marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

milanobet

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

casibom giriş

jojobet

bets10

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

betsat

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

casibom

kralbet

en iyi slot siteleri

casinoroyal

Featured Kitaifa

MAAFISA WIZARA YA FEDHA ZANZIBAR WAFURAHIA JENGO JIPYA LA WIZARA YA FEDHA MTUMBA.

Written by Alex Sonna


Afisa Utumishi Mwandamizi wa Wizara ya Fedha, Bw. Salum Said, (Kulia), akitoa maelezo kwa watumishi wa Wizara ya Fedha na Mipango-Zanzibar, kuhusu mifumo ya usalama na utambuzi iliyopo katika Jengo jipya la Wizara ya Fedha lililopo katika Mji wa Serikali-Mtumba, jijini Dodoma, wakati maafisa hao walipotembelea Jengo hilo. Maafisa hao wapo jijini Dodoma kwa ajili ya mafunzo maalum ya kujifunza namna Kitengo cha Mawasiliano Serikalini cha Wizara ya Fedha, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kinavyotekeleza majukumu yake ya kuhabarisha umma kuhusu shughuli za Serikali.

Afisa Utumishi Mwandamizi wa Wizara ya Fedha, Bw. Salum Said (Kulia), akitoa maelezo kwa watumishi wa Wizara ya Fedha na Mipango-Zanzibar, waliotembelea Jengo jipya la Ofisi za Wizara ya Fedha, lililopo katika Mji wa Serikali-Mtumba, jijini Dodoma, kuhusu masuala mbalimbali yaliyopo katika Jengo hilo. Maafisa hao wapo jijini Dodoma, kwa ajili ya mafunzo maalum ya kujifunza namna Kitengo cha Mawasiliano Serikalini cha Wizara ya Fedha, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kinavyotekeleza majukumu yake ya kuhabarisha umma kuhusu shughuli za Serikali.

Afisa Habari na Uhusiano, Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar, Bi. Hamida Maalim Suleiman (kushoto), akimsikiliza Afisa Tawala Mwandamizi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu, Wizara ya Fedha, Bw. Salum Issa Said, wakati akitoa maelezo kwa watumishi wa Wizara ya Fedha na Mipango-Zanzibar, waliotembelea Jengo jipya la Ofisi za Wizara ya Fedha lililopo katika Mji wa Serikali-Mtumba, jijini Dodoma.kuhusu masuala mbalimbali yaliyopo katika Jengo hilo. Maafisa hao wapo jijini Dodoma kwa ajili ya mafunzo maalum ya kujifunza namna Kitengo cha Mawasiliano Serikalini cha Wizara ya Fedha cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kinavyotekeleza majukumu yake ya kuhabarisha umma kuhusu shughuli za Serikali.

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano, Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar, Bi. Zuhura Mgeni Mwalim (wapili kulia), Afisa Habari na Uhusiano Msaidizi Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar, Bw. Abubakar Khamis Haji (kulia), Afisa Tehama Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar, Bi. Sahiya Kombo Moh’d (wa pili kushoto), Afisa Habari na Uhusiano wa Wizara hiyo, Bi. Hamida Maalim Suleiman (kushoto) na Afisa Utumishi Mwandamizi wa Wizara ya Fedha, Bw. Salum Said, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutembelea Jengo jipya la Ofisi za Wizara ya Fedha, lililopo katika Mji wa Serikali-Mtumba, jijini Dodoma, ambapo maafisa hao wapo jijini Dodoma kwa ajili ya mafunzo maalum ya kujifunza namna Kitengo cha Mawasiliano Serikalini cha Wizara ya Fedha cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kinavyotekeleza majukumu yake ya kuhabarisha umma kuhusu shughuli za Serikali.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF- Dodoma)

Na. Asia Singano, na Joseph Mahumi, WF – Dodoma

Ugeni kutoka Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano, Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar, umetembelea Jengo jipya la Wizara ya Fedha, lililopo Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma, kwa lengo la kujionea mazingira ya kazi pamoja na kujifunza namna Kitengo cha Mawasiliano Serikalini cha Wizara ya Fedha, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kinavyotekeleza majukumu yake ya mawasiliano ya Serikali na utoaji wa taarifa kwa umma.

Katika ziara hiyo, wageni hao walipata fursa ya kutembelea ofisi mbalimbali ndani ya Jengo hilo na kujionea mifumo ya kisasa inayotumika katika utekelezaji wa shughuli za Wizara, hususan katika maeneo ya Ofisi za Viongozi, Kumbi za Mikutano, Ofisi za Utawala, Ofisi ya Mawasiliano Serikalini pamoja na sehemu ya maegesho ya magari.

Ugeni huo kutoka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Wizara ya Fedha na Mipango, Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano, uliwahusisha Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano, Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar, Bi. Zuhura Mwalim, Afisa Habari na Uhusiano Msaidizi, Bw. Abubakar Haji, Afisa TEHAMA, Bi. Sahiya Kombo, pamoja na Afisa Habari na Uhusiano, Bi. Hamida Suleiman.

Aidha, msafara huo uliongozwa na Afisa Utumishi Mwandamizi wa Wizara ya Fedha, Bw. Salum Said, kwa niaba ya Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Bw. Lucius Mwenda, ambaye alisema kuwa ziara hiyo ni sehemu ya ushirikiano wa Serikali unaolenga kubadilishana uzoefu na kuimarisha utendaji kazi kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar.

Alisema kuwa licha ya wageni hao kuwasili kwa ajili ya mafunzo ya kujifunza namna Kitengo cha Mawasiliano kinavyofanya kazi, Wizara iliona umuhimu wa kuwapa nafasi ya kutembelea Jengo jipya la Wizara ili wajionee mazingira bora ya kazi pamoja na mifumo ya kisasa inayotumika katika utekelezaji wa majukumu ya Serikali.

“Jengo hili limejengwa katika viwango vya kisasa vinavyowezesha mazingira bora ya utendaji kazi, kuongeza morali kwa watumishi pamoja na kuimarisha ufanisi katika utoaji wa huduma kwa wananchi,” alisema Bw. Salum.

Kwa upande wao, wageni kutoka Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar, Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano, walieleza kufurahishwa na mandhari ya Jengo hilo, wakisifu mpangilio wa ofisi, usasa wa mazingira ya kazi pamoja na mifumo mbalimbali inayorahisisha utendaji kazi wa kila siku.

Walisema kuwa mazingira hayo yanawavutia watumishi kupenda kazi, kuongeza ari ya utendaji pamoja na kuchochea uwajibikaji na ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yao.

Katika ziara hiyo, wageni hao waliambatana na Maafisa Habari wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini cha Wizara ya Fedha ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania waliokuwa wakitoa maelezo kuhusu shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na kitengo hicho katika kuhabarisha umma kuhusu shughuli za Wizara.

About the author

Alex Sonna