marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

anadoluslot

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

savoycasino

https://letsrelaxspa.today/

boostaro review

casibom giriş

betticket

NervEase

Çanakkale Escort

Denizli Escort

Samsun Escort

jojobet giriş

grandpashabet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

cratosroyalbet

casibom

dizipal

1xbet

1xbet

holiganbet giriş

marsbahis

ngsbahis

artemisbet

parmabet

mislibet

norabahis

palacebet

nitrobahis

betpuan

bets10

betasus giriş

Featured Kitaifa

OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAANDAA MKAKATI WA USIMAMIZI WA TAKA

Written by Alex Sonna

 

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Hassan Mitawi akifungua kikao cha wadau kuhusu kubadilishana uzoefu wa udhibiti na usimamizi wa taka za plastiki nchini, kilichofanyika Dodoma Januari 30,2025.

Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Kemilembe Mutasa akizungumza katika kikao cha wadau kuhusu kubadilishana uzoefu wa udhibiti na usimamizi wa taka za plastiki nchini, kilichofanyika Dodoma Januari 30,2025 ambapo amesema katika kukabiliana na udhibiti wa taka hususani taka za plastiki, Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imechukua hatua mbalimbali katika kuimarisha usimamizi wa taka nchini ikiwemo Kutunga na kufanya marekebisho ya Sera, Sheria, Kanuni, Mikakati na Miongozo mbalimbali.

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Hassan Mitawi (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na wadau mbalimbali wa mazingira baada ya  kufungua kikao cha wadau kuhusu kubadilishana uzoefu wa udhibiti na usimamizi wa taka za plastiki nchini, kilichofanyika Dodoma Januari 30,2025.

……

Ofisi ya Makamu wa Rais imeandaa Mkakati wa Usimamizi wa Taka wa mwaka 2025-2030 ambao unalenga kuimarisha miundombinu ya usimamizi wa taka katika maeneo yote nchini.

Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu (Muungano) Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Hassan Mitawi katika kikao cha wadau kuhusu kubadilishana uzoefu wa udhibiti na usimamizi wa taka za plastiki nchini, kilichofanyika Dodoma Januari 30,2025.

Amesema inakadiriwa kuwa Tanzania inazalisha taka ngumu kati ya tani milioni 14.4 hadi 20.7 kwa mwaka ambazo ni sawa na wastani wa kilo 241 hadi 347 kwa mtu mmoja kwa mwaka.  Aidha, maeneo ya mijini yanakadiriwa kuwa na uzalishaji mkubwa zaidi wa taka ikilinganishwa na maeneo ya vijijini. 

“Takwimu za maeneo yenye uzalishaji mkubwa wa taka ngumu nchini zinaonesha wastani wa mabaki ya bustani, mbao, na vyakula ni asilimia 63.4; mchanganyiko wa taka za kielektroniki, vifaa vya nyumbani, majivu, na taka zisizo na kemikali ni asilimia 12.8; taka za plastiki ni asilimia 12; taka za karatasi ni asilimia 6.1; taka za vioo ni asilimia 4.2 na taka za metali ni asilimia 1.5.

Bw. Mitawi ameongeza asilimia 70 ya taka ngumu zinazozalishwa nchini zinaweza kurejelezwa. Hata hivyo, ni asilimia 5 hadi 10 pekee ya taka hizi hurejelezwa ambapo kiwango kikubwa cha urejelezaji kinatokana na taka za plastiki, karatasi, chuma chakavu, aluminium, glasi, taka za kielektroniki, betri za asidi ya risasi, na mafuta yaliyotumika au taka za mafuta.

Amesema kiwango cha asilimia 5 hadi 10 cha urejelezaji kimechangiwa na utekelezaji wa mwongozo wa dhana ya 3Rs (punguza, tumia tena, na rejeleza taka) hususani katika sekta binafsi. Mathalani, Kampuni nane za vinywaji zimeungana kukuza usimamizi endelevu wa taka kupitia Wajibu wa Wazalishaji Kudhibiti Taka zitokanazo na bidhaa wanazozalisha  kwa uratibu wa Shirika la Urejelezaji wa Taka za Plastiki (PETRO). 

Hata hivyo, amesema ushirikiano huu unalenga kukusanya na kurejeleza tani milioni 12.5 za taka za plastiki nchini kote kwa mwaka. Kiwango kikubwa cha taka zinazozalishwa hutupwa ovyo, ispokuwa katika Halmashauri saba zenye madampo ya kisasa. 

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Kemilembe Mutasa amesema katika kukabiliana na udhibiti wa taka hususani taka za plastiki, Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imechukua hatua mbalimbali katika kuimarisha usimamizi wa taka nchini ikiwemo kutunga na kufanya marekebisho ya Sera, Sheria, Kanuni, Mikakati na Miongozo mbalimbali.

Pia, amesema Serikali imeendelea kutoa elimu kwa umma kupitia vipindi vya redio, television, warsha na mikutano mbalimbali na kuandaa mradi wa mfano wa urejelezaji wa taka za plastiki uliopo jijini Dodoma. 

Naye Mkurugenzi wa HUDEFO Bi. Sarah Pima amesema taasisi hiyo imekuwa ikishirikiana na Serikali katika kuhamasisha Uhifadhi wa Mazingira hasa katika mikoa ambayo imekuwa ikizalisha taka za plastiki kama vile Dar es Salaam.

Ameongeza pia wamekuwa wakitoa elimu kwa makundi mbalimbali kama vile waandishi wa Habari ambao kupitia vyombo vya Habari elimu imekuwa ikiwafikia watu wengi kwa wakati mmoja.  

About the author

Alex Sonna