Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

holiganbet

grandpashabet

vdcasino

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

lordcasino

marsbahis

luxbet

gobahis

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

millibahis

realbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

norabahis

luxbet

betnis

betnis

parmabet

holiganbet

Hacklink panel

betsmove

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

rekorbet giriş

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

netbahis

meybet giriş

netbahis

betra

primebahis

tümbet

tümbet giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

betpark

casibom giriş

holiganbet

bets10

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

Gameofbet

jojobet

netbahis giriş

prensbet

lordcasino giriş

ganobet

gobahis giriş

orisbet giriş

kareasbet

orisbet

millibahis

betnis giriş

orisbet giriş

parmabet giriş

kareasbet

maritbet

kareasbet giriş

gobahis giriş

prensbet giriş

aresbet giriş

vaycasino

prensbet

orisbet

luxbet giriş

meybet

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

norabahis giriş

ganobet

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

rekorbet

meritking giriş

meritking

perabet, perabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

türk porno

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

cratosroyalbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

Grandpashabet

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat güncel

jojobet

matbet

casibom

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

ibizabet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

mislibet giriş

betnis

norabahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet

cratosroyalbet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

porno izle

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

casibom

jojobet

monobahis

deneme bonusu

deneme bonusu

casinomaxi

bets10

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

grandpashabet

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

tümbet

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

test

jojobet

jojobet

milanobet

milanobet

pokerklas

pokerklas

Featured Uncategorized

RC MHITA ATAJA MAFANIKIO YA MKOA WA SHINYANGA MIAKA MINNE YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

Written by Alex Sonna

 

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe.Mboni Mhita,akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 14,2025 jijini Dodoma kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

SEHEMU ya Waandishi wa habari wakifatilia hotuba ya Mkuu  wa Mkoa wa Shinyanga Mhe.Mboni Mhita,(hayupo pichani) wakati akizungumza  kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

SEHEMU ya Waandishi wa habari wakifatilia hotuba ya Mkuu  wa Mkoa wa Shinyanga Mhe.Mboni Mhita,(hayupo pichani) wakati akizungumza  kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

SEHEMU ya Waandishi wa habari wakifatilia hotuba ya Mkuu  wa Mkoa wa Shinyanga Mhe.Mboni Mhita,(hayupo pichani) wakati akizungumza  kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe.Mboni Mhita,akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 14,2025 jijini Dodoma kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

Na Alex Sonna-DODOMA 
MKOA  wa Shinyanga unaendelea kuchanja mbuga katika kukuza uchumi wa viwanda na biashara, kwa kuimarisha mazingira rafiki ya uwekezaji, ukusanyaji wa mapato, utoaji wa leseni, upimaji wa maeneo ya biashara na utekelezaji wa miradi ya kimkakati yenye kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.
Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa huo Mboni Mohamed Mhita, katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita, Mkoa wa Shinyanga umefanikiwa kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 150.26 kutoka kwenye vyanzo vya mapato ya ndani ya Halmashauri, vikiwemo ushuru wa bidhaa, mazao, leseni za biashara, na mirabaha ya madini.
Mboni ameeleza hayo leo July 14,2025 Jijini hapa wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa hali hiyo imefanya kuwekeza kwa nguvu kwenye miundombinu ya biashara na viwanda ili kuunga mkono dhamira ya Rais Dkt. Samia ya kuijenga Tanzania ya viwanda. 
Aidha amesema katika kipindi hicho Mkoa umetekeleza miradi ya thamani ya bilioni 65.5 kutoka mapato ya ndani kwa ajili ya kuboresha huduma muhimu kama masoko, ofisi, barabara za ndani na maeneo ya uwekezaji.
Kwa upande wa sekta ya viwanda na biashara Mhita amesema Mkoa umepima viwanja 10,658 vya biashara, viwanda na huduma mbalimbali, sawa na asilimia 157 ya lengo,Hati miliki za ardhi zimetolewa kwa zaidi ya wafanyabiashara 20,000 kutoka 10,568 mwaka 2020 huku Hati za kimila zikiongezeka kutoka 816 hadi 4,930 mwaka 2025, hatua inayowezesha wananchi kupata mikopo na mitaji kupitia ardhi.
Amesema leseni za wachimbaji wadogo zimeongezeka kutoka 332 hadi 1,766, ikionyesha uhai wa biashara ya madini ambapo Mapato ya halmashauri kutoka sekta ya madini yamepanda kutoka milioni 745 hadi zaidi ya bilioni 3.3.
“Kwa mara ya kwanza, Mkoa wa Shinyanga ulishiriki Maonesho ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) mwaka 2025, hatua iliyopelekea kutangaza bidhaa, wajasiriamali na fursa zilizopo kwa wawekezaji mbalimbali, 
Hii ilikuwa fursa muhimu ya kuitangaza Shinyanga kama kitovu cha biashara na uzalishaji Kanda ya Ziwa,” amesema Mhita.
Kuhusu miundombinu ya biashara na viwanda ameeleza kuwa Mradi wa TACTIC umetekelezwa kwa thamani ya zaidi ya bilioni 72.6, ukihusisha ujenzi wa masoko ya kisasa – Soko la Sango (Kahama), Soko la Matunda (Kambarage, Shinyanga),Ujenzi wa stendi kuu mpya – Mbulu na Kizumbi na Barabara za viwandani (Zongomela) na mifereji ya mvua. 
Licha ya hayo amezungumzia uboreshaji wa maeneo ya viwanda na huduma katika Manispaa ya Kahama na Shinyanga kuwa katika nishati na uwezeshaji biashara Vijiji vyote 506 sasa vimeunganishwa na umeme; vitongoji 982 kati ya 2,704 tayari vina huduma ya umeme. 
Amesema TANESCO imewekeza bilioni 492 kutekeleza miradi ya umeme na miradi 133 ya usambazaji Mitungi ya gesi 6,500 imetolewa ili kuendeleza matumizi ya nishati safi kwa ajili ya biashara ndogo, hasa upishi. 
Pia amesema Uwezeshaji wananchi kiuchumi umeimarika ambapo vikundi 1,124 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu vimepatiwa mikopo ya jumla ya bilioni 8.56 huku Kaya 35,055 zikinufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini, ambapo zaidi ya bilioni 59.57 zilitolewa kuendeleza miradi ya kilimo na biashara ndogo. 
“Mkoa umesajili wajasiriamali 225 waliopatiwa vitambulisho, wakipata sifa ya kupewa mikopo nafuu kupitia benki ya NMB kwa riba ya asilimia 7 tu, ” amefafanua
Kwa mujibu wa  Mhita, Mkoa unajipanga kuimarisha zaidi viwanda vidogo na vya kati, kwa kushirikiana na SIDO, VETA na sekta binafsi, huku akiwasihi wawekezaji kuchangamkia fursa zilizopo kwa sasa.
“Shinyanga ni hazina ya biashara, rasilimali na nguvu kazi. Huu ndio muda wa kuwekeza kabla fursa hazijachukuliwa na wengine,” alisisitiza kwa msisitizo.

About the author

Alex Sonna