marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

casibom giriş

jojobet

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

imajbet

vdcasino

marsbahis

ganobet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

wbahis

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

grandpashabet

marsbahis

restbet

artemisbet

artemisbet

kavbet giriş

mislibet

betra

kavbet

aresbet

jojobet

betasus giriş

holiganbet

kulisbet, kulisbet giriş

betkare, betkare giris

betparibu

bekabet, bekabet giris

jojobet

Superbetin giriş

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

perabet

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

onlybet giriş

betebet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

ultrabet

Gamdom

grandpashabet giriş

egebet

betsmove

mavibet

egebet

betsmove

tophillbet

netbahis giriş

casibom

royalbet

bibubet

https://pasands.com/

يلا شوت

hantavirus token

restbet

kumar siteleri

kralbet giriş

Grandpashabet Güncel Adres

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

parmabet

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet

artemisbet giriş

parmabet

parmabet giriş

mislibet

parmabet

vdcasino

marsbahis

sweet bonanza

jojobet güncel giriş

yakabet

marsbahis

vdcasino

aviator

bets10

bets10 giriş

Featured Kitaifa

WATOA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA WATAKIWA KUWAPA MIKATABA WANANCHI WANAOWAKOPESHA

Written by mzalendo
Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Bi. Grace Muiyaza, akiongea na wananchi wa Mikese Mkoani Morogoro katika program ya elimu ya fedha yaliyotolewa kwa wananchi wa Mamlaka ya Mji Mdogo Mikumi.
Afisa Masoko Mwandamizi kutoka Kampuni ya Uwekezaji ya UTT Bw. Rahim Mwanga akiongea na washiriki wa program ya elimu ya fedha kwa umma (hawapo pichani) iliyotolewa katika Mji mdogo wa Mikumi Mkoani Morogoro.
Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Bi. Grace Muiyaza, akiongea katika kikao kati ya timu ya wataalamu wa masuala ya fedha na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa (hayupo pichani) walipotembelea ofisini hapo kabla ya kuanza kwa program ya elimu ya fedha kwa wananchi wa Kilosa. Pembeni kwa Bi. Grace ni Afisa Mipango kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Masoko na Dhamana Bw.Godfrey Makoi na Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Jackson Mushumba.
Wananchi wa Mji Mdogo wa Mikumi wakimsikiliza mtaalamu kutoka Kampuni ya Uwekezaji ya UTT (UTT-AMIS) Bw. Rahim Mwanga, wakati wa program ya elimu ya fedha kwa umma iliyotolewa kwa wananchi hao.
 
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha – Morogoro)
Na. Ramadhani Kissimba, WF, Morogoro
 
Watoa huduma ndogo za fedha  na vikundi vya kijamii nchini  vinavyojihusisha na huduma za mikopo vimetakiwa kuwapatia nakala ya mkataba wananchi wanaowakopesha mikopo.
 
Akizungumza katika program ya elimu ya fedha kwa wananchi wa Mji Mdogo wa Mikumi, Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro, Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Idara ya uendelezaji wa Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha Bi. Grace Muiyanza, alisema kuwa watoa huduma wanatakiwa kutoa mikataba kwa wanaowakopesha kwa mujibu wa sheria iliyowekwa na Benki Kuu ya Tanzania.
 
Aidha Bi Muiyanza alisema mkataba ni mafungamano kati ya pande mbili ya mkopeshaji na mkopaji hivyo ni lazima kila upande uridhie makubaliano hayo kabla ya kuchukua mkopo na kwa kufanya hivyo itasaidia kupunguza changamoto zinazojitokeza wakati wa kurejesha mkopo na pia mkataba utakuwa ndio njia pekee ya kila mmoja kupata haki yake itakapotokea mgongano baina yao.
 
Pia, Bi. Muiyaza aliwasihi wananchi kabla ya kusaini mkataba wa mkopo ni vizuri kila mmoja akapata nafasi ya kuusoma na kuelewa masharti ya mkataba huo ili usije ukamfunga kwa vipengele ambavyo vitasababisha ugumu wa kurejesha mkopo wake.
 
‘’Mkataba ni masharti ya pande mbili, hakikisha umeusoma na kuuelewa mkataba, na hata kama ujui kusoma nenda kwa maafisa wa maendeleo ya jamii wakueleweshe masharti yaliyomo kwenye mkataba huo maana ukiamua kusaini bila ya kuuelewa utakuwa umeshakubaliana na masharti na utakuwa umesaini masharti yatakayokuja kukufunga baadae’’. Alisema Bi Muiyaza
 
Awali akifungua mafunzo hayo Afisa Mtendaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo Mikumi Bi. Edith Mlay, aliwataka wananchi wa Mikumi kuitumia fursa hiyo ya kujifunza masuala ya fedha ili kuweza kutatua changamoto mbalimbali wanazokutana nazo kutoka kwa baadhi ya watoa huduma za fedha. 
 
Bi. Mlay aliongeza kuwa elimu ya fedha ni muhimu sana kwa wananchi wa Mikumi kwa sababu mji huo umekusanya makundi muhimu ya kijamii yakiwemo ya wakulima na wafugaji, hivyo elimu hiyo itawasaidia wananchi hao kutumia fursa ya uwekezaji zilizopo katika sekta ya fedha baada ya kuuza mazao yao.
 
Wizara ya Fedha na washirika wa sekta ya fedha nchini imehitimisha program maalum ya elimu ya fedha kwa umma kwa Mkoa wa Morogoro ambapo elimu hiyo ilitolewa katika Halmashauri saba (7) ambazo ni Halmashauri ya Morogoro Mjini, Morogoro vijijini, Kilosa, Mvomero, Ifakara, Mlimba na Gairo.

About the author

mzalendo