marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

Featured Kitaifa

DKT.NCHIMBI ATOA WITO WA MAGEUZI KATIKA UANDAAJI WA RATIBA ZA ELIMU

Written by Alex Sonna

 Mwenyekiti Mtendaji wa Jukwaa la Waratibu wa Ratiba za Elimu na Mafunzo Tanzania, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dkt. Alfred John Nchimbi,akizungumza wakati akifungua mafunzo maalum kwa waandaji wa ratiba kutoka taasisi mbalimbali za elimu yaliyofanyika jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakifuatilia hotuba ya Mwenyekiti Mtendaji wa Jukwaa la Waratibu wa Ratiba za Elimu na Mafunzo Tanzania, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dkt. Alfred John Nchimbi (hayupo pichani) wakati akifunga   mafunzo maalum kwa waandaji wa ratiba kutoka taasisi mbalimbali za elimu yaliyofanyika jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakifuatilia hotuba ya Mwenyekiti Mtendaji wa Jukwaa la Waratibu wa Ratiba za Elimu na Mafunzo Tanzania, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dkt. Alfred John Nchimbi (hayupo pichani) wakati akifunga   mafunzo maalum kwa waandaji wa ratiba kutoka taasisi mbalimbali za elimu yaliyofanyika jijini Dodoma.

 Mwenyekiti Mtendaji wa Jukwaa la Waratibu wa Ratiba za Elimu na Mafunzo Tanzania, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dkt. Alfred John Nchimbi,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufunga  mafunzo maalum kwa waandaji wa ratiba kutoka taasisi mbalimbali za elimu yaliyofanyika jijini Dodoma.

 Mwenyekiti Mtendaji wa Jukwaa la Waratibu wa Ratiba za Elimu na Mafunzo Tanzania, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dkt. Alfred John Nchimbi,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufunga  mafunzo maalum kwa waandaji wa ratiba kutoka taasisi mbalimbali za elimu yaliyofanyika jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA

Waandaji wa ratiba za masomo nchini wamehimiza umuhimu wa kuandaa na kuzingatia ratiba zenye uwiano sahihi kati ya masomo ya nadharia na vitendo, wakisema hatua hiyo ni muhimu katika kuzalisha wataalamu wenye ujuzi stahiki, wenye tija kazini na wanaochangia maendeleo ya Taifa.

Wito huo umetolewa na Mwenyekiti Mtendaji wa Jukwaa la Waratibu wa Ratiba za Elimu na Mafunzo Tanzania, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dkt. Alfred John Nchimbi,wakati akifungua mafunzo maalum kwa waandaji wa ratiba kutoka taasisi mbalimbali za elimu yaliyofanyika jijini Dodoma.

Dkt. Nchimbi amesema kuwa  ratiba ya masomo siyo tu mpangilio wa vipindi darasani, bali ni nyenzo muhimu inayochangia moja kwa moja ubora wa elimu na uwezo wa wahitimu kuhimili ushindani katika soko la ajira

“Ili kupata matokeo chanya, ni lazima ratiba zizingatie kwa uzito sawa masomo ya kinadharia na mafunzo ya vitendo, ambayo ndiyo yanawajengea wanafunzi ujuzi halisi unaohitajika kazini.”amesema Dkt.Nchimbi

Aidha, ameeleza kuwa ratiba bora zinapaswa pia kuzingatia shughuli nyingine muhimu zinazochangia malezi na makuzi ya mwanafunzi, ikiwemo michezo, ubunifu na maendeleo ya vipaji, ili kuandaa wahitimu waliokamilika katika nyanja zote.

“Hatupaswi kuangalia masomo pekee, bali pia tunapaswa kuandaa mazingira yanayomjenga mwanafunzi kitaaluma, kijamii na kimaadili,” amesisitiza.

Aidha amesema hivi sasa kuwekuwepo na kilio kikubwa kutoka kwa ajiri kuwa wahitimu wanaomba ajira katika taasisi zao wengi wao hawana ujuzi hivyo kushindwa kukidhi mahitaji yao.

“Kumekuwapo na kilio kutoka kwa ajiri wengi kuwa vyuo vyetu vinatoa wahitimu wasiokuwa na ujuzi lakini hii inaanzia kwenye sula la uandaji wa ratiba za masomo ambao hauzingatii wanafunzi kujifunza kwa vitendo.

“Hivyo basi kama tunatakaa kutoka hapa tulipo, lazima kuanza kuweka mkazo kwenye uandaaji wa ratiba za masomo ambazo zinazaingatia kujifunza kwa nadharia na vitendo ili kupata mahitimu watakao kidhi mahitaji ya soko la ajira na kuondoa malalamiko yaliyopo hivi sasa,”amesema

Amesema, ratiba ni nyenzo muhimu katika kuboresha ufundishaji kwakuwa inaweza kuwa msaada katika kudhibiti matumizki ya fedha na rasimali watu zilizopo.

“Kama unakuwa na ratiba nzuri unaweza kudhibiti matumizi ya fedha na rasamalli watu iliyopo ikatumika kikamilifu kuhudumia idadi kubwa ya watu,”amesema

Amesema  kuwa yapo maeneo ambayo yamekuwa na malalamiko ya vipindi kugongana ama wanafunzi kukosa muda wa kushiriki mambo mengine kutokana na upangaji mbovu wa ratiba.

Kuhusu mafunzo hayo amesema kuwa lengo ni kuwajengea uwezo waandaji wa ratiba katika taasisi elimu nchini ili kuboresha utendaji kazi wao na kusaidia kupata mahitimu wenye ujuzi.

“Mafunzo haya tulianza kwa mara ya kwanza mwaka 2022, ambapo tuliona ipo haja kuwa na mafunzo kama ilivyo kwa tasnia nyingine, kwani kazi yetu inachangamoto nyingi sana hivyo ni vizuri tukutane na kuongezeana maalifa ili kuboresha upangaji wa ratiba katika taasisi zetu za elimu,”amesema

Kwa upande wake  Mratibu wa mafunzo hayo Vicktoria Kessy, amesema kuwa moja ya lengo la mafunzo hayo ni kusaidia kupunguza malalamiko ya wajiri kupata wahitimu wasiokuwa na ujuzi.

“Tunawafundisha wataalam hawa wa uandaaji wa ratiba za masomo katika taasisi za elimu nchini ili kuboresha upangaji wa ratiba unaozingatia uwepo wa mafunzo ya nadharia na vitendo ili kutoa wahitimu wenye ujuzi tofauti na ilivyo sasa,”amesema

Naye Katibu wa Jukwaa hilo, Deusdedith Youze, amesema kuwa hivi sasa serikali imefanya marekebisho ya mitaala ya elimu ili kuwezesha wanafunzi kupata mafunzo ya amali hivyo suala la ratiba inayozingatia mafunzo kwa vitendo ni muhimu.

“Tunashukuru tumepata washiriki kutoka katika vyuo Zaidi ya 15 ambao wanahusika katika uandaaji wa ratiba za masomo lengo ni kuwaongezea mbinu ambazo zitawasaidia kuaandaa ratiba ikiwamo matumizi ya teknolojia za kisasa,”amesema

Mwenyekiti Mtendaji wa Jukwaa la Waratibu wa Ratiba za Elimu na Mafunzo Tanzania, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dkt. Alfred John Nchimbi,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufunga  mafunzo maalum kwa waandaji wa ratiba kutoka taasisi mbalimbali za elimu yaliyofanyika jijini Dodoma.

Mratibu wa mafunzo Bi.Vicktoria Kessy,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungwa kwa  mafunzo maalum kwa waandaji wa ratiba kutoka taasisi mbalimbali za elimu yaliyofanyika jijini Dodoma.

About the author

Alex Sonna