Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

https://guinguinbali.com/

boostaro review

NervEase

matbet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

maritbet giriş

hiltonbet

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Betoffice

marsbahis

mislibet

imajbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

betoffice

coinbar

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

matbet, matbet giriş

perabet, perabet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

holiganbet

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

piabellacasino

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

meritking

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

truvabet, truvabet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

meritking giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

hititbet giriş

hititbet

hititbet

hititbet giriş

norabahis

pusulabet

grandpashabet giriş

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

royalbet giriş

hititbet

hititbet giriş

hititbet giriş

hititbet

betpark giriş

betixir

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

Meritking

deneme bonusu

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

goldenbahis

artemisbet

imajbet

artemisbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

madridbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

piabellacasino giriş

holiganbet

celtabet

holiganbet

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

bonus veren casino siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet

casibom giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

betcio, betcio giriş

pokerklas, pokerklas giriş

betsat

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

piabellacasino

betturkey

sweet bonanza

bets10 güncel giriş adresi

madridbet

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

interbahis

winxbet, winxbet giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

holiganbet giriş

casibom giriş

holiganbet

holiganbet giriş

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

pusulabet

vdcasino

marsbahis

matbet

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

marsbahis

grandpashabet

holiganbet

jojobet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

perabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

safirbet

pokerklas

pokerklas

betkare

imajbet

betpark

betpark

bets10

Featured Uncategorized

RC MHITA ATAJA MAFANIKIO YA MKOA WA SHINYANGA MIAKA MINNE YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

Written by Alex Sonna

 

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe.Mboni Mhita,akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 14,2025 jijini Dodoma kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

SEHEMU ya Waandishi wa habari wakifatilia hotuba ya Mkuu  wa Mkoa wa Shinyanga Mhe.Mboni Mhita,(hayupo pichani) wakati akizungumza  kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

SEHEMU ya Waandishi wa habari wakifatilia hotuba ya Mkuu  wa Mkoa wa Shinyanga Mhe.Mboni Mhita,(hayupo pichani) wakati akizungumza  kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

SEHEMU ya Waandishi wa habari wakifatilia hotuba ya Mkuu  wa Mkoa wa Shinyanga Mhe.Mboni Mhita,(hayupo pichani) wakati akizungumza  kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe.Mboni Mhita,akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 14,2025 jijini Dodoma kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

Na Alex Sonna-DODOMA 
MKOA  wa Shinyanga unaendelea kuchanja mbuga katika kukuza uchumi wa viwanda na biashara, kwa kuimarisha mazingira rafiki ya uwekezaji, ukusanyaji wa mapato, utoaji wa leseni, upimaji wa maeneo ya biashara na utekelezaji wa miradi ya kimkakati yenye kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.
Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa huo Mboni Mohamed Mhita, katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita, Mkoa wa Shinyanga umefanikiwa kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 150.26 kutoka kwenye vyanzo vya mapato ya ndani ya Halmashauri, vikiwemo ushuru wa bidhaa, mazao, leseni za biashara, na mirabaha ya madini.
Mboni ameeleza hayo leo July 14,2025 Jijini hapa wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa hali hiyo imefanya kuwekeza kwa nguvu kwenye miundombinu ya biashara na viwanda ili kuunga mkono dhamira ya Rais Dkt. Samia ya kuijenga Tanzania ya viwanda. 
Aidha amesema katika kipindi hicho Mkoa umetekeleza miradi ya thamani ya bilioni 65.5 kutoka mapato ya ndani kwa ajili ya kuboresha huduma muhimu kama masoko, ofisi, barabara za ndani na maeneo ya uwekezaji.
Kwa upande wa sekta ya viwanda na biashara Mhita amesema Mkoa umepima viwanja 10,658 vya biashara, viwanda na huduma mbalimbali, sawa na asilimia 157 ya lengo,Hati miliki za ardhi zimetolewa kwa zaidi ya wafanyabiashara 20,000 kutoka 10,568 mwaka 2020 huku Hati za kimila zikiongezeka kutoka 816 hadi 4,930 mwaka 2025, hatua inayowezesha wananchi kupata mikopo na mitaji kupitia ardhi.
Amesema leseni za wachimbaji wadogo zimeongezeka kutoka 332 hadi 1,766, ikionyesha uhai wa biashara ya madini ambapo Mapato ya halmashauri kutoka sekta ya madini yamepanda kutoka milioni 745 hadi zaidi ya bilioni 3.3.
“Kwa mara ya kwanza, Mkoa wa Shinyanga ulishiriki Maonesho ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) mwaka 2025, hatua iliyopelekea kutangaza bidhaa, wajasiriamali na fursa zilizopo kwa wawekezaji mbalimbali, 
Hii ilikuwa fursa muhimu ya kuitangaza Shinyanga kama kitovu cha biashara na uzalishaji Kanda ya Ziwa,” amesema Mhita.
Kuhusu miundombinu ya biashara na viwanda ameeleza kuwa Mradi wa TACTIC umetekelezwa kwa thamani ya zaidi ya bilioni 72.6, ukihusisha ujenzi wa masoko ya kisasa – Soko la Sango (Kahama), Soko la Matunda (Kambarage, Shinyanga),Ujenzi wa stendi kuu mpya – Mbulu na Kizumbi na Barabara za viwandani (Zongomela) na mifereji ya mvua. 
Licha ya hayo amezungumzia uboreshaji wa maeneo ya viwanda na huduma katika Manispaa ya Kahama na Shinyanga kuwa katika nishati na uwezeshaji biashara Vijiji vyote 506 sasa vimeunganishwa na umeme; vitongoji 982 kati ya 2,704 tayari vina huduma ya umeme. 
Amesema TANESCO imewekeza bilioni 492 kutekeleza miradi ya umeme na miradi 133 ya usambazaji Mitungi ya gesi 6,500 imetolewa ili kuendeleza matumizi ya nishati safi kwa ajili ya biashara ndogo, hasa upishi. 
Pia amesema Uwezeshaji wananchi kiuchumi umeimarika ambapo vikundi 1,124 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu vimepatiwa mikopo ya jumla ya bilioni 8.56 huku Kaya 35,055 zikinufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini, ambapo zaidi ya bilioni 59.57 zilitolewa kuendeleza miradi ya kilimo na biashara ndogo. 
“Mkoa umesajili wajasiriamali 225 waliopatiwa vitambulisho, wakipata sifa ya kupewa mikopo nafuu kupitia benki ya NMB kwa riba ya asilimia 7 tu, ” amefafanua
Kwa mujibu wa  Mhita, Mkoa unajipanga kuimarisha zaidi viwanda vidogo na vya kati, kwa kushirikiana na SIDO, VETA na sekta binafsi, huku akiwasihi wawekezaji kuchangamkia fursa zilizopo kwa sasa.
“Shinyanga ni hazina ya biashara, rasilimali na nguvu kazi. Huu ndio muda wa kuwekeza kabla fursa hazijachukuliwa na wengine,” alisisitiza kwa msisitizo.

About the author

Alex Sonna