Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

casibom giriş

pokerklas

royalbet

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

casibom giriş

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

türk ifşa

casibom

İkimisli

onwin

grandpashabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

mobilbahis

casibom

mislibet giriş

jasminbet giriş

imajbet

mislibet

kavbet

perabet

artemisbet

mislibet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino giriş

zirvebet

mislibet giriş

nerobet

jojobet

nerobet

jojobet giriş

kavbet giriş

Meritking

jojobet

สล็อตเว็บตรง

bets10

pusulabet

jojobet

marsbahis

holiganbet

trust score weak 3

holiganbet

ikimisli

tipobet

betpas

jasminbet

jojobet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet adres

jojobet

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet giriş

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

interbahis, interbahis giriş

betgar, betgar giriş

monobahis, monobahis giriş

superbetin

meritking

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

roketbet

jojobet

ligobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

sahabet

jojobet

perabet

ilbet

deneme bonusu

casibom güncel giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

kulisbet, kulisbet giriş

google

primebahis

primebahis

marsbahis

atlasbet

Doctors | Akdeniz University Hospital

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom güncel giriş

casibom giriş

sweet bonanza

casibom

betflix giriş

betflix

betturkey

grandpashabet

sonbahis

holiganbet

mercurecasino

amgbahis

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet adres

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet adres

meritking giriş

meritking giriş

meritking

marsbahis

meritking

marsbahis giriş

marsbahis giriş

meritking

jojobet

jojobet giris

jojobet telegram

jojobet telegram

jojobet

jojobet telegram

jojobet giriş

betplay

Hacklink panel

betturkey

holiganbet

google giir

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet telegram

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet giriş

primebahis

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

meritking giriş

marsbahis

betpas

betgaranti

betoffice

primebahis

Bet365 Giriş

betturkey

betturkey giriş

atlasbet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

betpas giriş

kralbet

tarafbet

betpark giriş

betpark

betpark

betpark güncel giriş

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

betine

jojobet

jojobet giris

jojobet güncel giriş

betkolik

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet adres

jojobet adres

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet giris

marsbahis

jojobet giris

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet giris

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

bahisfair

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet adres

jojobet güncel giriş

goldenbahis

goldenbahis

pokerklas, pokerklas giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

deneme bonusu

casibom

jojobet

https://sjconsultors.com/

kavbet

Featured Kitaifa

SERIKALI YASAINI MKATABA WA BILIONI 3.8 KUJENGA KIVUKO KIPYA BUYAGU MBALIKA

Written by Alex Sonna

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) Lazaro Kilahala kushoto akisaini mkataba wa ujenzi wa Kivuko kipya cha Buyagu Mbalika na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Songoro Major Songoro kulia katika hafla fupi ya utiaji saini iliyofanyika katika viwanja vya Sabasaba Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza leo. Wanaoshuhudia nyuma yao ni Naibu Waziri wa Ujenzi Mhe. Godfrey Kasekenya na nyuma ya Kilahala ni Mbunge wa Misungwi Mhe. Alexander Mnyeti na kulia ni Mbunge wa Sengerema Mhe. Hamisi Tabasam na Mbunge wa Buchosa Mhe. Erick Shigongo. Kivuko cha Buyagu Mbalika kitakapokamilika kinatarajiwa kuwa na uwezo wa kubeba tani 50 zikijumuisha; abiria 100 (waliokaa 50 na waliosimama 50) pamoja na magari madogo (saloon cars) 6. 

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) Lazaro Kilahala kushoto na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Songoro Major Songoro wakionyesha mikataba waliyosaini ya ujenzi wa kivuko kipya cha Buyagu Mbalika katika hafla fupi iliyofanyika katika  viwanja vya Sabasaba Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza leo. Wanaoshuhudia nyuma yao ni Naibu Waziri wa Ujenzi Mhe. Godfrey Kasekenya na nyuma ya Kilahala ni Mbunge wa Misungwi Mhe. Alexander Mnyeti na kulia ni Mbunge wa Buchosa Mhe. Erick Shigongo. Kivuko cha Buyagu Mbalika kitakapokamilika kinatarajiwa kuwa na uwezo wa kubeba tani 50 zikijumuisha; abiria 100 (waliokaa 50 na waliosimama 50) pamoja na magari madogo (saloon cars) 6. 

Naibu Waziri wa Ujenzi Mhe. Godfrey Kasekenya akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Sengerema leo wakati wa hafla fupi ya utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Kivuko kipya cha Buyagu Mbalika iliyofanyika katika viwanja vya Sabasaba Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza. Kivuko cha Buyagu Mbalika kitakapokamilika kinatarajiwa kuwa na uwezo wa kubeba tani 50 zikijumuisha; abiria 100 (waliokaa 50 na waliosimama 50) pamoja na magari madogo (saloon cars) 6. 

Na. Alfred Mgweno (TEMESA) Sengerema Mwanza

Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA), leo Tarehe 23 Aprili, 2023 imesaini Mkataba wa ujenzi wa kivuko kipya kitakachogharimu shilingi Bilioni 3.8 mpaka kukamilika kwa ajili ya kutoa huduma katika maeneo ya Buyagu na Mbalika Wilaya za Sengerema na Misungwi Mkoani Mwanza. Hafla ya utiaji saini mkataba huo ambao Serikali imesaini na Kampuni ya Kizalendo ya Songoro Marine Transport Limited ya jijini Mwanza, imefanyika katika viwanja vya Sabasaba Wilayani Sengerema na kushuhudiwa na Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Mhandisi Godfrey Kasekenya ambaye alikua mgeni rasmi.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mhandisi Kasekenya ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa jinsi ambavyo imetoa kipaumbele katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya miundombinu inayosimamiwa na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi hususan miradi ya vivuko na kusema kuwa ujenzi wa Kivuko hicho ni juhudi ya Serikali ya awamu ya sita katika kuboresha huduma kwa jamii kwa kuwapatia miundombinu yenye uhakika ya usafiri. 

‘’Ujenzi wa kivuko hiki utakapokamilika utaharakisha shughuli mbalimbali za kiuchumi na kijamii kwa wananchi waishio katika Wilaya ya Sengerema, Misungwi na maeneo mengine, aidha inatarajiwa kuwa na usafiri wa uhakika wenye huduma bora na salama katika maeneo ya Buyagu na Mbalika.’’ Amesema Kasekenya na kuwaagiza  TEMESA kusimamia mradi huo kwa ukaribu ili kivuko hiki kiweze kujengwa kwa ufanisi mkubwa na kwa wakati. 

‘’Gharama ya ujenzi wa kivuko hiki ni kubwa hivyo, ninaomba tuzingatie thamani ya fedha (Value for Money) wakati wa utekelezaji wa Mradi huu.’’ Alisisitiza Naibu Waziri na kuongeza kuwa madhumuni ya ujenzi wa kivuko hicho ni kuwapatia usafiri ulio salama na wenye uhakika wananchi wa maeneo hayo ambao wamekuwa wakitumia mitumbwi kwenye eneo hilo lenye takribani kilometa saba (Nautical Miles 3.7).  

Awali, akisoma taarifa fupi ya mradi, Mtendaji Mkuu wa Wakala huo Lazaro N. Kilahala amesema hitaji la kivuko cha uhakika baina ya Buyagu na Mbalika limekuwa ni kilio cha muda mrefu kwa wananchi wa maeneo hayo hivyo Ujenzi wa kivuko hicho utakapokamilika utaondoa kero nyingi za kiuchumi na kijamii ambazo zimekuwa zikichelewesha maendeleo ya wananchi hao hivyo kutimiza azma ya Serikali kuwaletea maendeleo wananchi wake.

Kilahala amesema Ujenzi wa vivuko vipya na ukarabati wa vivuko pamoja na miundombinu yake ni muendelezo wa utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2020-2025. 

‘’katika mwaka huu wa fedha, Wakala unaendelea na Ujenzi wa vivuko vipya vitano vyenye thamani jumla ya shilingi Bilioni 33.2 vitakavyotoa huduma kwenye vituo vya Kisorya – Rugezi, Bwiro – Bukondo, Nyakarilo – Kome, Ijinga – Kahangala na Mafia – Nyamisati hivyo kivuko cha Buyagu-Mbalika ambacho leo mkataba wake wa Ujenzi umesainiwa ni kivuko cha sita (6) ambacho Ujenzi wake unaanza katika mwaka huu wa fedha.‘’Amesema Kilahala na kuongeza kuwa sambamba na Ujenzi wa vivuko vipya katika mwaka wa fedha 2022/23 Serikali kupitia Wakala inafanya ukarabati wa vivuko 18 pamoja na Ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya vivuko katika maeneo 11 ya huduma kwa gharama ya shilingi bilioni 27.5.

Naye Mbunge wa Misungwi Mhe. Alexander Mnyeti akizungumza kwenye tukio hilo ametoa pongezi kwa Mhe. Rais wa Tanzania kwa kuendelea kutoa fedha za kutekeleza miradi ambayo inaenda kunufaisha wakazi wa maeneo mbalimbali nchini.

 ‘’Kwa kwa niaba ya wananchi wa Misungwi nitumie nafasi hii kumshukuru sana Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kazi anazoendelea kuzifanya kwenye majimbo yetu ya Kanda ya Ziwa, sisi wakazi wa Misungwi ni mashahidi kwamba tumepokea fedha nyingi za miradi mingi sana.’’Amesema Mnyeti.

Mbunge wa Sengerema Mhe. Hamis Tabasam naye akizungumza kwenye hadhara hiyo naye amewataka wananchi wa Wilaya ya Sengerema kuishukuru Serikali kwa miradi hiyo ambayo inatekelezwa katika Wilaya yao, ‘’ahadi za viongozi Serikali imetekeleza, nawashukuru sana, wana Sengerema tumshukuru sana Mhe. Rais, namshkuru sana Mhe. Mbarawa, namshkuru sana Katibu Mkuu Ujenzi, miradi inatekelezwa hakuna kinachosimama.’’ Amesema Mhe. Tabasam.

Mtendaji Mkuu TEMESA Lazaro Kilahala, ameishukuru Serikali ya Awamu ya sita chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa kukubali kuanza utekelezaji wa mradi huo na mingine na kuahidi kufanya kazi kwa weledi na jitihada kubwa ili kufikia malengo na matarajio ya Serikali na wanachi kwa ujumla.

Kivuko cha Buyagu Mbalika kitakapokamilika kinatarajiwa kuwa na uwezo wa kubeba tani 50 zikijumuisha; abiria 100 (waliokaa 50 na waliosimama 50) pamoja na magari madogo (saloon cars) 6.  

About the author

Alex Sonna