Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

rekabet

matbet

maxwin, maxwin giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

betper

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

Grandpashabet

jojobet

holiganbet

holiganbet

bets10 sorunsuz giriş

meritking

jojobet

jojobet

atlasbet giriş

lunabet

artemisbet giriş

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

holiganbet

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

holiganbet giriş

holiganbet

mavibet giriş

artemisbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

betpark

dinamobet giriş

casibom

casibom

betkolik

goldenbahis

casibom

goldenbahis

casibom

kalebet

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

luxbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

perabet

betface

betface

piabellacasino

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

pokerklas

betpark

betsat

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

LONGIDO WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA ELIMU YA FEDHA KUKUZA UCHUMI

Written by Alex Sonna

 

Mkuu wa Wilaya ya Longido Mhe. Salum Kalli, akifungua mafunzo ya elimu ya fedha kwa wananchi, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha iliyoambatana na Maafisa kutoka taasisi na wadau mbalimbali, ilipowasili kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini, katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha. 

Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, akifafanua kuhusu umuhimu wa kutumia taasisi za fedha zilizosajiliwa na Benki Kuu ya Tanzania, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha iliyoambatana na Maafisa kutoka taasisi na wadau mbalimbali, ilipowasili kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini, katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha. 

Afisa Sheria Mwandamizi kutoka Kurugenzi ya Ustawi na Huduma Jumuishi za Fedha wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), akifafanua kuhusu umuhimu wa kutathmini mali kabla ya kuiweka dhamana, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha iliyoambatana na Maafisa kutoka taasisi na wadau mbalimbali, ilipowasili kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini, katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha. 

Baadhi ya wananchi wa Tarafa ya Namanga, wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa kuhusu elimu ya fedha, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha iliyoambatana na Maafisa kutoka taasisi na wadau mbalimbali, ilipowasili kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini, katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha. 

Afisa Matekelezo wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) Arusha Bi. Marietha Ngoma, akiwaelekeza wananchi jinsi ya kujiunga na kunufaika na huduma za Mfuko huo, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha iliyoambatana na Maafisa kutoka taasisi na wadau mbalimbali, ilipowasili kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha vijijini, katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha. 

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Longido, Arusha)

Na. Saidina Msangi, WF, Longido, Arusha.

Wananchi Wilayani Longido wamehimizwa kutumia fursa ya elimu ya fedha katika kuhakikisha kuwa wanapanga mipango ya biashara mapema ili kuweza kutumia vema mikopo inayotolewa na Serikali kupitia kila Halmashauri ili kujikwamua kiuchumi.  

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Longido Mhe. Salum Kalli, alipokuwa akifungua mafunzo ya elimu ya fedha, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha iliyoambatana na Maafisa kutoka Taasisi na watoa huduma za Fedha ilipowasili kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha na kuhamasisha utumiaji wa huduma za fedha zilizo rasmi katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha.

Alisema kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Longido imetenga kiasi cha Sh. milioni 25 kila mwezi kwa ajili ya mikopo ya kuwawezesha wanawake, vijana na watu wenye ulemavu hivyo elimu ya fedha itawawezesha kupanga matumizi sahihi ya fedha hizo ili kukuza vipato vyao.

‘‘Tumieni fursa ya mafunzo haya ili kupata elimu sahihi kuhusu masuala ya fedha ikiwemo uwekezaji wa fedha, akiba na mikopo, kabla ya kuanza mipango ya kukopa fedha kutoka kwenye taasisi mbalimbali zinazotoa huduma hizo ili mikopo mnayochukua iwe na tija,’’ alisisitiza Mhe. Kalli.

Alisisitiza wananchi kuweka mipango thabiti ya biashara kabla ya kuchukua hatua za kukopa ili fedha hizo zitumike kwa malengo yaliyokusudiwa na kurejesha mikopo hiyo kulingana na mikataba wanayoingia sambamba na kuchukua tahadhari ya wakopeshaji wasiofuata Sheria, kanuni na Taratibu.

‘‘Tumieni fursa ya elimu hii ya fedha mliyoipata kukuza biashara zenu endeleeni kuchapa kazi kwani nchi hii ina amani na utulivu, ulinzi na usalama hivyo fanyeni biashara kwa utulivu, elimu hii ikawe chachu katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi hapa wilayani kwetu’’, alisisitiza Mhe. Kalli.

Aliwahimiza wananchi kutumia fursa ya kuishi mpakani mwa Tanzania na Kenya kufanya biashara kwa kufuata Sheria na Taratibu ikiwemo kupata leseni za biashara kuwawezesha kufanya biashara na nchi ya Kenya ili kukuza mitaji yao na uchumi kwa ujumla.

Aidha, Mhe. Kalli aliwakumbusha wananchi wa Wilaya ya Longido kwa wale wenye utaratibu wa kutunza fedha nyumbani kuhakikisha kuwa wanafungua akaunti za benki na kutunza fedha kwa kuwa itawahakikishia usalama wa fedha zao.

Naye Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, alieleza kuwa ni muhimu kila mwananchi kuhakikisha kuwa kila anapopanga kuchukua mkopo awe na malengo ili fedha itakayopatikana itumike kwa utaratibu.

‘‘Unapotaka kuchukua mkopo hakikisha unachukua kwa ajili ya kitu cha msingi au kitu kinachozalisha kwani ni fedha ambayo lazima uirudishe baada ya muda fulani kwani mkopo sio zawadi,’’ alisisitiza Bw. Kibakaya.

Alisisitiza kuwa ni muhimu kukopa katika taasisi rasmi zilizosajiliwa na Benki Kuu ya Tanzania na kuangalia riba ili kujiepusha na riba zisizofuata sheria, kanuni na taratibu ambazo ndio zinasababisha kuwa na mikopo inayojulikana kama kausha damu au mikopo umiza.

Naye Afisa Sheria Mwandamizi kutoka Kurugenzi ya Ustawi na Huduma Jumuishi za Fedha wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Ramadhani Myonga, alisisitiza kuwa ni muhimu kuhakikisha kuwa kiwango cha fedha wanachopokea kiendane na mkataba wa mkopo huku wakiepuka kutumia kadi za benki kama dhamana.

‘’Ni muhimu kutumia sekta rasmi za fedha mnapochukua mkopo na kuhakikisha kuwa taasisi hizo zimesajiliwa kabla ya kupata huduma na pia kuomba hati ya kumaliza mkopo baada ya kurejesha mkopo husika ili kulinda dhamana zenu,’’alisisitiza Bw. Myonga.

Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha iliyoambatana na Maafisa kutoka taasisi na watoa huduma za Fedha inaendelea na programu ya elimu ya fedha kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido ambapo makundi ya wakulima, bodaboda, wafugaji, na wajasiriamali yanatarajiwa kufikishiwa elimu hiyo.

About the author

Alex Sonna