slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

matbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

goldenbahis

goldenbahis giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

romabet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

capitolbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

imajbet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

cratosroyalbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

romabet giriş

madridbet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

deneme bonusu

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

holiganbet

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

romabet

Goldenbahis

deneme bonusu veren siteler

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet güncel giriş

Featured Kitaifa

WIZARA YA FEDHA YASISITIZA MAADILI, UBUNIFU NA UADILIFU KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Written by Alex Sonna

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Laurent Luswetula (Mb), akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), wakati akifungua rasmi Mkutano wa 39 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2025/26 uliofanyika katika Ukumbi wa Kambarage (Treasury Square) jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha anayeshughulikia huduma za Hazina, Bw. Nsubili Joshua, akizungumza wakati akifungua rasmi Mkutano wa 39 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2025/26 uliofanyika katika Ukumbi wa Kambarage (Treasury Square) jijini Dodoma.

Kaimu Katibu wa Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Fedha Bw. Shumbi Jackson, akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa Mkutano wa 39 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2025/26 uliofanyika katika Ukumbi wa Kambarage (Treasury Square) jijini Dodoma.

Katibu wa Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Fedha, Bw. Radhaman Kipambe, akitoa neno la shukrani baada ya kuchaguliwa kwenye nafasi hiyo wakati wa Mkutano wa 39 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2025/26 uliofanyika katika Ukumbi wa Kambarage (Treasury Square) jijini Dodoma.

Meza Kuu ikiongozwa na Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Laurent Luswetula (Mb) (katikati), Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha anayeshughulikia huduma za Hazina, Bw. Nsubili Joshua(wa pili kushoto), Kaimu Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali, Bw. Kenneth Nindie (wa kwanza kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa TUGHE Taifa, Bw. Rugemalila Rutatina, wakiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa watumishi wa wizara mikoani, wakati wa Mkutano wa 39 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2025/26 uliofanyika katika Ukumbi wa Kambarage (Treasury Square) jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha anayeshughulikia huduma za Hazina, Bw. Nsubili Joshua (katikati), Katibu mpya wa Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Fedha, Bw. Radhaman Kipambe (kushoto) na Mwakilishi wa Katibu aliyemaliza muda wake Bw. Shumbi Jackson (kulia), wakiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa TUGHE Wizara ya Fedha wakati wa Mkutano wa 39 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2025/26 uliofanyika katika Ukumbi wa Kambarage (Treasury Square) jijini Dodoma.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha)

Na. Josephine Majura na Peter Haule, WF, Dodoma

Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha wametakiwa kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia maadili ya Utumishi wa Umma, Sheria, Kanuni na Miongozo mbalimbali ya Serikali ili kuimarisha utawala bora na utoaji wa huduma bora kwa wananchi.

Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Laurent Luswetula (Mb) kwa niaba ya Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), wakati akifungua rasmi Mkutano wa 39 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2025/26 uliofanyika katika Ukumbi wa Kambarage (Treasury Square) jijini Dodoma.

Alisema kuwa kuna umuhimu kwa watumishi kuwa wabunifu, kufanya kazi kwa weledi, uadilifu na ushirikiano ili kuongeza ufanisi wa huduma zinazotolewa na Wizara na kusisitiza umuhimu wa kuimarisha mifumo ya mawasiliano na mrejesho kwa wadau mbalimbali ili kuongeza tija katika utekelezaji wa majukumu ya Serikali.

Mhe. Luswetula, amewataka watumishi kuzingatia afya zao kwa kushiriki katika programu za upimaji wa afya zinazoratibiwa na Wizara, kufanya mazoezi ya mwili mara kwa mara pamoja na kuzingatia ushauri wa wataalam wa afya kuhusu lishe bora ili kujikinga na magonjwa yasiyoambukizwa.

Katika hatua nyingine, aliwahimiza wajumbe wa Baraza hilo kuwa mfano wa kuigwa katika utunzaji wa mali za umma na kuhakikisha maelekezo yote yanayotolewa na Serikali na viongozi mbalimbali yanatekelezwa kwa wakati na kwa ufanisi.

“Ninasisitiza kwamba tuendelee kufanya kazi kwa bidii, uaminifu, weledi na ushirikiano mkubwa. Kufanya kazi Wizara ya Fedha si kwa bahati mbaya, tumeaminiwa tutimize wajibu wetu. Tujiepushe na vitendo viovu, tuwe wazalendo kwa nchi yetu”, alisema Mhe. Luswetula.

Aidha, aliwataka wajumbe wa Baraza hilo kusikiliza kwa umakini mada mbalimbali zitakazowasilishwa katika mkutano huo na kuzitumia kama chachu ya kuibua mawazo yenye tija kwa maendeleo ya Wizara na Taifa kwa ujumla.

Awali akimkaribisha mgeni rasmi, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha anayeshughulikia huduma za Hazina, Bw. Nsubili Joshua, alisema kuwa mkutano huo ni kwa mujibu wa Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini SURA 366 ambapo lengo lake ni kuongeza ushirikishwaji wa watumishi katika masuala mbalimbali ya Wizara.

Alifafanua kuwa kikao hicho kimewajumuisha wajumbe 222 kutoka katika Chama cha Wafanyakazi, Menejimenti ya Wizara, Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya wizara na wawakilishi kutoka katika Idara na Vitengo.

Bw. Joshua ameeleza kuwa Mkutano huo ni jukwaa muhimu la kujadili masuala ya ustawi wa watumishi, kuimarisha uhusiano kazini na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya Wizara.

Aidha, alibainisha kuwa katika kikao hicho wajumbe watapata nafasi ya kusikiliza na kuchangia mada mbalimbali zilizowasilishwa kwa kuzingatia ratiba iliyotolewa pamoja na kushiriki katika majadiliano ya masuala mbalimbali yanayolenga kuboresha utendaji kazi wa Wizara.

Wakati wa mkutano huo, ulifanyika uchaguzi wa kumteua Katibu wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha ambapo Bw. Ramadhani Kipambe alishinda uchaguzi huo.

About the author

Alex Sonna