Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

WAKALA WA MELI TANZANIA WAUNGA MKONO UJIO WA DP WORLD

Written by Alex Sonna
Mwenyekiti wa TASAA, Daniel Mallongo
Na Mwandishi Wetu
CHAMA cha Wakala wa Meli Tanzania (TASAA) kimeunga mkono mpango wa Serikali wa kuleta uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari ya Dar es Salaam, kikisema kuwa uwekezaji huo utasaidia kuongeza ufanisi wa bandari na kukuza uchumi wa Tanzania.
 
TASAA imesisitiza kuwa DP World ni moja ya kampuni kubwa duniani za uendeshaji wa bandari ambazo zinaweza kuleta meli nyingi kuja Dar es Salaam, kuongeza idadi ya shehena inayohudumiwa na bandari na kuimarisha ufanisi wa bandari kwenye kuhudumia shehena.
Mwenyekiti wa TASAA, Daniel Mallongo, amesema kuwa kuna changamoto kadhaa za ufanisi kwenye bandari ya Dar es Salaam zinazolikosesha taifa mapato, ambazo zinatarajiwa kupatiwa ufumbuzi na uwekezaji wa DP World.
Alizitaja changamoto hizo kuwa ni pamoja na upungufu wa magati ya kuhudumia mizigo na kukosekana kwa mfumo wa kisasa wa kuhudumia mizigo bandarini kwa kasi.
“Ukosefu wa magati ya kutosha bandarini (Dar es Salaam) unasababisha meli kukaa nje siku 4 mpaka 6. Hii ni gharama kubwa kwa wenye meli kubwa za mizigo kwa sababu gharama ya kukaa pale nje (outer anchorage) ni Dola za Marekani 25,000 (Shilingi milioni 60) hadi Dola 50,000 (Shilingi milioni 120) kwa siku,” alisema Mallongo.
 
“Ukiangalia meli inakaa siku 6 nje kabla ya kuhudumiwa, hiyo ni gharama kubwa. Na hizo gharama mara nyingi zinahamishiwa kwenye mizigo na kila mwenye mzigo kwenye hiyo meli ni lazima achajiwe gharama za meli kukaa nje.”
 
Alisema pia kukosekana kwa mifumo inayosomana kati ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) na uhaba wa nafasi ya kuhifadhia mizigo kwenye eneo la bandari ya Dar es Salaam ni changamoto nyingine kubwa.
 
“Haya mambo yote DP World ndiyo champion (kinara) wake. Ukimleta matatizo haya utapata ufumbuzi. Kama ni meli itakuja siku moja itandoka na ukipunguza gharama hiyo hata gharama ya kuleta mizigo Tanzania itashuka,” aliongeza katika mahojiano na kituo cha EFM Redio na TV leo jijini Dar es Salaam.
“DP World ni kati ya kampuni kubwa tatu duniani ambazo zinaendesha bandari mbalimbali. DP World inaendesha takribani bandari 64 duniani, unaongelea Afrika, Asia, Ulaya na hata bara la Amerika. Kwa muktadha huo, DP World ina uwezo mkubwa.”
Mwenyekiti huyo wa TASAA alizitaja Antwerp, London Gateway na New Jersey, kuwa miongoni mwa bandari zinazoendeshwa kwa ufanisi na DP World.
 
“Kwangu mimi niseme kwa uwazi kuwa DP World wana uwezo na wanastahili kuendesha bandari (ya Dar es Salaam),” alisisitiza.
 
Mallongo alisema faida ya uwekezaji wa DP World kwenye bandari ya Dar es Salaam ni kuwa utapunguza gharama za kupitisha mizigo na kuimarisha huduma na kufanya idadi ya shehena kuongezeka na hiyo itaongeza mapato kwa Serikali.
 
 
“Ukitaka kuongeza mzigo Dar es Salaam, lazima wenye meli wawe tayari kuja Dar es Salaam. Kama wenye meli wakiona kuna gharama za ajabu ajabu Dar es Salaam, wataenda kwa washindani wetu kama bandari za Maputo, Mombasa na Durban,” alisema.
 
Kuhusu upotoshaji kuwa bandari ya Dar es Salaam imeuzwa kwa DP World au kukodishwa kwao milele au kwa miaka 100, kiongozi huyo wa TASAA aliwataka Watanzania wapuuze uongo unaoenezwa na baadhi ya wanasiasa na wanaharakati dhidi ya uwekezaji huo.
 
 
“Mimi siyo mwanasheria lakini najua kusoma. Unapoambiwa IGA au Intergovernmental agreement (illiyopitishwa na Bunge) ni framework (makubaliano tu ya msingi), mikataba yenyewe bado haijasiniwa,” alisema.

About the author

Alex Sonna