slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

matbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

goldenbahis

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

parobet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

imajbet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

goldenbahis giriş

madridbet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

tempobet

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

holiganbet

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

goldenbahis

Goldenbahis

tempobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

perabet

Featured Kitaifa

BARRICK YACHANGIA SHILINGI TRILIONI 3.6 PATO LA SERIKALI KWA KIPINDI CHA MIAKA 4

Written by Alex Sonna
Meneja wa Barrick nchini, Dk.Melkiory Ngido akitoa taarifa ya utendaji wa Barrick na Twiga kwenye kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini Dkt. Mathayo David akifuatilia taarifa katika mkutano huo
Wajumbe wa Kamati wakifuatilia taarifa wakati wa mkutano huo.
Wajumbe wa Kamati wakifuatilia taarifa wakati wa mkutano huo.
Afisa Mawasiliano wa Barrick nchini Neema Ndossi katika kikao hicho
**
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick imechangia kiasi cha shilingi trilioni 3.6 katika Mapato ya Serikali nchini Tanzania kupitia kodi, mrabaha, na tozo mbalimbali kwa kipindi cha miaka minne kuanzia mwaka 2020 hadi 2024.
Hayo yameelezwa Jijini Dodoma na Meneja wa Barrick nchini Dkt. Melkiory Ngido, mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wakati akiwasilisha Maendeleo ya Kampuni Tanzu baina ya Barrick Gold na Serikali ya Tanzania ya Twiga Minerals.
Dkt. Ngido ameelezea kuwa, kwa mujibu wa takwimu za miaka minne kuanzia mwaka 2020 hadi 2024, Kampuni Barrick imewekeza zaidi ya dola bilioni 4.24 (Tsh trilioni 11) katika shughuli zake ndani ya nchi, huku dola bilioni 1.5 (Tsh trilioni 3.6) zikilipwa serikalini kupitia kodi, mrabaha, na tozo mbalimbali.
Amesema kuwa, Kampuni ya Barrick ilipochukua usimamizi wa shughuli zake nchini Tanzania mnano mwaka 2019, kampuni hiyo imeendelea kuwa mdau mkubwa wa uchumi kupitia uwekezaji, ajira, na miradi ya kijamii.
Kwa upande wa mchango wa kiuchumi Dkt. Ngido ameelezea kuwa kiasi cha Dola za Marekani milioni 158 (shilingi bilioni 412.4) sawa na asilimia 4 zimelipwa kama gawio la Serikali kutoka na ubia huo.
Sambamba na hilo, amesema kiasi cha Dola bilioni 2.3 (shilingi trilioni 6.04) sawa na asilimia 55 ya matumizi yote yameelekezwa kwa wasambazaji wa ndani, huku asilimia 32 ya uwekezaji huo kiasi cha dola bilioni 1.37 (shilingi 3.57) kimelipwa kama kodi, mrabaha, na tozo mbalimbali kwa serikali.
Ameongeza kuwa, kiasi cha dola 397 milioni (shilingi trilioni 1,03) sawa na asilimia 9 zimetumika kulipa mishahara ya wafanyakazi huku dola milioni 30 (shilingi bilioni 78.3) zikitumika kwenye utafiti wa madini katika maeneo hayo na kiasi cha dola milioni 15.6 sawa na shilingi bilioni 40.7 zimeelekezwa kwenye miradi ya kijamii.
Kuhusu ajira alisema Dkt. Ngido amesisitiza kuwa, Barrick imejizatiti katika kutoa ajira kwa Watanzania, ambapo asilimia 96 ya wafanyakazi wake ni raia wa Tanzania, ambapo hivi sasa, Kampuni ina wafanyakazi 6,185, kati yao 5,933 ni Watanzania, huku wageni wakibaki asilimia 4 pekee na kwamba asilimia 53 ya wafanyakazi hao wametoka kwenye jamii zinazozunguka migodi.
Ameongeza kuwa, asilimia 100 ya nafasi za juu za usimamizi zinashikiliwa na Watanzania huku uwakilishi wa wanawake wanawakilisha ukiwa ni asilimia 13 ya wafanyakazi wote na kwamba Barrick inazidi kuimarisha mchango wake kwa Tanzania, kwa kuwekeza zaidi katika sekta ya madini, kuinua wajasiriamali wa ndani, na kuboresha maisha ya jamii zinazozunguka migodi yake.
Ikumbukwe kuwa, Ripoti ya 14 ya Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali Madini, Mafuta na Gesi Asilia (TEITI) iliyochapishwa mwezi Juni 2024 ilithibitisha kuwa Kampuni ya Barrick Tanzania ilichangia asilimia 51 ya Mapato ya Serikali yote yaliyotokana na tasnia ya uziduaji, ikiwa ni mchangiaji mkubwa kama taasisi moja katika uchumi.
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini Dkt. Mathayo David, ameipongeza Kampuni hiyo kwa juhudi hizo huku akitoa wito kwa watendaji na wafanyakazi wa Kitanzania walioajiriwa katika Kampuni hiyo kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa ili kulinda imani ya Kampuni pamoja na sifa ya taifa.
Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Madini, Kamishna Msaidizi Uendelezaji wa Madini na Migodi kutoka Wizara ya Madini Mhandisi Ally Samaje, amesema kuwa Serikali inajivunia kwa mafanikio makubwa ya Kampuni Tanzu baina ya Barrick na Serikali ya Twiga Minerals na kwamba mazungumzo ya kuanzisha Kampuni zingine za ubia kati ya Serikali na wawekezaji wengine yako katika hatua nzuri.

About the author

Alex Sonna