Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

betplay

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

Featured Kitaifa

BoT YAWEKA MAZINGIRA BORA KUZIWEZESHA BENKI ZA KIJAMII KUKUA

Written by mzalendo

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), alipokuwa akijibu swali bungeni jijini Dodoma la Mbunge wa Iringa Mjini, Mhe. Jesca Msambatavangu, alietaka kufafanuliwa hatua za kuisaidia Benki ya MUCOBA ambapo inadaiwa kusumbuliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), alipokuwa akijibu swali bungeni jijini Dodoma la Mbunge wa Iringa Mjini, Mhe. Jesca Msambatavangu, aliyetaka kufahamu mpango wa Serikali wa kuzisaidia Benki za Jamii (Community Banks) kama MUCOBA BANK iliyopo mkoani Iringa ili kukuza uchumi wa wananchi wa hali ya chini (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini – Wizara ya Fedha).

Na. Peter Haule, WF, Dodoma

Serikali imeeleza kuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeendelea kuweka mazingira bora ya kisera na kimfumo ili kuziwezesha benki za biashara na za kijamii (Community Banks) kukua na kushamiri, ikiwemo Benki ya MUCOBA.

Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Iringa Mjini, Mhe. Jesca Msambatavangu, aliyetaka kufahamu mpango wa Serikali wa kuzisaidia Benki za kijamii kama MUCOBA BANK iliyopo mkoani Iringa ili kukuza uchumi wa wananchi wa hali ya chini.

Mhe. Chande alisema kuwa Hatua zilizochukuliwa na Benki Kuu ni pamoja na kutafuta mwekezaji mpya wa MUCOBA, ambaye ni Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), kurekebisha kanuni za usajili wa wakala wa benki kwa kuondoa kigezo cha uzoefu wa miezi 18.

Alizitaja hatua nyingine kuwa ni kuanzisha mfuko maalum wa shilingi trilioni moja kwa ajili ya mikopo kwa benki na taasisi za fedha zinazotoa mikopo kwa wakulima kwa riba ya asilimia tatu kwa mwaka, kutoa unafuu wa kiasi cha amana ambacho benki na taasisi za fedha zinatakiwa kuweka Benki Kuu (SMR) kwa benki zinazotoa mikopo kwa sekta ya kilimo.

Mhe. Chande alisema BoT imepunguza kiwango cha riba kinachotolewa katika akaunti za wateja wa watoa huduma za fedha kwa njia ya simu za mkononi (MNOs) kuwa sawa na riba za amana za sekta ya benki na kudhibiti uwiano wa gharama za uendeshaji wa benki na pato la benki usizidi asilimia 55 na mikopo chechefu isizidi asilimia tano ya mikopo yote.

Akijibu swali la nyongeza kuhusu Benki hiyo kusumbuliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuchukua fedha zaidi ya milioni 600 kwenye Benki hiyo kupitia Benki ya NMB kwa kisingizio cha Kodi, Waziri wa Fedha, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), alisema kuwa Fedha hazikuchukuliwa kwa kisingizio cha Kodi bali ilikuwa ni kodi halali.

Dkt. Nchemba alisema kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania imeridhia kukutana na Benki hiyo ili kuona namna bora ya kuwasaidia ili benki iweze kujiendesha na kutoa huduma, hivyo amemuomba Mbunge wa Iringa Mjini kuwataarifu viongozi wa Benki hiyo kuonana na uongozi wa juu wa Ofisi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania, ili kutatua changamoto hiyo.

About the author

mzalendo