Photos

RAIS SAMIA KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Written by mzalendo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyokwenda sambamba na Jukwaa la The Citizen Rising Woman ukumbi wa The Super Dome Masaki leo Machi 08,2024.

About the author

mzalendo