marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

cashwin

palacebet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

holiganbet

holiganbet

teosbet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

ngsbahis

betlike

parmabet

mislibet

mislibet

artemisbet

nitrobahis

jojobet

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet, kralbet giriş

alobet, alobet giriş

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet güncel giriş

holiganbet giriş

Nitric Boost

bahiscasino giriş

betebet

Featured Kitaifa

NDEJEMBI AONYA WATAKAOCHEZEA FEDHA ZA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA ZA SEKONDARI ZA BWENI ZA WASICHANA

Written by Alex Sonna

 

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza na Wakuu wa Idara za Elimu wakati wa kikao kazi chake na watendaji hao, kilicholenga kuhimiza uwajibikaji katika usimamizi wa utekelezaji wa ujenzi wa shule mpya za sekondari za bweni za wasichana kupitia mradi wa kuboresha elimu ya sekondari (SEQUIP).

Sehemu ya Wakuu wa Idara za Elimu wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Deogratius Ndejembi wakati akizungumza nao kwenye kikao kazi kilicholenga kuhimiza uwajibikaji katika usimamizi wa utekelezaji wa ujenzi wa shule mpya za sekondari za bweni za wasichana kupitia mradi wa kuboresha elimu ya sekondari (SEQUIP).

Naibu Katibu Mkuu (Elimu) Ofisi ya Rais-TAMISEMI Dkt. Charles Msonde akisisitiza jambo kwa Wakuu wa Idara za Elimu wakati wa kikao kazi cha Mhe. Deogratius Ndejembi na wakuu hao wa idara kilicholenga kuhimiza uwajibikaji katika usimamizi wa utekelezaji wa ujenzi wa shule mpya za sekondari za bweni za wasichana kupitia mradi wa kuboresha elimu ya sekondari (SEQUIP).

Na: James Mwanamyoto – OR-TAMISEMI

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Deogratius Ndejembi amesema ofisi yake haitomvumiria mhandisi, afisa elimu au yeyote atakayekwamisha utekelezaji wa ujenzi wa shule mpya za sekondari za bweni za wasichana kupitia Mradi wa Kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) awamu ya kwanza na ya pili, ambao ni matokeo ya jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan aliyedhamiria kuendelea kuboresha miundombinu ya elimu nchini. 

Mhe. Ndejembi onyo hilo mkoani Tabora, wakati wa kikao kazi chake na Wakuu wa Idara za Elimu kilicholenga kuhimiza uwajibikaji katika usimamizi wa mradi huo wa SEQUIP unaotekelezwa kwenye halmashauri 26 ikiwa ni moja katika kila mkoa.

“Niwawahikishia kuwa, hatutamvumilia yeyote atakayecheza na fedha za utekelezaji wa mradi huu kwasasabu atakuwa anachezea fedha za Rais Samia Suluhu Hassan, na wala sitarajii kusikia REO na DEO wanavutana au REO na RAS wanavutana,” Mhe. Ndejembi amesisitiza.

Aidha, Mhe. Ndejembi amewataka watendaji hao kuwapatia kazi watu wenye uwezo wa kutekeleza ujenzi wa mradi huu kwa wakati, ili wanafunzi wanufaike na miundombinu iliyojengwa kwa jitihada za Serikali.

“Bilioni 3 kwa kila halmashauri katika halmashauri 26 ni fedha nyingi, hivyo ni lazima mumpe kazi mtu mwenye uwezo wa kukamilisha mradi kwa wakati na si kumpatia mtu kwa upendeleo wa aina yoyote,” Mhe. Ndejembi amehimiza.

Sanjari na hilo, Mhe. Ndejembi amewasitiza watendaji hao kuzingatia sheria, kanuni, taratibu, miongozo katika mchakato wa kuwapatia kandarasi wajenzi wa mradi huu, ili kupata watu sahihi watakaojenga miundombinu imara yenye kulingana na thamani ya fedha iliyotolewa. 

Akizungumzia idadi ya mikoa iliyonufaika na mradi huu, Naibu Katibu Mkuu (Elimu) Ofisi ya Rais-TAMISEMI Dkt. Charles Msonde amesema, Mhe. Rais ameshatoa fedha za ujenzi shule hizo 26 katika halmashauri 26 ambapo awali alianza na halmashauri 10 na sasa amemalizia halmashauri 16, hivyo kupelekea mikoa yote 26 kunufaika kwa halmashauri moja kupata bilioni 4.1 ikijumuisha awamu ya kwanza na ya pili ambapo kumekuwa na nyongeza ya milioni 100 kutokana na kuongezeka kwa gharama za ujenzi.

Dkt. Msonde amesema, halmashauri zote 16 zinanufaika na fedha za mradi huu kwa kujenga shule zenye jengo la utawala, madarasa, maabara, vyoo, chumba cha jenereta, bwaro, nyumba za walimu, mabweni, chumba cha wagonjwa, mitaro ya maji, vichomea taka, uzio, chumba cha TEHAMA, maktaba, pamoja na matanki ya maji ya ardhini na ya plastiki.

About the author

Alex Sonna