Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

holiganbet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

TBS YAVUTIA MAELFU WIKI YA UTUMISHI WA UMMA, HUDUMA ZA KIDIJITALI ZAPONGEZWA

Written by Alex Sonna

 

Meneja wa Shirika  la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Kati, Hamisi Sudi Mwanasala,akizungumza na waandishi wa habari katika banda la TBS wakati wa  Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwenye Viwanja vya Chinangali  jijini Dodoma,

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-Dodoma

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kuonesha ubora wa huduma zake kwa wananchi kupitia ushiriki wake katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea jijini Dodoma, huku mamia ya wananchi na wafanyabiashara wakifurika katika banda la taasisi hiyo kupata elimu na huduma mbalimbali zinazotolewa kwa njia ya kisasa.

Hayo yamesemwa leo Juni 23,2026 na Meneja wa TBS Kanda ya Kati, Hamisi Sudi Mwanasala, amesema mwitikio wa wananchi katika maonesho hayo umekuwa mkubwa kutokana na hamu ya kupata ufafanuzi wa masuala mbalimbali yanayohusu viwango, ubora wa bidhaa na taratibu za usajili.

Amesema TBS imetumia maonesho hayo kama jukwaa la kuwasogezea wananchi huduma muhimu zikiwemo utoaji wa vibali, usajili wa bidhaa na majengo ya biashara ya chakula na vipodozi pamoja na kupokea maombi ya leseni ya kutumia Nembo ya Ubora ya TBS.

“Tumeshuhudia mwamko mkubwa wa wananchi. Wengi wamekuja na maswali mbalimbali kuhusu huduma zetu na wamepata majibu ya kina. Kiu yao ya kupata taarifa sahihi imeweza kutimizwa kupitia wataalamu waliopo katika banda letu,” amesema Mwanasala.

Amefafanua kuwa pamoja na kutoa huduma, TBS imeendelea kutoa elimu kwa wazalishaji, wafanyabiashara na waingizaji wa bidhaa kuhusu taratibu zinazopaswa kufuatwa ili kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa, kuingizwa au kuuzwa zinakidhi viwango vinavyotakiwa ndani na nje ya nchi.

Kwa mujibu wa Mwanasala, maonesho ya mwaka huu yamekuwa na umuhimu wa kipekee kwa TBS kwani yanafanyika wakati Shirika hilo likiadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa kwake, safari ambayo imeambatana na mafanikio makubwa katika kuimarisha ubora wa bidhaa na huduma nchini.

Amesema maadhimisho hayo yamekuwa fursa ya kukutana na wadau mbalimbali wakiwemo wafanyabiashara, wajasiriamali, taasisi za umma na wananchi wa kawaida ambao wametoa maoni na mapendekezo yatakayosaidia kuboresha zaidi huduma za Shirika hilo.

Katika hatua nyingine, Mwanasala amesema TBS imepiga hatua kubwa katika matumizi ya teknolojia ya kidijitali kwa kuweka mifumo inayorahisisha upatikanaji wa huduma bila wananchi kusafiri umbali mrefu kufika kwenye ofisi za Shirika hilo.

Ametaja mifumo hiyo kuwa ni Online Application System (OAS) pamoja na Integrated Standardization, Quality Assurance, Metrology and Testing System (ISQMT), ambayo inamwezesha mteja kufanya maombi ya usajili wa bidhaa, usajili wa maeneo ya biashara ya vipodozi na chakula na kupata leseni ya kutumia Nembo ya Ubora kwa njia ya mtandao.

“Leo hii mteja anaweza kuwasilisha maombi yake akiwa mahali popote alipo na kufuatilia hatua zote za maombi yake kidijitali hadi anapopata huduma anayohitaji. Hii imepunguza gharama, muda na usumbufu kwa wananchi,” amesema 

Aidha, amebainisha kuwa jitihada za TBS katika kuboresha utendaji na utoaji wa huduma zimeendelea kutambuliwa kitaifa, baada ya Shirika hilo kushika nafasi ya tatu kati ya taasisi 47 za umma zilizoshindanishwa katika eneo la utawala bora kwenye utumishi wa umma mwaka huu, taasisi ya kwanza mwaka 2025 katika masuala ya udhibiti nchini na taasisi ya kwanza kwa mwaka 2023 Afrika.

Mwanasala amesema kuwa mafanikio hayo ni ishara ya dhamira ya TBS katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora, huku akisisitiza kuwa Shirika hilo halitaridhika na mafanikio yaliyopatikana bali litaendelea kuboresha mifumo na huduma zake ili kukidhi mahitaji ya wananchi na wadau wa maendeleo.

Amewataka wananchi, wafanyabiashara na wazalishaji ambao hawajafika katika banda la TBS kutumia siku zilizobaki za maonesho hayo kutembelea banda hilo ili kupata elimu, ushauri na huduma mbalimbali zinazohusu ubora na usalama wa bidhaa.

“Tunawakaribisha wananchi wote kufika katika banda la TBS. Tunayo elimu, tunayo huduma na tunayo suluhisho la changamoto mbalimbali zinazohusu viwango. Lengo letu ni kuhakikisha kila Mtanzania anapata bidhaa zenye ubora na salama,” amesema

About the author

Alex Sonna