Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

maxwin, maxwin giriş

casibom

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

zirvebet giriş

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

betmarino

lordcasino

pusulabet, pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

pasacasino

interbahis

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

grandpashabet

jojobet

holiganbet

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

betsat

jojobet

tambet

ultrabet

jojobet

piabellacasino

setrabet

pulibet

jojobet

timebet

jojobet

kulisbet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet giriş

megabahis giriş

megabahis

mavibet

piabellacasino

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

holiganbet

mavibet giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

meritbet

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

grandpashabet

grandpashabet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

İmajbet

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casinoroyal giriş

perabet

meritking

betpark

vdcasino

Featured Kitaifa

KIMBISA AITAKA KAMATI YA SIASA KATA YA KILIMANI DODOMA KUIMARISHA UMOJA

Written by Alex Sonna

 

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Mkoa wa Dodoma Alhaj Adam Kimbisa,akizungumza na Wajumbe wa kamati ya Siasa kata ya kilimani katika muendelezo wa utaratibu wake wa kukutana na kamati za siasa za Dodoma.

KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Mkoa wa Dodoma Pili Mbanga,aakizungumza wakati wa kikao cha Wajumbe wa kamati ya Siasa kata ya kilimani jijini Dodoma.

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Mkoa wa Dodoma Alhaj Adam Kimbisa,akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa kamati ya Siasa kata ya kilimani katika muendelezo wa utaratibu wake wa kukutana na kamati za siasa za Dodoma.

Na.Barnabas Kisengi -DODOMA

MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dodoma CCM Alhaji Adam Kimbisa ameitaka kamati ya Siasa ya Kata ya kilimani kuhakikisha inasima na kuhakikisha viongozi wa chama na Serikali wanafanya mikutano ya hadhara kwa Wananchi  na kuwaeleza  miradi mbalimbali inayotekelezwa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati akizungumza na Wajumbe wa kamati ya Siasa kata ya kilimani kuhusu mikakati ya kuimarisha Cha Mapinduzi kuanzia ngazi ya shina,tawi,kata,wilaya hadi Mkoa kuelekea chaguzi zijazo za wenyeviti wa Serikali za Mitaa mwakani na kufuatiwa na Uchaguzi Mkuu 2025 wa madiwani,wabunge na Rais.

“Niwaeleze Ukweli mwaka 2020 mkoa wa dodoma hatukufanya vizuri hasa wilaya ya dodoma Mjini katika kura za Mhe RAIS hivyo nimewaita hapa tujiwekee mikakati ya kuimarisha Chama na kuhakikisha kuanzia Sasa tunajipanga vizuri katika chaguzi za mwakani za Wenyevyiti wa Serikali za Mitaa hivyo lazima tuanze kujipanga mapema kwa wanachama wetu” amesema Alhaji Kimbisa

Aidha Alhaji Kimbisa akawashukia Diwani wa kata ya kilimani Neema Mwaluko na katibu wa CCM kata ya kilimani kuhakikiaha wanavuja makundi yao ya uchaguzi wa 2020 na 2022 ili waweza kufanya kazi kama timu moja ya kukijenga Chama cha Mapinduzi hasa kata ya kilimani kwakuwa kata ya kilimani ndio kata kubwa iliyobeba viongozi wengi wakubwa wa serikali na Chama.

“Nafahamu tangu nimeanza kusikiliza vikao hivi vya kamati za siasa malalamiko mengi ya kutoka elewana ni Diwani na katibu hivyo muwe makini maana kikao cha mwisho cha kuwajadili ni kikao changu cha mkoa hivyo msitegemee mtafika mbali hapa kwangu Ndio Mwisho wenu na tukiangalia wote ni wa CCM Sasa magomvi ya Nini” amesema Alhaji Kimbisa

Nafahamu kuwa Diwani ukiitwa kwenye vikao huendi hujui kamati ya siasa ni chombo kikubwa Sasa kwenye kata yako pia hamfanyi mikutano ya wanachi kuwaekeza Juu ya Chama na serikali imefanya nini hivyo nawaagiza hakikisheni mnavunja makundi na kufanya mikutano kwa wananchi ili watambue Serikali ya awamu ya sita imefanya nini kuwaletea maendeleo.

Alhaji Kimbisa pia ameiagiza kamati ya siasa ya kata kuhakikiaha inaongeza idadi ya wanachama kwakuwa idadi iliyopo hairidhishi kabisa kama mnaniambia kata ina zaidi ya watu elfu 9,000 na hadi Sasa mnaeanachama elfu 1,800 ni sawa naeasilimia 19 hii bado ni ndogo sana sasa hakikisheni mnafanya vikao na kuwashawishi Wananchi kuwa na kadi za CCM.

Mhe Diwani hakikisha unafanya mikutano na kukamilisha ahadi mlizowaahidi Wananchi kwenye kata hii itatatujengea imani kubwa kwa Wananchi wetu ambapo mwakani tusimamie nguvu kubwa kuwashawishi Wananchi hapo kila moja akitimiza wajibu wake tutafikiwa vizuri katikaechaguzi zijazo.

Aidha Alhaji Kimbisa amemwagiza Diwani wa kata ya kilimani kuhakikisha Jumatatu anafika Katika ofisi za Halimashauri ya Jiji la Dodoma kufuatilia nyaraka za maeneo yaliyotengwa kwa shughuli za taasisi hata eneo lililotengwa kwa ajili ya shule ya secondary na eneo la wazi na msikitini ambayo amesema yamepitiwa na kivuko cha reli ya mwendo kasi viwanja vilivyobaki vimebaki kiasi gani na kwa matumizi gani na kuwasilisha taarifa hiyo kwa kamati ya Siasa ya kata na kwa makatibu CCM wilaya na Mkoa ili kuweza kujua utatuzi wa kupata eneo la Ujenzi wa secondary kutokana na kata hiyo kongwe kutokuwa na shule ya secondary tangu kuanzishwa kwa kata hiyo ya kilimani jijini Dodoma.

Kwa Upande wake Katibu wa CCM Mkoa wa Dodoma Pili Mbanga  ameitaka kamati ya siasa kata kutambua majukumu yao na kuhakisha wanaongeza idadi ya wanachama na kushuka chini kwenye matawi na mashina kuhakikisha wanafanya vikao kwa wanachama ili kuweza kuimarisha Cha kuanzi ngazi ya chini

Aidha amewataka Viongozi wote kwa ujumla ambao Bado wanamakundi ya uchaguzi kuhakikisha wameyavunja na kuwa na kundi moja tu la CCM na kuendelea kuinadi na kuisimamia ilani ya chama Cha Mapinduzi na kuisimamia Utekelezaji wa ilani yetu

Vikao hivi vya kamati ya siasa za kata na mwenyeki wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa ni vikao vya kuimarisha chama na kuchukua changamoto mbalimbali zilizopo Katika kata na kuzipatia ufumbuzi wa haraka Ili kujiandaa na chaguzi zijazo na changamoto kubwa inayojitokeza katika kata nyingi ni changamoto ya migogoro ya aridhi na kutokuwa na maelewano kati ya madiwa na Makatibu kata na vikoa hivi vya mwenyeki wa CCM Mkoa na kamati za siasa vineanzia Katika wilaya ya dodoma Mjini ambapo mwenyeki wa CCM Mkoa anaendelea kukutana na kamati za siasa kata zote 41 za Dodoma Mjini.

About the author

Alex Sonna