slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

madridbet

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet giriş

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet giriş

artemisbet

kavbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

artemisbet giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

Piabet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

holiganbet

marsbahis

matbet

sekabet

bahiscasino

vdcasino giriş

vdcasino

Uncategorized

WANAWAKE WATAKIWA KUANDAA MLO BORA KATIKA FAMILIA ZAO

Written by Alex Sonna

Washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kuyafahamu magonjwa yasiyoambukiza ambao ni wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya masuala ya UKIMWI, Kifua kikuu, madawa za kulevya na magonjwa yasiyoambukiza, watu wanaoishi na magonjwa hayo na wahariri wa vyombo vya habari wakifuatilia mada ya umuhimu wa kufanya mazoezi iliyokuwa inatolewa kwenye mafunzo hayo yanayofanyika katika Ukumbi wa Protea jijini Dar es Salaam. Mfunzo hayo ya  siku mbili yameandaliwa na Wizara ya Afya kupitia  Shirikisho la Vyama vya Magonjwa yasiyoambukiza Tanzania  (TANCDA).

Mkurugenzi Msaidizi huduma za lishe kutoka Wizara ya Afya Dkt. Grace Moshi akiwasilisha mada kuhusu lishe bora inavyoweza kuwakinga watu na magonjwa yasiyoambukiza kwa washiriki wa mafunzo ya kujenga uwezo wa kuyafahamu magonjwa hayo  ambao ni wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya masuala ya UKIMWI, Kifua kikuu, madawa za kulevya na magonjwa yasiyoambukiza, watu wanaoishi na magonjwa hayo na wahariri wa vyombo vya habari .  Mafunzo hayo ya siku mbili yanayofanyika katika Hoteli ya Protea jijini Dar es Salaam yameandaliwa na Wizara ya Afya kupitia Shirikisho la Vyama vya Magonjwa yasiyoambukiza Tanzania  (TANCDA).

Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Magonjwa yasiyoambukiza Tanzania  (TANCDA) Prof. Andwer Swai akitoa mada ya  ugonjwa wa kisukari kwa washiriki wa mafunzo ya kuwajenga uwezo wa kuyafahamu magonjwa yasiyoambukiza   ambao ni wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya masuala ya UKIMWI, Kifua kikuu, madawa za kulevya na magonjwa yasiyoambukiza, watu wanaoishi na magonjwa hayo na wahariri wa vyombo vya habari . Mafunzo hayo  ya siku mbili yanayofanyika katika Hoteli  ya Protea iliyopo  jijini Dar es Salaam  imeandaliwa na Wizara ya Afya kupitia Shirikisho la Vyama vya Magonjwa yasiyoambukiza Tanzania  (TANCDA).

Washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kuyafahamu magonjwa yasiyoambukiza  ambao ni wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya masuala ya UKIMWI, Kifua kikuu, madawa za kulevya na magonjwa yasiyoambukiza,  watu wanaoishi na magonjwa hayo na wahariri wa vyombo vya habari  wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufunguliwa kwa mafunzo hayo yanayofanyika katika Hoteli ya Protea jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo ya siku mbili yameandaliwa na Wizara ya Afya kupitia Shirikisho la Vyama vya Magonjwa yasiyoambukiza Tanzania  (TANCDA).

Picha na Henrick Chiwangu

…………………………………………………..

Na Mwandishi Maalum – Dar es Salaam

Wanawake nchini wametakiwa kuwa mstari wa  mbele katika  kuzikinga familia zao dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza kwa kuandaa mlo bora kwani magonjwa hayo yanatokana na mtindo mbaya wa maisha ikiwa ni pamoja na kula vyakula bila mpangilio.

Rai hiyo imetolewa na Mbunge wa Jimbo la Malinyi Mhe. Antipas Mgungusi katika mafunzo ya  kuwajengea uwezo wa kuyafahamu magonjwa yasiyoambukiza wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya masuala ya UKIMWI, Kifua kikuu, madawa za kulevya na magonjwa yasiyoambukiza, watu wanaoishi na magonjwa hayo na wahariri wa vyombo vya habari yanayofanyika katika Hoteli ya Protea iliyopo jijini Dar es Salaam.

Mhe. Mgungusi alisema mkurugenzi wa masuala ya chakula na lishe katika familia ni mwanamke na kuwataka wanawake katika familia kuchukua majukumu yao ya kuhakikisha familia  zinapata chakula bora kisichokuwa na mafuta mengi, sukari nyingi na chumvi nyingi ili kuzikinga na magonjwa yasiyoambukiza.

“Mara nyingi sisi wanaume tukitoka katika mihangaiko yetu tukifika nyumbani tunakula chakula tulichoandaliwa mezani, hivyo basi kama mama kaandaa chakula hatarishi kwa afya tunakula lakini pia kama kaandaa chakula chenye afya bora tutakula.  Hivyo ni vyema wanawake kuwa mstari wa mbele katika kuokoa familia zao na magonjwa haya yasiyoambukiza”, alisema Mhe. Mgungusi.

Mhe. Mgungusi ambaye pia ni mjumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya masuala ya UKIMWI, Kifua kikuu, madawa za kulevya na magonjwa yasiyoambukiza aliwaomba  wadau  wa maendeleo nchini kuungana kwa pamoja kutafuta mbinu zitakazowezesha magonjwa yasiyoambukiza yanapungua kwani magonjwa hayo hutumia gharama nyingi kuyatibu na  kuzifanya familia kubaki maskini.

“Changamoto ya magonjwa yasiyoambukiza ni kubwa, tumeona watu wengi wanapoteza maisha, lakini pia magonjwa haya yanafahamika kuwa ni magonjwa ambayo tiba zake ni za gharama kubwa. Ni vyema jamii ikatumia njia mbalimbali za kujikinga na magonjwa haya kwani gharama za kujikinga ni ndogo kuliko gharama za matibabu endapo mtu atapata magonjwa haya”, .

“Nikitoka hapa nitachukua jukumu langu la msingi la kuelimisha watu juu ya magonjwa yasiyoambukiza yakiwemo  magonjwa ya moyo, kansa, kisukari, pumu na selimundu kwani watu wengi hawana uelewa wa kutosha kuhusu magonjwa haya hivyo kupelekea wagonjwa kugundulika kuwa na matatizo haya wakiwa katika hatua mbaya”, alisema Mhe. Mgunguzi.

Kwa upande wake Meneja wa elimu ya afya kwa umma na kaimu meneja kitengo cha magonjwa yasiyoambukiza kutoka Wizara ya Afya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Bakari Magarawa aliipongeza Serikali kupitia Wizara ya Afya na wadau binafsi kwa juhudi zao za  kupambana na magonjwa hayo.

Magarawa aliwaomba wadau kuendelea kuhamasisha  jamii namna inavyoweza kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza kwa kuanzisha mafunzo mbalimbali yanayotoa elimu katika makundi rika na kuikinga jamii na magonjwa yasiyoambukiza.

“Ni jukumu letu kila mtu kwa wakati wake kupambana na kuipambania jamii iliyotuzunguka ili kwa pamoja tuweze kutokomeza magonjwa yasiyoambukiza ambayo yamekuwa yakitumia gharama kubwa kuyatibu hivyo kupelekea uchumi wa nchi na uchumi wa familia kutumika katika matibabu badala ya kutumika katika maendeleo mengine”, alisema Magarawa.

Akizungumza kuhusu mafunzo hayo Mhariri Mkuu wa Clouds Media Group na Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA)  Joyce Shebe alisema mafunzo ya  kuwajengea uwezo aliyoyapata yamemfungua macho na kuona ukubwa wa tatizo hivyo kumpa jukumu kama mwandishi wa habari kuisaidia jamii kutoa taarifa za kuelimisha umma ili kupunguza vifo vinavyosababishwa na magonjwa yasiyoambukiza.

Joyce alisema waandishi wa habari wanapaswa kuisaidia jamii ya watanzania ili iweze kuepuka kupata magonjwa yasiyoambukiza kwa kutumia vyombo vyao vya habari wataweza kuhamasisha mbinu ambazo zitazuia magonjwa hayo kama kuhamasisha wananchi kufanya mazoezi, kula vyakula bora na kufuata mtindo bora wa maisha ili kujikinga na magonjwa hayo.

“Ninaiomba Serikali iwe inatoa takwimu za magonjwa haya kwa kutupa nafasi ya kujua ukubwa wa tatizo ili kwa pamoja sisi kupitia vyombo vyetu vya habari tuingie kwenye vita ya kupambana na magonjwa haya na kuikinga jamii yetu na magonjwa yasiyoambukiza”, alisema Joyce.

Naye Mbunge wa Vitu Maalum kutoka Mkoa wa Pwani ambaye pia mjumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya masuala ya UKIMWI, Kifua kikuu, madawa za kulevya na magonjwa yasiyoambukiza Mhe. Hawa Chakoma aliipongeza Serikali kwa jitihada inayofanya ya  kupambana na magonjwa hayo  kwa kutenga bajeti inayotumika kununua vifaa tiba, dawa na kuwasaidia wagonjwa wenye magonjwa yasiyoambukiza.

“Magonjwa yasiyoambukiza yamekuwa yakichukua bajeti kubwa ya Serikali katika kuyatibu, ni jukumu letu sasa kupaza sauti zetu ili kuyapunguza ikiwezekana kuyaondoka kabisa magonjwa haya kwani hayahitaji bajeti kuyaondoa bali uhitaji jitihada zetu katika kujikinga nayo”, alisema Mhe. Hawa

Aidha Mhe. Hawa alilipongeza Shirikisho la Vyama vya Magonjwa yasiyoambukiza Tanzania  (TANCDA) kwa kuwa mstari wa mbele katika kupambana kwa ajili ya kuikinga jamii na magonjwa hayo kwa kutoa mafunzo mbalimbali na kuwafikia wagonjwa ambao tayari wanaishi na magonjwa hayo ili  wawe  ushuhuda katika jamii kwa kujitokeza na kutoa changamoto mbalimbali wanazopitia.

Mafunzo hayo ya siku mbili yanayohudhuriwa na washiriki 64 yameandaliwa na Wizara ya Afya kupitia Shirikisho la Vyama vya Magonjwa yasiyoambukiza Tanzania  (TANCDA).

About the author

Alex Sonna