Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amewasili bungeni jijini Dodoma ambapo leo, Mei 7, 2026, anatarajiwa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amewasili bungeni jijini Dodoma ambapo leo, Mei 7, 2026, anatarajiwa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027