Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

deneme bonusu

mavibet

superbetin

superbetin

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pusulabet, pusulabet giriş

gameofbet

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

coinbar

coinbar

maxwin, maxwin giriş

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

casibom giriş

casibom

betewin

betcup

casinofast giris

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

grandpashabet

jojobet

jojobet güncel giriş

marsbahis

nakitbahis

bets10

jojobet

tambet

ultrabet

mavibet

kavbet

setrabet

betpas

perabet

timebet

deneme bonusu veren siteler

coinbar

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

cratosroyalbet giriş

betlike giriş

kavbet giriş

cratosroyalbet

mavibet

mavibet

artemisbet giriş

imajbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

fenomenbet, fenomenbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

grandpashabet

grandpashabet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

https://v-rex.eu/

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

perabet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

betpas

royalbet

Betpas

betface

betface

imajbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

Featured Kitaifa

KINANA:’HAIWEZEKANI KAHAWA KUUZWA KAMA BIASHARA YA MAGENDO’

Written by Alex Sonna

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, akiwa na viongozi wengine akiwemo Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila wakiwa wamepanda kwenye mtambo unaotumika kwa shughuli za kilimo katika shamba la mbegu bora za mahindi la Global Agency Farm lililopo Buchurago Bugorora wilayani Misenyi mkoani Kagera akiwa katika ziara ya kukagua uhai wa Chama na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 mkoani humo.

…………………………………..

Na Mwandishi Wetu, Kagera

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, ametoa maelekezo kadhaa kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila, kwa ajili ya kuwanusuru wakulima wa kahawa kwenye mkoa huo.

Kinana ametoa maelekezo hayo baada ya kupokea taarifa ya wakulima wa zao hilo mkoani Kagera ambao wamedai kuwekewa vikwazo vingi kiasi cha kuuza kahawa yao kwa kificho na wengine wanauza kama biashara ya magendo jambo ambalo limekuwa kero kwao.

Akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Muleba pamoja na wilaya nyingine akiwa kwenye ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025, mkoani Kagera jana, Kinana alisema Mbunge wa Jimbo la Muleba Kaskazini Charles Mwijage, amezungumzia matatizo ya kahawa kwamba yanatatuliwa.

“Nilivyokuwa namsikiliza (Mwijage) nikaona kama kuna tatizo kidogo, nataka niseme Mkuu wa Mkoa wa Kagera (Chalamila) tafadhali nimesoma taarifa ya uuzaji wa kahawa inaonekana imeruhusiwa kuuzwa kwa mnayemtaka.

“Lakini kuna watu wanatia breki kidogo, Mkuu wa Mkoa hatutegemei mtu atakuwa kiongozi wa chama cha ushirika na hana shamba. Nakuomba Mkuu wa Mkoa utusaidie kama kuna mtu ni kiongozi wa ushirika na hana shamba, akae pembeni.

“Utakuaje kiongozi wa ushirika na huna shamba? Utakuwa mlanguzi, mbabaishaji, unakula hela za wakulima, hivyo ukitaka kuwa kiongozi wa ushirika onesha shamba lako maana maumivu ya wakulima na wewe unayajua.

“Shida zao unazijua, sio mtu anakwambia mimi ni mwenyekiti wa ushirika na ukimuuliza kama analo shamba anakwambia hana. Kama huna ondoka tutachagua mtu mwenye shamba,” alisema.

Aidha, alimuomba Chalamila asaidie kuhakikisha wananchi wanalima na kufanya kazi ili waondokane na umasikini bila vikwazo.

“Wakati wa kulima, kupalilia, kuweka dawa hadi kuvuna hakuna anayemsaidia, wakishavuna wanataka kuuza na sisi tuko hapo, sasa shamba lako au langu? Kahawa yako au yangu? Kama kahawa ni yangu nitamuuzia atakayenipa bei nzuri nitamuuzia hata kama anatoka mbinguni.

“Nanisikilizeni vizuri ndugu mkuu wa mkoa tutakulinda na tutakupa kila aina ya ulinzi, hakuna kitu kinaitwa magendo. Magendo ni nini? Naenda kuuza kahawa yangu ninakotaka halafu wewe unakuja unaniambia nauza kahawa ya magendo, inakuaje magendo kahawa yangu ?Alihoji Kinana.

Kinana alitoa mfano kuwa alipokuwa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki alikwenda Uganda na katika mazungumzo yake na Rais wa nchi hiyo, Yoweri Museven aliwahi kukutana na changamoto kama hiyo ya kahawa.

“Nilimueleza matatizo ya wakulima wa kahawa nchini Tanzania, akaniambia kuna wakulima wa kahawa Uganda wanauza kahawa yao Kenya, lakini wakamwendea viongozi wa Bodi ya Kahawa.

“Wakamwambia Rais  tunakuja kukuomba, akawauliza nini? Wakasema wanaomba awazuie Waganda kuuza kahawa Kenya. Akawauliza kwa nini, Waganda wanauza kahawa Kenya.

“Jibu likawa Kenya kuna bei nzuri kuliko Uganda…kwa hiyo mtu anatafuta bei nzuri halafu wanakuja watu wa ushirika wanasema tuuzuie kahawa. Inakuaje kawaha ya magendo.

“Mbona vitunguu haviwi vya magendo? Mbona mtu akipeleka nyanya haitwi magendo? Sasa sikilizeni haya mambo ya magendo achaneni nayo. Najua, serikali  na halmashauri wanataka ushuru, tengenezeni utaratibu mzuri ndugu viongozi.

“Watu wauze kahawa yao, watu wa Rwanda, Uganda na Watanzania wakitaka kununua kahawa wanunue. Watu washindane kwa bei nzuri. Watu wanauza kahawa usiku kwa sababu ya kuogopa,” alifafanua.

Alitumia fursa hiyo kumshukuru Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kwani ameanza kuziona changamoto zote ikiwemo ya mbolea na ushirika.

“Na ushirika lazima uondoe umasikini sio ushirika unaongeza umasikini, kwanza kama wewe unafanya kazi kwenye ushirika kazi kwenye chama cha ushirika, kiongozi au mjumbe kwenye kamati ya ushirika huna shamba, ndugu mkuu wa mkoa waondoe hao,” alisema.

Tafuta watu wa kulima wenye kujua shida za watu ndio wawe wajumbe wa ushirika pili lazima shughuli za ushirika zifuatiliwe kwa karibu sana , sehemu kubwa ya ushirika kwenye nchi ushirika umekuwa ni chombo cha kinyonyaji , sio chombo cha kukomboa watu,

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa Chalamila, alisema amepokea maelekezo hayo na atayafanyia kazi kwa ajili ya kuwakomboa wananchi hususan wakulima.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, akiwa na viongozi wengine akiwemo Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila wakiwa wamepanda kwenye mtambo unaotumika kwa shughuli za kilimo katika shamba la mbegu bora za mahindi la Global Agency Farm lililopo Buchurago Bugorora wilayani Misenyi mkoani Kagera akiwa katika ziara ya kukagua uhai wa Chama na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 mkoani humo.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, akiwa na viongozi wengine akikagua shamba la mbegu bora za mahindi la Global Agency Farm lililopo Buchurago Bugorora wilayani Misenyi mkoani Kagera akiwa katika ziara ya kukagua uhai wa Chama na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 mkoani humo.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, akipata maelezo kuhusu ujenzi wa majengo ya Hospitali ya Wilaya ya Misenyi akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 mkoani Kagera.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, akikagua moja ya majengo ya Hospitali ya Wilaya ya Misenyi akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 mkoani Kagera.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, akiweka jiwe la Msingi ujenzi wa jengo la Ofisi za CCM Wilaya ya Misenyi akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 mkoani Kagera, jana. (Picha na Fahadi Siraji wa CCM).

About the author

Alex Sonna