slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

new unblocked games

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

hardcore porn

escort sapanca

holiganbet

jojobet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

palacebet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Kingroyal

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

matbet, matbet giriş

perabet, perabet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

pusulabet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betmoney

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

truvabet, truvabet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

parobet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

betmoney giriş

jojobet

celtabet

bets10

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

kumar siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

otobet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

betcio, betcio giriş

pokerklas, pokerklas giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

betmoney

tarafbet

güvenilir kumar siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

interbahis

winxbet, winxbet giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

betplay

cashwin

cratosroyalbet

casinomilyon

casinowon

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casinoroyal

Hacklink panel

jojobet yeni adres

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

herabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

pokerklas

pokerklas

madridbet

madridbet

Featured Kimataifa

RAIS MWINYI AFUNGUZ MAFUNZO SADCOPAC ZANZIBAR

Written by mzalendo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua Mkutano wa Mafunzo wa Kuwajengea Uwezo Taasisi za Ukaguzi na Mabunge ya (SADCOPAC) unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Uguja Jijini Zanzibar leo 17-4-2024.(Picha na Ikulu)

Na.Mwandishi Wetu-Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa wito kwa nchi wanachama za Jumuia ya Maendeleo Kusini mwa bara la Afrika, SADC, kuona haja za kuziimarisha taasisi zao zinazosimamia utawala bora zikiwemo Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Mamlaka za kuzuwia Rushwa na Uhujumu Uchumi pamoja na Mabunge kuona haja ya kuzipatia wataalamu zaidi wa fani mbalimbali ili ziwe na upeo mkubwa zaidi wa kufanya uchunguzi kwa mujibu wa majukumu yao.

Pia, Rais Dk. Mwinyi alizishauri taasisi hizo kuona umuhimu wa kufanya ziara za kimafunzo na kujengeana uwezo kwa kujifunza mbinu bora za kisasa kwenye utekelezaji wa majukumu yao, sambamba na kuendelea kutoa mafunzo zaidi.

Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo kwenye ukumbi wa hoteli ya Golden Tulip, Uwanja wandege Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magaharibi, alipofungua Mkutano wa Mafunzo kwa Wajumbe na Wataalamu wa Kamati za SADCOPAC katika kupambana na rushwa, kuhamasisha uwazi na uwajibikaji kwa usimamizi wa mali zisizo rejesheka kwa kamati hizo. 

Alisema, Mkutano huo kwa Zanzibar ni fursa nzuri kwa Wataalamu wa ndani pamoja na Mabunge ya nchi wanachama wa SADC kubadilishana uzoefu na kujifunza mbinu za kukabiliana na rushwa, kuongeza uwazi na uwajibikaji kutoka nchi nyengine za mataifa ya Afrika hasa ukanda wa Kusini mwa Afrika.

Pia alieleza Mafunzo hayo kufanyika Zanzibar ni fursa ya kuitangaza Tanzania na kuwawezesha wageni kupata nafasi adhimu ya kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii, zikiwemo fukwe nzuri na Mji Mkongwe wa Zanzibar wenye hadhi ya urithi wa Dunia. 

Akizungumzia suala la mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa, kuwepo kwa uwazi katika matumizi ya rasilimali za umma na kuhimiza uwajibikaji kwenye utekelezaji wa mipango ya maendeleo katika kukuza uchumi wa mataifa ya Afrika na kuimarisha huduma za jamii, Rais Dk. Mwinyi alisema ni mambo ya misingi na yenye mchango muhimu kwa kuchochea kasi ya maendeleo ya mataifa hayo.

Alisema, rasilimali zilizomo Afrika ni vyanzo muhimu vya kukuza uchumi wa mataifa yao, ikiwa vitasimamiwa vyema na kutumika kwa misingi ya sheria, uwazi na uwajibikaji. Alisistiza kuwa taasisi za utawala bora zikiwemo Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Mamlaka za kuzuwia Rushwa na Uhujumu Uchumi na Mabunge kwa nchi wanachama wa SADC yana mchango mkubwa wa kuyafikia matarajio ya mataifa yao.

Alisema, Serikali zote mbili za SMZ na SMZ zimejitahidi kuchukua hatua mbalimbali ili kukabiliana na vitendo vya rushwa na kuhimiza uwazi na uwajibikaji ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 – 2025 pamoja na mipango mingine ya maendeleo. 

Akitaja hatua hizo Rais Dk. Mwinyi alieleza ni pamoja na kuzijengea uwezo taasisi zake kwa mafunzo ili kuzipatia weledi, kuzipatia vifaa vya kufanyia kazi na kuzijengea miundombinu bora ili zifanye kazi zao kwa ufanisi zaidi.

Kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Rais Dk. Mwinyi alisema, inaendelea kupambana na rushwa, kuhimiza uwajibikaji na uwazi kwa kuanzisha mifumo mbalimbali ya huduma zikiwemo za kifedha.

Aliongeza, kuanzisha utaratibu wa kusomwa kwa taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali hadharani kwa kujadiliwa kwa kina na uwazi kwenye Baraza la Wawakilishi. 

Alieleza, hatua hiyo imeimarisha Mamlaka ya Kupambana na Rushwa na Uhujumu Uchumi na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka zimesaidia sana kufikia malengo ya nchi kwa kuimarisha utawala bora.

Akiizungumzia sheria ya Ukaguzi wa Mapato na Matumizi ya Umma nambari 7 ya mwaka 2023 ya Zanzibar, Rais Dk. Mwinyi alieleza imeleta mafanikio makubwa kwenye kujenga uwelewa kwa wananchi juu ya matumizi ya fedha za Umma.

Kuhusu mafanikio hayo Rais Dk. Mwinyi alieleza ni pamoja na kutumia mifumo, kuokoa fedha za Serikali kwa asilimia 86.3, kutekeleza miradi ya maendeleo kwa uwazi kwa asilimia 96, kuongezeka kwa uelewa wa usimamizi wa fedha za umma (mapato na matumizi) kwa asilimia 96, Matumizi ya mifumo kwenye shughuli za Serikali pia yameongezeka kutoka asilimia 48 na kufikia 92.4

Mafanikio mengine yaliyopatikana kutokana na kuimarika kwa utendaji huo Rais Dk. Mwinyi alieleza Serikali ya Zanzibar kupitia Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali kupewa kazi ya kusimamia na kufuatilia matumizi ya miradi ya maendeleo kupitia USAID na ADB ambapo awali kazi hio ilifanywa na taasisi binafsi.   

Hata hivyo, Rais Dk. Mwinyi alisema, Zanzibar inajitahidi kutekeleza kwa ukamilifu makubaliano yaliyofikiwa baina ya nchi wanachama wa kamati za SADCOPAC.

“Siku siku zote tutajitahidi kuwa kinara katika utekelezaji ili malengo na mipango yetu iweze kufanikiwa kama sote tunavyotarajia” alibainisha Rais Dk. Mwinyi.Hata hivyo, Rais Dk. Mwinyi alizitaka kamati za Mabunge ya nchi wanachama wa SADC, kuendelea kudumisha ushirikiano na Tanzania hasa Zanzibar.

Mafunzo hayo yaliandaliwa na Wizara zinazosimamia sheria na utawala bora Tanzania, Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Zanzibar pamoja na Uongozi na Sekretarieti ya SADCOPAC.

IDARA YA MAWASILIANO, IKULU ZANZIBAR

BAADHI ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania wa Kamati mbalimbali za Bunge wakifuatila hutuba ya Ufunguzi wa Mkutano wa mafunzo ya kuwajengea uwezo pamoja na  ufanyajikazi wa Taasisi za Ukaguzi na Mabunge ya (SADCOPAC) wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akifungua na kuufungua mkutano huo unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 17-4-2024.(Picha na Ikulu)

WASHIRIKI wa Mkutano wa Mafunzo wa kuwajengea uwezo pamoja na ufanyaji kazi wa Taasisi za Ukaguzi na Mabunge ya (SADCOPAC) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo, unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 17-4-2024.(Picha na Ikulu)

BAADHI ya Makatibu Wakuu wa SMZ wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Mkutano wa Mafunzo wa kuwajengea Uwezo Taasisi za Ukaguzi na Mabunge ya (SADCOPAC) wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 17-4-2024.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua Mkutano wa Mafunzo wa Kuwajengea Uwezo Taasisi za Ukaguzi na Mabunge ya (SADCOPAC) unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Uguja Jijini Zanzibar leo 17-4-2024.(Picha na Ikulu)

About the author

mzalendo