Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

holiganbet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

perabet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

Featured Kitaifa

WAZIRI JAFO ATOA MAELEKEZO UTEKELEZAJI WA UJENZI WA SKIMU YA UMWANGILIAJIA MVOMERO

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akitoa maelekezo wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa skimu ya umwagiliaji Kijiji cha Lukenge wilayani Mvomero mkoani Morogoro unaotekelezwa na Ofisi ya Makamu wa Rais kupitia Mradi wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia Mifumo Ikolojia Vijijini (EBARR).

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akisikiliza maelezo kuhusu ujenzi wa skimu ya umwagiliaji Kijiji cha Lukenge wilayani Mvomero mkoani Morogoro unaotekelezwa kupitia Mradi wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia Mifumo Ikolojia Vijijini (EBARR).

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akikagua ujenzi wa tangi la majisafi katika Mingo wilayani Mvomero mkoani Morogoro unaotekelezwa na Ofisi ya Makamu wa Rais kupitia Mradi wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia Mifumo Ikolojia Vijijini (EBARR).

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akisaini kitabu alipowasili wilayani Mvomero mkoani Morogoro kwa ajili ya ziara ya kutembelea na kukagua utekelezaji wa Mradi wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia Mifumo Ikolojia Vijijini (EBARR).

Sehemu ya mfereji wa skimu ya umwagiliaji Kijiji cha Lukenge wilayani Mvomero unaojengwa kupitia Mradi wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia Mifumo Ikolojia Vijijini (EBARR) ambao Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo aliukagua na kutoa maelekezo.

…………………………………………

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo ameelekeza Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kuunda timu kukagua kusuasua kwa ujenzi wa skimu ya umwagiliaji katika Kijiji cha Lukenge wilayani Mvomero na kuwasilisha taarifa ndani ya mwezi mmoja.

Amechukua hatua hiyo tarehe 17 Juni, 2022 wakati alipofanya ziara ya kushtukiza kwa ajili ya kutembelea na kukagua Mradi wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia Mifumo Ikolojia Vijijini (EBARR) unaotekelezwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Dk. Jafo alionesha kushangazwa na hali aliyoikuta katika mradi huo unaosimamiwa na wataalamu kutoka Wilaya ya Mvomero wakati Serikali ilishatoa fedha zote ili utekelezaji huo ufanyike kwa wakati kama ilivyopangwa.

“Nimekuja kuangalia value for money, sijaridhika na mradi huu wataalamu wametuingiza chaka hatuwezi kuvumulia wataalamu wachache wanaotuvuruga, kwa hiyo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na ndani yake wakiwemo TAKUKURU wachunguze mradi huu, tunataka kuona mradi huu unakamilika kwa wakati tufanye kazi kwa maslahi ya wananchi,” alisema.

Hata hivyo, kwa upande wake Mratibu wa Mradi wa EBARR wilayani humo, Bw. alisema mradi huo ulianza kujengwa mwaka 2013/14 umekaa kwa zaidi ya tisa bila kuendelezwa hivyo waliwasilisha ombi Ofisi ya Makamu wa Rais ambayo ilikubali kutoa fedha kiasi cha sh. milioni 710.

Alisema baada ya kupata fedha Mkurugenzi wa Wilaya alituma wataalamu wakague eneo hilo walibaini changamoto liko chini mita moja ukilinganisha na usawa wa mashamba usawa 

“Wananchi wana kiu kuona mradi huu ukikamilika kwa wakati ili uwasaidie kupata majawabu ya mustakabali wa maisha yao sasa hapa tunataka mradi huu iwe mvua iwe jua tutaka uanze kufanya kazi,” alisisitiza.

Aliitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji ijipange kununua pampu ya kusukuma maji kwa kuwa wao ndio wasanifu wa mradi huo ili uweze kuanza kufanya kazi kama ilivyotarajiwa.

Katika hatua nyingine Waziri Jafo alitembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa kisima cha maji safi katika Kijiji cha Mingo wilayani humo ambapo alioneshwa kuridhishwa na utekelezaji wake.

Alitoa maelekezo kwa wataalamu kutoka Wakala wa Maji Mijini na Vijijini (RUWASA) kukamilisha mradi huo Juni 28, 2022 kama walivyomuahidi ili uweze kusaidia wananchi katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.

“Nataka nione maji yanatiririka hapa na kwenda kwa wananchi itakapofika asubuhi ya tarehe 29 mwezi Juni, tunataka kuona wananchi wanafaidika na miradi hii ya mabadiliko ya tabianchi inayosimamiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais,” alisema.

Akiishukuru Serikali kwa niaba ya wananchi, Mwenyekiti wa Kijiji cha Mingo, Bw. Rashid Kibukila aliishukuru Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kuwapelekea mradi huo. 

Mbali ya Mvomero, mradi wa EBARR pia unatekelezwa katika halmashauri za wilaya za Mpwapwa (Dodoma), Kishapu (Shinyanga), Simanjiro (Manyara) na Kaskazini ‘A’ (Unguja). 

About the author

Alex Sonna