Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

betplay

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

Kitaifa

RAIS SAMIA KATIMIZA MAJUKUMU YAKE, SASA JUKUMU LINABAKI KWENU – WAZIRI UMMY

Written by mzalendo


Na Gideon Gregory, Dodoma.
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekwisha kutimiza majukumu yake katika sekta ya afya hivyo ni jukukumu la waganga Wafawidhi kwenda kutimiza majukumu yao.

Waziri Ummy ameyasema hayo leo Februari 14,2024 Jijini Dodoma wakati akifunga mkutano wa mwaka wa Waganga Wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya ngazi ya Msingi na kuongeza kuwa kadri huduma zinavyozidi kupanuliwa katika maeneo yote nchini ndivyo wahitaji wanazidi kuongezeka.

“Nataka niwashukuru sana kwani mnafanya vizuri katika maeneo yenu licha ya changamoto mbalimbali mnazozipitia ndiyo maana kila siku naendelea kuwa mtetezi wenu, unakuta ninyi mmekuja hapa lakini kuna kituo kimefungwa mtoa huduma wao kaja hapa kwakweli niwapongeze sana kwa namna mnavyojitoa,”amesema.

Waziri Ummy amesema kuwa kwasasa hawatokagua suala la huduma tu wanazozitoa wataingia mpaka kwenye upande wa vipimo vya maabara ili kuweza kusaidia utoaji wa huduma bora unaendelea kuimarika.

Aidha amewataka waganga wafawidhi hao kuhakikisha huduma zinazotolewa katika vituo vya afya zinazigatia ustawi wa jamii kwa kuanzisha dirisha la kuhudumia wazee pamoja na kuweka takwimu za wagonjwa wanaotumia huduma za msamaha zinarekodiwa.

Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, TAMISEMI anayeshughulikia Afya, Dkt. Wilson Mahera amemuomba Waziri Ummy mwongozo wa uchangiaji wa bima za afya ukamilike kwa wakati ili kuwasaidia watumiaji wa huduma hiyo.

Naye Mkurugenzi wa Idara ya Afya Ofisi ya Rais TAMISEMI na Rashidi Mfaume amesema kuwa waliamua kufanya mkutano huo kwasababu kumekuwa na nafasi kubwa ya mawasiliano na kushindwa kupata marejesho wa kiutendaji kutoka kwao baadala yake kupata kutoka kwa vyombo vya habari na wananchi.

“Tumekuwa na uwekezaji mkubwa kuanzia ngazi ya msingi kwenye upande wa dawa na vifaa tiba na sasa Rais hatumdai bali yeye anatudai na ni fursa kwao waganga hawa kubadiliashana uzoefu katika utendaji wao wa kazi,”amesema.

Amesema kuwa moja kati ya malengo makubwa ya mkutano huo ni kuwajengeana uwezo katika nafasi mbalimbali za utendaji kazi ikiwemo kupata taarifa kuhusiana na afua mbalimbali zinazoendeshwa na na Serikali na hali ya ufuatiliaji utendaji wa kazi unaofanywa na TAMISEMI.

“Pia kupitia mkusanyiko huu tumepata maoni mbalimbali na tunaahidi kwenda kuyafanyia kazi maoni yao ambayo wameyawasilisha ndani ya siku hizi mbili tulizokutana nao hapa.

Akisoma risala kuhusiana na hali ya utendaji kazi mbele ya Waziri wa Afya Ummy Mwalimu Mwenyekiti wa Waganga Wafawidhi Dkt. Florence Hilar ameipongeza serikali kwa kuendelea kuboresha miundombinu ya kutolea huduma za afya nchini ikiwemo kununua vifaa tiba, ujenzi wa vituo vya afya katika maeneo ya karibu na wananchi.

Serikali imeendelea kufunga mifumo ya kielektroki katika vituo mbalimbali vya afya jambo ambalo limelekea kukabiliana na upotevu wa fedha uliokuwepo hapo awali na hiyo kusaidia ongezeko la ukusanyaji wa mapato kupitia sekta ya afya.

“Tunaipongeza Serikali kwa kuendelea kusimamia vyema sera ya afya ya mwaka 2007 na kutekeleza vyema irani ya chama katika kuendelea kuboresha huduma za afya nchini,”amesema.

Pia ameongeza kuwa lengo la uanzishwaji wa maduka ya madawa ni kurahisisha upatikanaji wa dawa kwa urahisi kwa wagonjwa lakini changamoto inakuwa ni pale ambapo mgonjwa anayetibiwa kwa msamaha akitakiwa kulipia dawa hizo.

Amesema upatikanaji hafifu wa dawa kutoka bohari kuu ya dawa kunaathiri hali ya utoaji wa huduma kwa kwa wananchi.

About the author

mzalendo