slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

noktabet, noktabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betorbet, betorbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

holiganbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

capitolbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

cratosroyalbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

perabet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

madridbet

holiganbet giriş

jojobet giriş

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

deneme bonusu

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

kulisbet, kulisbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

royalbet

Goldenbahis

deneme bonusu veren siteler

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

holiganbet

vdcasino

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet güncel giriş

Featured Kitaifa

MAADHIMISHO SIKU YA MALARIA DUNIANI YAFANYIKA DIDIA SHINYANGA, SERIKALI YATAKA WANANCHI KUCHUKUA HATUA

Written by Alex Sonna

 

Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga  akipiga picha na wacheza ngoma ya Ugoyangi wakiwa na nyoka kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.

 

Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Serikali Mkoa wa Shinyanga imewataka watoa huduma katika vituo vya afya kuboresha huduma za matibabu na kutoa elimu ya kutambua dalili za Malaria na jinsi ya kujikinga ili kupunguza kiwango cha maambukizi na vifo ambavyo vinaweza kuzuilika kwa kuweka nia ya pamoja ya kutokomeza Ugonjwa wa Malaria.
 
 
Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga wakati akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema kwenye Maadhimisho ya Kilele cha Malaria Mkoani Shinyanga ambayo yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia halmashauri ya Shinyanga.
 
 
Kiswaga pia amevitaka Vituo vya afya vihakikishe vinatoa huduma za upimaji wa malaria kwa wagonjwa wote wenye homa kabla ya kuanzishia matibabu ya malaria “maana sio kila homa ni malaria”.
 
Aidha Kiswaga amezihimiza Halmashauri za wilaya kutekeleza mikakati ambayo inawekwa na Mpango wa Taifa wa kudhibiti Malaria ili kupunguza madhara na vifo na hatimaye kutokomeza Malaria na kwamba elimu ya Afya itolewe kwa jamii kuhusu kuwahi matibabu mapema na kuondoa imani potofu kuhusu matumizi ya vyandarua vyenye viuatilifu vya muda mrefu.
 
“Malaria ni kati ya magonjwa ambayo taifa hutumia rasilimali nyingi katika kupambana nao. Ili kutokomeza Malaria, wananchi tumieni vyandarua vyenye viuatilifu vya muda mrefu kwa kujikinga na mbu wakati wa kulala na sio vinginevyo, kuvulia samaki ,kufugia vifaranga vya kuku,kutumia kama kamba za mifugo,kutumia kama kamba za nguo n.k”,amesema Kiswaga.
 
 
Katika hatua nyingine, Kiswaga ameeleza kuwa Takwimu zinaonesha kuwa katika mkoa wa Shinyanga halmashauri ya Wilaya ya Ushetu inaongoza kwa kuwa na maambukizi asilimia 45.2 ya Malaria ambapo mwaka jana 2021 maadhimisho ya siku ya malaria kimkoa yalifanyika katika halmashauri hiyo ikifuatiwa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga 43.1% ambapo Mwaka huu 2022 kilele cha maadhimisho kimkoa yamefanyikia.
 
Amesema kwa upande wa Halmashauri zingine , Halmashauri ya Wilaya ya Msalala inaongoza kwa maambukizi ya Malaria kwa 37% ,Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu 27.5%, Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga 20.5% na Halmashauri ya Mji Kahama 19.8%.
 
“Kutokana na takwimu hizo ndiyo maana mkoa umeamua kwa Mwaka huu 2022 kufanya madhimisho haya katika halmashauri ya Shinyanga ili wananchi muweze kujua ukubwa wa tatizo na kujua jinsi ya kulikabili”,amesema Kiswaga.
 
 
“Serikali inatumia rasilimali zake nyingi kudhibiti ugonjwa huu, hivyo basi tuzitumie ili kuboresha afya zetu kwa faida ya familia na taifa kwa ujumla kwa kuhakikisha tunapunguza kiwango cha maambukizi na vifo vitokanavyo na malaria”,ameongeza Kiswaga.
 
Kiswaga amesisitiza wananchi kusafisha mazingira wanayoishi kwa kufyeka nyasi, kufunika madimbwi ya maji, kutoa makopo au vifuu vinavyoweza kutuamisha maji, kuzibua mifereji ya maji ili kuondoa mazalia ya mbu pamoja na Halmashauri kunyunyizia viuadudu katika maeneo yote yenye mazalia ya mbu.
 
Aidha amewakumbusha wananchi kulala kwenye chandarua chenye dawa ya viuatilifu na Mama mjamzito apate dozi za SP kliniki kipindi cha ujauzito.
 
Kwa upande wake, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas amesema Malaria ni ugonjwa unaoambukizwa baada ya kuumwa na mbu jike aina ya Anofelesi aliyebeba vimelea vya Malaria toka kwa mtu mwenye vimelea na kwenda kwa mtu asiye na vimelea mara pale anapomuuma mtu huyo na kwamba maambukizi hayo huleta madhara makubwa na vifo katika jamii.
 
 
Dkt. Ndungile pia amewataka wananchi kuwahi mapema kwenye vituo vya afya pindi waonapo dalili za malaria ili kupata matibabu sahihi na kumaliza matibabu yote.
 
 
Dkt. Ndungile amezitaja dalili za ugonjwa wa malaria kuwa ni homa, maumivu ya kichwa, kutapika, kuharisha, mwili kuchoka/kuregea na kukosa nguvu na kukosa hamu ya kula.
 
Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani mkoa wa Shinyanga yakiongoza na kauli mbiu “Matokeo ya Sensa,Msingi wa Mapambano Dhidi Ya Malaria – Ziro Malaria Inaanza na Mimi” pia yamehudhuriwa na wadau wa afya Kanisa la KKKT Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria kupitia Idara ya afya ya jamii Uinjilisti ambao wanatekeleza mradi wa kutokomeza malaria katika Halmashauri ya Shinyanga.
 
ANGALIA PICHA HAPA CHINI
Mkuu wa
wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga yakiongozwa na kauli mbiu “Matokeo ya Sensa, Msingi wa Mapambano dhidi ya Malaria – Ziro Malaria inaanza na Mimi’. Picha zote na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Wananchi wakifuatilia matukio wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas Ndungile akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga
Kaimu Mganga Mkuu Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Dkt. Damas Mnyaga Nyansira akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga  akipiga picha na wacheza ngoma ya Ugoyangi wakiwa na nyoka kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
MC Mama Sabuni akiuliza maswali kwa wanafunzi na wananchi kuhusu Malaria kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika  katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Diwani wa kata ya Didia Mhe. Richard Luhende (kulia) akimkabidhi zawadi cha Chandarua mwanafunzi wa shule ya Sekondari Don Bosco Didia, Jane Johnson baada ya kujibu vyema swali kuhusu Malaria kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Diwani wa kata ya Didia Mhe. Richard Luhende (kulia) akimkabidhi zawadi cha Chandarua mwanafunzi wa shule ya Sekondari Don Bosco Didia, Bryan Mathias baada ya kujibu vyema swali kuhusu Malaria kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Diwani wa kata ya Didia Mhe. Richard Luhende (kulia) akimkabidhi zawadi cha Chandarua mkazi wa Didia Said Ramadhan baada ya kujibu vyema swali kuhusu Malaria kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Wanafunzi wa shule ya Msingi Didia wakifuatilia matukio wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Wananchi wakifuatilia matukio wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Wageni waalikwa wakifuatilia matukio wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mcheza ngoma ya Ugoyangi akicheza na nyoka wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mcheza ngoma ya Ugoyangi akicheza na nyoka wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Wananchi na wanafunzi wakifuatilia matukio wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Wageni waalikwa wakifuatilia matukio wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Wananchi na wanafunzi wakifuatilia matukio wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
MC Mama Sabuni akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 

About the author

Alex Sonna