wakimshutumu kwa unafiki anaouonesha kwa aliyekuwa Rais John Magufuli.

 

Video na picha kutoka kwenye mikutano ya hadhara ya Lissu kanda ya ziwa ambazo zimesambaa kwenye mitandao ya jamii zinaonesha akiwa anazomewa na wananchi, huku watu wachache wakihudhuria mikutano hiyo.

 

Viongozi wa CHADEMA, wakiongozwa na Mjumbe wa Kamati Kuu John Heche kutoka mkoa wa Mara, wamekuwa wanamnadi Lissu kama “Rais” kwenye mikutano yake, licha ya mchakato ya kumpata mgombea urais wa chama hicho kwenye uchaguzi mkuu ujao wa 2025 kuwa bado haujafanyika.

 

Heche na viongozi wengine wa CHADEMA wameingiwa na fedheha kubwa kutokana na Lissu kuzomewa na kususiwa na wananchi wa kanda ya ziwa katika mikutano inayoendelea.

 

Wananchi hao wameonesha kutomkubali Lissu kutokana na kugeugeu au unafiki anaouonesha kwa hayati Rais Magufuli, ambaye alikuwa na wafuasi wengi kanda ya ziwa.

 

Akiwa Biharamulo, Lissu alipata wananchi wachache katika mkutano wake na walianza kumzomea alipoanza kuongelea mambo ya bandari ya Dar es Salaam.

 

Hali hiyo ilimfanya Lissu kuonesha hulka yake ya kutopenda kukosolewa kwa kutaka watu wanaomzomea waondolewe mara moja kwenye mkutano huo.

 

“Kama kuna mtu anataka kuleta kelele na hawezi kutulia, nawaombeni muwaondoe kimya kimya,” alisema Lissu akiwa jukwaani baada ya kuzomewa na wakazi wa Biharamulo kwenye mkutano wake wa hadhara juzi.

 

Kitendo cha Lissu kuzomewa na wananchi wa kanda ya ziwa na mikutano yake kukosa mvuto na kuhudhuriwa na watu wachache ni ishara kuwa amekosa ufuasi kwenye kanda hiyo muhimu katika siasa za Tanzania.

 

“Sisi wananchi wa kanda ya ziwa kamwe hatutasahau maneno ya kejeli ya Lissu dhidi ya Rais Magufuli kwa kusema kuwa kifo chake kimeleta ahueni kwa taifa. Leo Lissu huyo huyo anageuka na kusema eti anataka aende Chato kumuombea Magufuli kwenye kaburi lake. Kwani anatuchukuliaje sisi wananchi?” Alihoji Simon Simba, mkazi wa mkoa wa Geita.

 

Lissu akiwa anaishi uhamishoni nchini Ubelgiji alikuwa akitoa lawama moja kwa moja kwa Rais Magufuli baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana jijini Dodoma mwaka 2017 na kusema kuwa amefurahia kifo cha Maguufuli.

 

Lissu aliwahi kusema hadharani mara kadhaa kuwa kamwe hawezi kutembelea kaburi la Magufuli, Chato, kwa kuwa aliwatesa wapinzani na alimlaumu kuhusika na jaribio la kutaka kumuuwa.

 

Mwanasiasa huyo wa upinzani alienda mbali kwa kudai kuwa kifo cha Magufuli kimeleta “ahueni” kwa taifa.

 

Kwa sababu za kisiasa, Lissu amekuwa akijaribu kuwachochea wananchi dhidi ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanya upotoshaji kuwa Rais ameuza nchi na kudai kuwa sasa yeye Lissu anamkumbuka Magufuli kwa mema.

 

Katika hali ya kushangaza, baada ya mjadala wa DP World kuibuka, Lissu amedai kuwa ataenda kwenye kaburi la Magufuli kumuombea na anatamani afufuke.

 

Kauli hizo za kutatanisha za Lissu zimeonesha kuwakera wakazi wengi wa kanda ya ziwa ambao wamesusia mikutano yake na kumzomea na kufanya ziara yake ipooze kwa kuhudhuriwa na watu wachache.

 

About the author

Alex Sonna