Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

deneme bonusu

casibom giriş

Grandpashabet giriş

google

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

Grandpashabet Güncel Giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

betsat giriş

meritking

jojobet

casibom

ultrabet giriş

lunabet

jojobet

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

piabellacasino

ultrabet

piabellacasino

piabellacasino

kulisbet

betlike

artemisbet

piabellacasino

jojobet giriş

mavibet

casinoroyal

artemisbet

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

matbet

dinamobet giriş

jojobet

casibom

ultrabet

goldenbahis

jojobet

jojobet

casibom

casibom

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu veren siteler

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

jojobet

royalbet

jojobet

kafacasino

betface

pashagaming

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

avrupabet

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

maxwin

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

megabahis

ganobet

betwoon

Featured Kitaifa

WANAWAKE WATAKIWA KUWA WATAFUTAJI WA NAFASI MBALIMBALI ZA UONGOZI KATIKA NCHI ZAO.

Written by Alex Sonna

Mbunge viti maalum mkoa wa Mtwara Anastazia Wambura akiongea na waandishi wa habari baada ya kufungua mkutano wa wanawake viongozi unaendelea mkoani Arusha.

KATIBU Mkuu wa umoja wa wanawake wa Bunge la jumuiya ya Africa mshariki (EALA) Fatma Ndagiza akiongea na waandishi wa habari katika mkutano.

Mmoja wa wanaharakati wanaopigania haki za wanawake kutoka Congo DRC  Agnes Sadiki ambaye pia alishawahi kuwa waziri wa uchukuzi nchini humo, msemaji wa serikali na waziri wa bajeti akiongea na waandishi wa habari mkoani Arusha.

Dkt Rebecca Kadaga waziri wa jumuiya ya Africa mashariki kutoka Uganda akiongea na waandishi wa habari katika mkutano huo.

PICHA ya pamoja ya washiriki wa mkutano wa wanawake viongozi unaoendelea mkoani Arusha.

………………………………….
NA NAMNYAK KIVUYO, ARUSHA
Wanawake kutoka nchi mbalimbali za Kanda za Afrika ikiwemo EAC, SADIC, COMESA na ECOWAS wametakiwa kuwa watafutaji wa nafasi mbalimbali za uongozi katika nchi zao lakini pia jamii kuhakikisha wanawake wanapata nafasi  zikiwemo za kisiasa.
Wito huo umetolewa na Anastazia Wambura  mbunge wa viti maalum mkoa wa Mtwara wakati akifungua mkutano wa wanawake viongozi wanawake unaoendelea mkoa Arusha katika makao ya jumuiya ya Africa mshariki kwa niaba ya spika wa spika wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Tulia Ackson ambapo alisema kuwa ni vema wanawake wakapata nafasi za uongozi kwani mwanamke ndiye mzazi,mlezi, mtu mwepesi wa kubaini matatizo katika jamii pamoja na chombo kikubwa Cha amani.
Alisema wanawake wamekuwa wakikabiliwa na changamoto mbalimbali zinazozuia wao kuingia katika nyanja za siasa/uongozi ikiwemo kukabiliwa na shughuli nyingi za kifamilia hivyo katika mkutano huu watajadili changamoto hizo na namna bora ya kuweza kukabiliana nazo.
“Mambo mengine ni Mila, desturi na tamaduni ambazo zinawaona wanawake ni viumbe duni ambao hawawezi kutoa maamuzi kwahiyo mambo kama haya ndo yanaenda kujadiliwa lakini pia kubadilishana uzoefu kati ya nchi na nchi kuona wao wamewezaje kwa mfano Rwanda utaona wao wako karibia asilimia 64 ya wabunge ni wanawake lakini kwetu Tanzania ni asilimia 37  na wapo ambao wapo chini ya hapo hivyo tutabadilulishana uzoefu,” Alisema.
“Tutaangalia kwa pamoja tufanye nini ili tuweze kuhakikisha kwamba wanawake Afrika wanapata nafasi za uongozi kwani tunataka tuwe asilimia 50 kwa 50 lakini kwasababu ya hizi changamoto ndio maana bado hatukafikia lakini pia ni nafasi za wakereketwa kuhakikisha kwamba nafasi za wanawake zinaongezeka, bado nchi nyingi hazijawaweza kuweka kwenye mitaala lakini ni mapendekezo,” Alisema.
“Kwamba watoto wanapoingia darasa la kwanza hadi lasaba wajue kuwa mwanamke ni mtu wa muhimu katika kuiendeleza jamii kwahiyo wasiwe na mtadhamo hasi dhidi ya mwanamke, watakapowekewe kwenye mtaala moja kwa moja akiwa mkubwa akiambiwa nenda kapige kura anakuwa akijua niliambiwa kuwa mwanamke ni kiumbe muhimu katika kuleta maendeleo kwenye jamii,” Alieleza.
Kwa upande wake Dkt Rebecca Kadaga waziri wa jumuiya ya Africa mashariki kutoka Uganda alisema kuwa amekuwa spika wa Bunge la Uganda kwa miaka kumi hivyo yupo katika mkutano huo kubadilishana uzoefu nini wafanye ili wanawake waweze kupata nafasi za uongozi ikiwemo kukagua mambo mbalimbali ya serikali ikiwemo bajeti na uwakilishi wa wanawake kwa kuhakikisha asilimia 30 wanashiriki.
“ Tunataka kuhakikisha kuwa katika maeneo yetu kunakuwa na shule sahihi kwaajili ya watoto wa kike kwahiyo tupo kushauri kuhakikisha tunapaza sauti kwa pamoja na kufikia malengo ya kidunia katika nchi zetu za kuleta usawa katika mambo mbalimbali ikiwemo nafasi za uongozi,”Alisema.
 mmoja wa wanaharakati wanaopigania haki za wanawake kutoka Congo DRC Agnes Sadiki ambaye pia alishawahi kuwa waziri wa uchukuzi nchini humo, msemaji wa serikali na waziri wa bajeti alisema kuwa amefurahi kuona nchi nyingi zinaendea kupiga hatua katika kuwashirikisha mwanamke katika ngazi za uongozi na kutolea mfano Tanzania Zambia na Rwanda.
“Itatubidi katika nchi yetu ya Congo kuomba wakuu viongozi ambao nao wamesaini mikataba mbalimbali ikiwemo ya protocoli ya MAPUTO na nyinginezo ambazo zinaomba kumshirikisha mwanamke katika kila kitu ambacho kina lenga amani kwasababu hakuna uongozi bila amani lakini pia katika chaguzi kwani Congo tunajitahidi kuwa nchi yenye demokrasia,” Alisema.
“Tutaenda katika uchaguzi hivi karibuni kwahiyo ni sharti  wakuu viongozi kama walivyosaini ile mikataba  na kukubaliana kumweka mwanamke katika ngazi ya uongozi waweze kuzitekeleza lakini inabidi pia wanawake wao wenyewe wafanye juhudi za kuingia katika uongozi kwani wanastahili kuongoza pamoja na wanaume lakini pia watambue kuwa hawataweka tu kwa sababau ni wanawake bali wawe wanawake wanaostahili,” Alisema .
“Wawe wanawake wenye ujuzi, wasomi, wamelimika lakini vilevile awe na jitihada ya yule ambaye anastahili kuongoza kwa niaba ya wananchi kwa faida ya akina mama na raia wengine,” Aliongeza.
Naye katibu mkuu wa umoja wa wanawake wa Bunge la jumuiya ya Africa mshariki (EALA) Fatma Ndagiza alisema kuwa mkutano huo ni wa siku tatu ambapo lengo ni kuwapa nafasi wanawake waliopo katika siasa nafasi  na kubadishana mawazo na uzoefu hasa jinsia gani walifika katika nafasi walizonazo zinazotoa uamuzi,  kuelezana changamoto na ninamna gani wataweza kuzikabili changamoto hizo.
“Tunatarajia kuwa baada ya mazungumzo haya tutakuwa na mikakati mbalimbali ikiwemo ya kujitahidi kubadili Katiba za nchi zetu au kama wawakilishi tuweze kufuatilia na kuhoji serikali zetu ili wanawake wawe na mchango  kwa maendeleo ya taifa zao lakini pia wawe na wanawake wengi katika ngazi za siasa,” Alisema.

About the author

Alex Sonna