marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Featured Kitaifa

MAKAMU WA RAIS AKEMEA UDANGANYIFU WA MITIHANI UNAOFANYWA NA WATUMISHI WA SERIKALI

Written by Alex Sonna

WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Prof.Joyce Ndalichako ,akizungumza wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Chama Cha Walimu (CWT)  kwa niaba ya Makamu wa Rais, Dk.Philip Mpango ulioanza leo Desemba 15,2022 jijini Dodoma.

KAIMU  Rais wa CWT, Dinnah Mathamani,akizungumza wakati wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Walimu (CWT) ulioanza leo Desemba 15,2022 jijini Dodoma.

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi(CCM), Bara, Christine Mndeme,akizungumza wakati wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Walimu (CWT) ulioanza leo Desemba 15,2022 jijini Dodoma.

  

SEHEMU ya Walimu wakifatilia hotuba ya Makamu wa Rais iliyosomwa kwa niaba na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Prof.Joyce Ndalichako (hayupo pichani)wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Chama Cha Walimu (CWT)  ulioanza leo Desemba 15,2022 jijini Dodoma.

…………………………

Na Alex Sonna-DODOMA

MAKAMU wa Rais Dk.Philip Mpango amekemea vikali udanyanyifu wa mitihani unaofanywa na baadhi ya watumishi wa Serikali wasio waaminifu na kuwataka Wakuu wa shule kutojiingiza katika udanganyifu huo.

Onyo hilo limetolewa  leo Desemba 15,2022 jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Prof.Joyce Ndalichako wakati akifungua Mkutano Mkuu wa  Chama Cha Walimu (CWT) kwa niaba ya Makamu wa Rais, Dk.Philip Mpango.

Prof.Ndalichako,amesema  kuna walimu wachache wamekuwa na tabia isiyofaa ya kushiriki katika kuvujisha na kusambaza mitihani kwa wanafunzi kwa maslahi yao binafsi  au kupandisha hadhi ya shule ionekane ina ufaulu mzuri.

“Niwaonye walimu wa namna hii kuacha tabia hii na badala yake wafanyekazi kwa weledi na ubunifu ili kuwasaidia wanafunzi kupata maarifa na kufaulu vizuri kwenye mitihani yao,

“Anayeleta udanganyifu kwenye mitihani tutamkamata, walimu hakikisheni mnakataa kujiingiza katika udanganyifu huo na kuwa makini zaidi kwenye masuala ya mtihani,”amesema Prof.Ndalichako
Waziri Ndalichako ameiagiza TAKUKURU na Jeshi la polisi kuchunguza matukio yote na kuwafikisha katika vyombo vya sheria wote watakaobainika kuwa walihusika na udangajifu  wa mitihani hiyo ya Taifa,”alisema

Aidha amewataka walimu kuzingatia maadili na misingi ya kazi zao kutokana na baadhi ya walimu kujihusisha Kimapenzi  na Wanafunzi  ili kupunguza vitendo vya ukatili ambavyo vimeendelea kushamiri nchini.

“Natoa onyo kali kwa walimu wachache wenye tabia mbaya zinazochafua sura ya walimu katika jamii, serikali itaendelea kuwashughulikia walimu wenye mwenendo mbaya na kuwachukulia hatua kauli za kisheria,”amesema.

Kuhusu Makundi Prof.Ndalichako amesema kuwa Serikali inatambua kuwa ndani ya CWT kuna tatizo la makundi katika hivyo  serikali haitofumbia macho suala hilo.
“Makundi hayajengi yanafanya kushindwa kutetea maslahi ya walimu na badala yake mnatetea maslahi binasfi nawasisitiza kutumia mkutano huo kurekebisha tofauti zanu,”amesema Prof.Ndalichako

Kwa upande wake Kaimu Rais wa CWT, Dinnah Mathamani, amesema chama hicho kinaridhiwa na uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutatua kero zinazowakabili walimu.

Naye Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi(CCM), Bara, Christine Mndeme, amewaasa walimu kutokubali kuchonganishwa na kuondolewa umoja wao kwa kuwa ni wazalendo wa kwanza.

Awali akiwasilisha risala ya chama hicho, Kaimu Katibu Mkuu Japhet Maganga, amesema  CWT inaomba serikali kuona uwezekano katika bajeti ijayo kutoa nyongeza ya mshahara itakayoendana na gharama halisi ya maisha.

 ”Nyongeza ya mshahara ya kila mwaka izingatiwe ili kuepuka watumishi kurundikana katika kidato kimoja cha mshahara na hivyo kuwanyima haki wengine kwa kuzingatia umri kazini.”amesema Maganga

About the author

Alex Sonna