marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

imajbet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

Marsbahis

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

matbet, matbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

deneme bonus veren siteler

holiganbet

deneme bonusu

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

supertotobet

supertotobet giriş

ultrabet

pusulabet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

vaycasino

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

kralbet

imajbet

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

zirvebet

perabet

efesbet

pokerklas

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

madridbet

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

ligobet giriş

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

milanobet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet

casibom

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

kralbet

ligobet

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

casibom

Featured Kitaifa

MKANDARASI APEWA MIEZI MITANO KUKAMILISHA MRADI WA BWAWA KATAVI

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga (wapili kushoto) alipowasili kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Mlele. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya hiyo, Philbert Sanga.

Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga (kushoto) akizungumza wakati wa ziara yake Wilayani Mlele. Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Mlele, Philbert Sanga na kulia ni Meneja RUWASA Mkoa wa Katavi, Mhandisi Peter Ngunula.

Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga (wa pili kushoto) akimsikiliza Meneja wa RUWASA Wilaya ya Mlele, Mhandisi Gilbert Isack (kushoto) wakati wa ziara yake kwenye mradi wa ujenzi wa Bwawa la Maji la Nsekwa.

Muonekano wa Bwawa la Maji la Nsekwa Wilayani Mlele

……………………

Na Mohamed Saif

Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga amemuelekeza Mkandarasi anayejenga mradi wa Bwawa la maji la Nsekwa Wilayani Mlele kampuni ya Hematec Investment Ltd ya Dar es Salaam awe amekamilisha ujenzi wake ifikapo Mwezi Desemba mwaka huu. 

Mhandisi Sanga ametoa maelekezo hayo Wilayani Mlele Mkoani Katavi Juni 23, 2022 alipofanya ziara ya kukagua ujenzi wa bwawa hilo linalotarajiwa kunufaisha wakazi wapatao 68,426 wa vijiji 16 kutoka Kata za Inyonga, Utende, Nsekwa, Ilela na Kamsisi.

Awali akizungumza na Mkuu wa Wilaya ya Mlele, Mhe. Philbert Sanga alimuelezea Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Sanga kuhusu kusuasua kwa ujenzi wa bwawa pasi na sababu za msingi.

“Ninawapongeza sana Wizara ya Maji, kazi mnayofanya ni kubwa na sote ni mashahidi tunakiona mnachokitekeleza. Kabla ya ziara yako alitutembelea Mheshimiwa Waziri na alituahidi kwamba utakuja kufuatilia ujenzi wa miradi wilayani hapa na hili limetimia, hii inadhihirisha uchapakazi wenu,” alisema Mhe. Mkuu wa Wilaya.

Akiwa katika eneo la mradi ili kushuhudia kinachoendelea, Mhandisi Sanga hakuridhishwa na hali ya utekelezwaji wake hasa ikizingatiwa kuwa mradi huo umechukua muda mrefu kukamilika licha ya Mkandarasi kulipwa fedha zake kwa wakati

“Kazi hairidhishi, nilitarajia kukuta Mkandarasi anaendelea na kazi lakini bahati mbaya sana hakuna kinachoendelea, tumeleta fedha za kutosha hapa sijaridhika na ninachokishuhudia,” alisema Mhandisi Sanga.

Alisema Wizara ilikwamua miradi mingi ambayo ilikua ikisuasua maarufu kama miradi chechefu na hayupo tayari kushuhudia hali hiyo ikijirudia na kwamba anachohitaji ni kuona kazi ikiendelea kwa kasi ili kuwaondolea adha wananchi.

Katibu Mkuu Sanga alisisitiza kuwa Wizara ya Maji imekwishajipambanua mapema kuwa haitoendekeza wakandarasi wababaishaji kama ambavyo Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alivyoelekeza.

“Mhesimiwa Rais Samia alikwishatupatia maelekezo na mara nyingi Waziri wangu amekuwa akiyarejea maelekezo haya kwa wataalam wetu na wakandarasi kila anapotembelea miradi; tunachokifanya sisi ni utekelezaji. Hatuwezi kurudi huko tulikotoka, kama suala ni fedha semeni, hatupo tayari kudanganywa kwa uzembe wa mkandarasi,” alisisitiza Mhandisi Sanga

Mhandisi Sanga alisema baadhi ya wakandarasi wamekuwa wakijificha kwenye kisingizio cha fedha jambo ambalo alisema halina ukweli wowote kwani kwa utaratibu wa sasa wa Serikali kupitia Wizara ya Maji malipo yanatoka kwa wakati pindi Mkandarasi anapowasilisha hati ya madai.

Alimuelekeza mkandarasi kuhakikisha bwawa hilo linakamilika ifikapo Mwezi Desemba mwaka huu ili msimu wa mvua unapochanganya ukute tayari bwawa limekamilika na alisisitiza kuwa ikitokea mkandarasi akachelewesha basi akatwe malipo yake.

“Maelekezo ya Wizara kwa Mkandarasi ni kuhakikisha mradi unakamilika kabla ya Mwezi Desemba mwaka huu, mvua zinapoanza bwawa linakuwa liko tayari,” alielekeza Mhandisi Sanga.

Naye mkandarasi kupitia mwakilishi wake, Elimring Molth alimuahidi Mhandisi Sanga kuwa bwawa hilo litakamilika kama alivyoelekeza na kwamba ifikapo Jumamosi ya tarehe 25 mwezi huu, timu ya wataalam wake itakuwa imewasili eneo la mradi na kuendelea na kazi.

Mhandisi Sanga aliiomba Kamati ya Ulinzi na Usalama kufika hapo siku hiyo ya Jumamosi ili kujiridhisha kama kazi inaendelea.

Kwa mujibu wa Meneja wa RUWASA Wilaya ya Mlele, Mhandisi Gilbert Isack alisema mradi huo wa thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2 ulianza kutekelezwa mwaka 2018 na ulipaswa kukamilika mwaka 2019.

Mhandisi Isack alisema kukamilika kwa mradi huo kutatosheleza mahitaji ya wananchi wa vijiji hivyo 16 kwani mahitaji kwa sasa ni takribani lita milioni 500 kwa mwaka wakati bwawa hilo uwezo wake ni kuhifadhi zaidi ya lita bilioni 2 kwa mwaka.

About the author

Alex Sonna