slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bos

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

salfk

NervEase

https://r10.net/

https://blog.r10.net

https://r10.net

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

marsbahis

pusulabet giriş

matbet

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

rsedf

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

goldenbahis

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

ldkfkldd

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

goldenbahis giriş

casibom giriş

dlakjfol

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

tempobet

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

goldenbahis

Goldenbahis

tempobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

matbet

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Kitaifa

RAIS SAMIA KATIMIZA MAJUKUMU YAKE, SASA JUKUMU LINABAKI KWENU – WAZIRI UMMY

Written by mzalendo


Na Gideon Gregory, Dodoma.
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekwisha kutimiza majukumu yake katika sekta ya afya hivyo ni jukukumu la waganga Wafawidhi kwenda kutimiza majukumu yao.

Waziri Ummy ameyasema hayo leo Februari 14,2024 Jijini Dodoma wakati akifunga mkutano wa mwaka wa Waganga Wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya ngazi ya Msingi na kuongeza kuwa kadri huduma zinavyozidi kupanuliwa katika maeneo yote nchini ndivyo wahitaji wanazidi kuongezeka.

“Nataka niwashukuru sana kwani mnafanya vizuri katika maeneo yenu licha ya changamoto mbalimbali mnazozipitia ndiyo maana kila siku naendelea kuwa mtetezi wenu, unakuta ninyi mmekuja hapa lakini kuna kituo kimefungwa mtoa huduma wao kaja hapa kwakweli niwapongeze sana kwa namna mnavyojitoa,”amesema.

Waziri Ummy amesema kuwa kwasasa hawatokagua suala la huduma tu wanazozitoa wataingia mpaka kwenye upande wa vipimo vya maabara ili kuweza kusaidia utoaji wa huduma bora unaendelea kuimarika.

Aidha amewataka waganga wafawidhi hao kuhakikisha huduma zinazotolewa katika vituo vya afya zinazigatia ustawi wa jamii kwa kuanzisha dirisha la kuhudumia wazee pamoja na kuweka takwimu za wagonjwa wanaotumia huduma za msamaha zinarekodiwa.

Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, TAMISEMI anayeshughulikia Afya, Dkt. Wilson Mahera amemuomba Waziri Ummy mwongozo wa uchangiaji wa bima za afya ukamilike kwa wakati ili kuwasaidia watumiaji wa huduma hiyo.

Naye Mkurugenzi wa Idara ya Afya Ofisi ya Rais TAMISEMI na Rashidi Mfaume amesema kuwa waliamua kufanya mkutano huo kwasababu kumekuwa na nafasi kubwa ya mawasiliano na kushindwa kupata marejesho wa kiutendaji kutoka kwao baadala yake kupata kutoka kwa vyombo vya habari na wananchi.

“Tumekuwa na uwekezaji mkubwa kuanzia ngazi ya msingi kwenye upande wa dawa na vifaa tiba na sasa Rais hatumdai bali yeye anatudai na ni fursa kwao waganga hawa kubadiliashana uzoefu katika utendaji wao wa kazi,”amesema.

Amesema kuwa moja kati ya malengo makubwa ya mkutano huo ni kuwajengeana uwezo katika nafasi mbalimbali za utendaji kazi ikiwemo kupata taarifa kuhusiana na afua mbalimbali zinazoendeshwa na na Serikali na hali ya ufuatiliaji utendaji wa kazi unaofanywa na TAMISEMI.

“Pia kupitia mkusanyiko huu tumepata maoni mbalimbali na tunaahidi kwenda kuyafanyia kazi maoni yao ambayo wameyawasilisha ndani ya siku hizi mbili tulizokutana nao hapa.

Akisoma risala kuhusiana na hali ya utendaji kazi mbele ya Waziri wa Afya Ummy Mwalimu Mwenyekiti wa Waganga Wafawidhi Dkt. Florence Hilar ameipongeza serikali kwa kuendelea kuboresha miundombinu ya kutolea huduma za afya nchini ikiwemo kununua vifaa tiba, ujenzi wa vituo vya afya katika maeneo ya karibu na wananchi.

Serikali imeendelea kufunga mifumo ya kielektroki katika vituo mbalimbali vya afya jambo ambalo limelekea kukabiliana na upotevu wa fedha uliokuwepo hapo awali na hiyo kusaidia ongezeko la ukusanyaji wa mapato kupitia sekta ya afya.

“Tunaipongeza Serikali kwa kuendelea kusimamia vyema sera ya afya ya mwaka 2007 na kutekeleza vyema irani ya chama katika kuendelea kuboresha huduma za afya nchini,”amesema.

Pia ameongeza kuwa lengo la uanzishwaji wa maduka ya madawa ni kurahisisha upatikanaji wa dawa kwa urahisi kwa wagonjwa lakini changamoto inakuwa ni pale ambapo mgonjwa anayetibiwa kwa msamaha akitakiwa kulipia dawa hizo.

Amesema upatikanaji hafifu wa dawa kutoka bohari kuu ya dawa kunaathiri hali ya utoaji wa huduma kwa kwa wananchi.

About the author

mzalendo