Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

holiganbet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

perabet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

Featured Kitaifa

SERIKALI YAJA NA MKAKATI MPYA WA KUIMARISHA USIMAMIZI WA TAKA NGUMU NCHINI

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe,akizungumza wakati akifungua mkutano wa mwaka wa tathmini ya utekelezaji wa afua za udhibiti wa taka ngumu na usafi wa miji leo Mei 12,2026 jijini Dodoma,

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule,akizungumza wakati wa mkutano wa mwaka wa tathmini ya utekelezaji wa afua za udhibiti wa taka ngumu na usafi wa miji leo Mei 12,2026 jijini Dodoma,

Mkurugenzi Msaidizi wa Mabadiliko ya Tabianchi na Tathmini kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Dk Kanizio Manyika,akizungumza wakati wa mkutano wa mwaka wa tathmini ya utekelezaji wa afua za udhibiti wa taka ngumu na usafi wa miji leo Mei 12,2026 jijini Dodoma,

 

Sehemu ya washiriki wakimsikiliza  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe (hayupo pichani) wakati akifungua mkutano wa mwaka wa tathmini ya utekelezaji wa afua za udhibiti wa taka ngumu na usafi wa miji leo Mei 12,2026 jijini Dodoma,

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA

SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI imeendelea kuonesha dhamira ya dhati ya kuimarisha usimamizi wa taka ngumu na usafi wa mazingira nchini, huku ikizitaka halmashauri zote kurejesha asilimia 10 ya mapato yatokanayo na shughuli za udhibiti wa taka kwa ajili ya kuimarisha huduma za usafi wa mazingira.

Akifungua mkutano wa mwaka wa tathmini ya utekelezaji wa afua za udhibiti wa taka ngumu na usafi wa miji jijini Dodoma, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, amesema Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipanga kuhakikisha miji na maeneo ya makazi yanakuwa safi, salama na yenye mazingira bora kwa wananchi.

Prof. Shemdoe amesema  kuongezeka kwa ufanisi katika ukusanyaji na usimamizi wa taka kutasaidia vitengo vya usafi wa mazingira kupata fedha zaidi za kuendesha shughuli zao kwa ufanisi.

“Kadri mtakavyoongeza ufanisi katika udhibiti wa taka, ndivyo vitengo vyenu vitakavyopata fedha zaidi kwa ajili ya kutekeleza kazi hii muhimu,” amesema Prof. Shemdoe

Aidha, amesema  serikali inaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo, ikiwemo Japan, kutafuta teknolojia za kisasa za uteketezaji na urejelezaji wa taka ngumu ili kupata suluhisho la kudumu la changamoto hiyo.

Amebainisha kuwa tayari maandalizi ya majaribio ya matumizi ya teknolojia hizo yanafanyika katika baadhi ya miji nchini, hatua inayotarajiwa kuleta mapinduzi katika sekta ya usimamizi wa taka.

Katika hatua nyingine, Prof.Shemdoe amezielekeza halmashauri zote nchini kuanzisha maeneo rasmi ya kutupia taka ili kudhibiti uchafuzi wa mazingira na kupunguza hatari ya milipuko ya magonjwa.

“Bado baadhi ya halmashauri hazina maeneo rasmi ya kutupia taka, hali inayodhoofisha juhudi za usafi na uhifadhi wa mazingira,” amesema

Pia amewahamasisha vijana na wanawake kutumia mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri kuanzisha shughuli za ukusanyaji, uchakataji na urejelezaji wa taka, akisema taka zinaweza kuwa chanzo kikubwa cha ajira na mapato.

“Taka kama chupa za plastiki zinaweza kuuzwa kwa kampuni za urejelezaji na kusaidia wananchi kujiongezea kipato huku wakichangia usafi wa mazingira,” amesema

Prof. Shemdoe alieleza kuwa kuimarika kwa usafi wa mazingira tayari kumechangia kupungua kwa magonjwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu katika baadhi ya maeneo nchini.

“Tunapoongeza usafi tunapunguza matumizi makubwa ya fedha za matibabu na fedha hizo zinaweza kuelekezwa kwenye miradi mingine ya maendeleo,” amesisitiza.

Aidha, ametaka suala la usafi wa mazingira kuwa ajenda ya kudumu katika vikao vya maamuzi kuanzia ngazi ya mkoa hadi vijiji na mitaa.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amesema mkoa huo umeongeza bajeti ya usafi wa mazingira kutoka Sh milioni 750 hadi Sh bilioni 3 kwa mwaka wa fedha 2026/27.

Amesema fedha hizo zitatumika kununua vifaa vya usafi, kuimarisha ukusanyaji wa taka pamoja na kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa utunzaji wa mazingira.

Naye Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia afya katika Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI, Profesa Tumaini Nagu, amesema serikali itaendelea kuviimarisha vitengo vya usafi wa mazingira ili kuongeza ufanisi wa huduma hizo katika miji mbalimbali nchini.

Mkurugenzi Msaidizi wa Mabadiliko ya Tabianchi na Tathmini kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Dk Kanizio Manyika, amesema  Tanzania huzalisha zaidi ya tani milioni 17 za taka ngumu kila mwaka, huku asilimia 60 hadi 75 ya taka hizo zikibaki kwenye mazingira kutokana na kutokusanywa ipasavyo.

Naye Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya, Joseph Birango, amesema  takwimu zinaonesha magonjwa sita kati ya 10 yanayoikumba jamii yanachangiwa na uchafuzi wa mazingira na ukosefu wa mifumo bora ya usimamizi wa taka.

“Hivyo kuna haja ya kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu usafi wa mazingira ili kupunguza magonjwa ya mlipuko pamoja na gharama za matibabu,” amesema

Awali, Mwenyekiti wa Wakuu wa Vitengo vya Udhibiti wa Taka na Usafi wa Mazingira Tanzania Bara, William Mpangala kutoka Wilaya ya Bahi, anmeiomba serikali kutoa maelekezo madhubuti yatakayohakikisha asilimia 10 ya mapato yatokanayo na udhibiti wa taka yanarejeshwa kwenye shughuli za usafi wa mazingira.

About the author

Alex Sonna