Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

Grandpashabet Güncel Giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

betsat

sahabet

jojobet

grandpashabet

ultrabet giriş

lunabet

avrupabet

setrabet

jojobet giriş

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

mavibet

kavbet

piabellacasino giriş

pashagaming

casinoroyal

teosbet

piabellacasino

norabahis

artemisbet

piabellacasino

casinoroyal

almanbahis

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

mariobet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark giriş

bets10

dinamobet giriş

casibom

vaycasino

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

vaycasino

ultrabet

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

betixir

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu veren siteler

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

casibom

royalbet

casibom

kafacasino

betface

pashagaming

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betpark

holiganbet

vdcasino

jojobet

casibom

maxwin

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

betwoon

giftcardmall/mygift

Kitaifa

C FM YAADHIMISHA MSIMU WA NNE WA MWANAMKE MWAMBA 2024

Written by mzalendo

Na. Gideon Gregory, Dodoma.

Kamishna Msaidizi Idara ya Undelezaji wa Sekta ya Fedha Bi. Janeth Lewis Hiza amewataka Wanawake kuwekeza fedha wanazozipata katika njia mbalimbali za mapato ili waweze kupata mitaji na kufungua Biashara zitakazo wasaidia huko mbeleni.

Bi.Janeth ametoa wito huo Machi 10,2024 Jijini Dodoma alipokuwa kwenye hafla ya ‘MWANAMKE MWAMBA’ msimu wa nne ulio asisiwa na kituo Cha redio Cha C fm 103.3, ikiwa ni katika kusherehekea siku ya Wanawake Duniani.

“Zamani tulikuwa tunategemea kilimo tu ili kuweza kupata fedha, lakini siku hizi tunatafuta pesa kwa njia mbalimbali ikiwemo kilimo, hivyo nikusihi wewe mama, Usile fedha yako yote unayoipata, jitahidi kuwekeza na Baadae hizo fedha uende kuweka Benki ili ziweze kuzaa na wewe kupata mtaji nk.” alisema.

Bi.Janeth amesema wanawake hao hawapaswi kujidharau kwani kuna Hazina kubwa waliyopendelewa na Mungu hivyo wanapaswa kufanya jambo ambalo wameletwa duniani kuja kulifanya kwa juhudi na maarifa.

Aidha, amesema kuwa katika nchi yetu ya Tanzania kuna fursa nyingi sana hivyo amewataka wanawake hao kuchangamkia fursa hizo za mikopo kwa kuanzisha vikundi, vikasajiliwa na kusimamiwa na benki kuu ili waweze kufikia malengo yao.

“Hakuna kitu kizuri kama kuwa kwenye Kikundi mpaka ndugu zetu wa PPRA wanatambua vikundi, wakawapa miradi. kwahiyo wakina mama wenzangu tafuteni Marafiki watano waaminifu ili muweze kutumia hizo fursa, Mimi nipo tayari kuwasapoti” alisema Bi.Janeth.

Pia amewashawishi wakinamama hao kufungua vituo vya kulelea watoto(Day Care) ili waweze kusaidia kwenye suala la malezi bora kwa watoto.

Naye Mama mlezi wa kituo hicho cha Redio Mama Tunu Pinda, amewapongeza Wanawake wote walioshinda tuzo ya ‘Mwanamke Mwamba’ kwa Mwaka huu 2024 na kwa wale ambao hawakushinda,amewataka wasikate tamaa kwani hata mwaka ujao wanaweza kushinda pia.

Kwa upande wake Mkuu wa vipindi C-Fm 103.3 Bw.James Mbonde amesema dhumuni la siku ya ‘Mwanamke Mwamba’ ni kumpa thamani Mwanamke, kumshika mkono, pamoja na kumtia moyo kwa jitihada mbalimbali ambazo amekuwa akizifanya katika maendeleo ya Jamii na taifa kwa ujumla.

“Sisi Kama kituo Cha Burudani Kanda ya kati na kuelimisha Jamii, tunaamini nguvu ya Mwanamke na mchango wake katika Jamii, na kwa kulithibitisha hilo tumekuwa mstari wa mbele kutumia nguvu na uwezo tulionao kutoa elimu pamoja na kufungua fursa mbalimbali kwa Mwanamke wa Kanda ya kati, pamoja na kuwasaidia baadhi ya Wanawake wenye changamoto mbalimbali na kuwainua kiuchumi,” amesema.

Naye Mwanamke Mwamba Bi.Anjella Layzer aliyeshinda tuzo ya Mwanamke Mwamba katika kipengele Cha ‘Mwamba Katika Chakula’ amesema tuzo hiyo aliyoishinda ina maana kubwa sana katika maisha yake na imempa hamasa ya kupambana zaidi katika kitu anachokifanya.

 

About the author

mzalendo