Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA 13 WA TAPSEA

Written by Alex Sonna
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali inatambua umuhimu mkubwa wa Waandishi Waendesha Ofisi kwa kuwa ni muhimili muhimu katika kuwawezesha Viongozi na watendaji kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

Makamu wa Rais amesema hayo, wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 13 wa Kitaaluma wa Waandishi wa Waendesha Ofisi Tanzania (TAPSEA) unaofanyika katika Ukumbi wa Ngurdoto Mkoani Arusha. Amesema Serikali inaipa uzito Taasisi ya TAPSEA kwa kuwa inatambua ili kuwa na utulivu na mshikamano ni lazima Waandishi Waendesha ofisi kutimiza wajibu ipasavyo.

Amewapongeza Waandishi Waendesha Ofisi kwa kubeba sura za Taasisi wanazofanyia kazi kwa kuwa wakarimu na wenye kutoa msaada wa awali kwa wananchi wanaofika kutafuta huduma. Amewasihi kuendelea kutoa huduma kwa ukamilifu pamoja na kuwa na heshima na ukarimu ili kuwafariji wanaowahudumia.

Aidha Makamu wa Rais, amewasisitiza waandishi waendesha ofisi kuendelea kujitambua na kutunza siri wakati wa utekelezaji wa majukumu yao.

Makamu wa Rais amekipongeza Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania kwa kuimarisha elimu yao mpaka kufikia shahada ya uzamili ambayo imewawezesha Waandishi Waendesha Ofisi kuhama katika mfumo asili wa utekelezaji wa majukumu yao mpaka kufikia kuwa sehemu ya maamuzi ya kisera na upangaji wa mikakati na utekelezaji wake.

Amesisitiza kwamba Vyuo vinavyotoa mafunzo hayo, vinapaswa kuendelea kujiimarisha ili kuwa na Waandishi Waendesha Ofisi wanaoweza kusaidia vema Taifa. Makamu wa Rais ametoa wito kwa Taasisi mbalimbali kuhakikisha wanawawezesha Waandishi Waendesha Ofisi kushiriki mikutano ya kitaaluma.

Halikadhalika, Makamu wa Rais amewapongeza Viongozi wa Taasisi hiyo wanaomaliza muda wao kwa kufanya kazi nzuri iliyowaunganisha na kuwawezesha Waandishi Waendesha Ofisi nchini. Aidha amewataka kufanya uchaguzi wa haki ili kupata Viongozi sahihi wanataoiongoza vema Taasisi hiyo. Amewasihi kufanya uchaguzi kwa kuzingatia uhuru na haki ili kupata viongozi sahihi wa Taasisi hiyo pamoja na kuwataka wanachama kuchagua viongozi makini bila ubaguzi wa aina yeyote.

Kwa upande wake Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete, amesema Serikali kupitia ofisi hiyo, itaendelea kutoa ushirikiano kwa watumishi wote wa Umma ikiwemo uongozi wa TAPSEA ili kufanikisha masuala mbalimbali ya kiutumishi kwa wanachama wake.

Ameongeza kwamba, Ofisi hiyo itaendelea kuwaangalia na kuwalea wanaTAPSEA na kuwataka kuwa na imani na serikali inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa wataendelea kuwaangalia katika hali zote kiwemo maslahi yao, kutoa mafunzo pamoja na kuwahakikisha kuwa salama muda wote.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Waandishi Waendesha Ofisi Tanzania (TAPSEA) Bi. Zuhura Maganga amesema Taasisi hiyo inajivunia mafanikio yaliyopatikana katika kuimarisha taaluma ya uandishi uendesha ofisi ikiwemo kuanzishwa kwa shahada ya utawala inayotolewa na Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania pamoja kuanzishwa kwa shahada ya uzamili ya Sanaa katika mawasiliano na usimamizi wa ofisi.









About the author

Alex Sonna