Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet giriş

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

betmarino

kulisbet

maxwin, maxwin giriş

maxwin, maxwin giriş

deneme bonusu

casibom giriş

betwoon

paşacasino

interbahis

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

pusulabet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

deneme bonusu veren siteler

jojobet

holiganbet

jojobet

betsat güncel giriş

meritking

jojobet

grandpashabet

atlasbet giriş

lunabet

artemisbet giriş

setrabet

betpas

jojobet

timebet

jojobet

kavbet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

holiganbet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

holiganbet giriş

holiganbet

mavibet giriş

artemisbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin

maxwin

dinamobet giriş

ultrabet

casibom

betkolik

jojobet

casibom

jojobet

kalebet

casibom

casibom

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

luxbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

perabet

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

avrupabet

jojobet

betpark

meritking giriş

vdcasino

jojobet

kingroyal

Featured Photos

DKT.DIMWA : ATAJA KIPAUMBELE CHA CCM

Written by mzalendo

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,akizungumza na wanachama wa CCM wa Shina namba 12 Jimbo la Chumbuni Zanzibar.

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,akizungumza na wanachama na wananchi kwa ujumla katika Tawi la CCM Masumbani Unguja.

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,akimkabidhi kadi mwanachama mpya katika Tawi la CCM Mgandini Jimbo la Shauri Moyo.

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,akipandisha bendera katika shina la CCM namba 10 Tawi la CCM Chumbuni.

NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR.

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,amesema kipaumbele cha Chama Cha Mapinduzi ni kuzisimamia kikamilifu Serikali zake zitekeleze kwa vitendo maendeleo kwa maslahi ya Wananchi wote.

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na wanachama wa CCM na Wananchi kwa ujumla katika mwendelezo wa ziara yake na Wajumbe wa Sekretarieti ya Kamati Maalum ya NEC CCM Taifa Zanzibar katika Tawi la CCM Mkoa wa Mjini Wilaya ya Amani Unguja.
Dkt.Dimwa,alisema Serikali ya awamu ya nane chini ya Uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein  Mwinyi, imeendelea kutekeleza kwa ufanisi mambo mbalimbali ya maendeleo katika sekta za kiuchumi,kijamii na kimaendeleo.
Katika maelezo yake Dkt.Dimwa,alieleza kuwa lengo la ziara hiyo ni kuimarisha uhai wa CCM kwa kuzungumza na wanachama na kukagua miradi mbalimbali ya CCM na Jumuiya zake inayotekelezwa katika ngazi za Mashina,Matawi hadi Wilaya.
“Natumia nafasi hii kuwapongeza Wanachama na Viongozi wa ngazi mbalimbali za Chama na Jumuiya zake kwa kazi  nzuri za kuimarisha Chama chetu.
Tutaendelea kuhakikisha mambo yaliyoahidiwa katika Uchaguzi Mkuu uliopita tunayatekeleza kwa ufanisi ili kutimiza dhamira Kuu ya Chama chetu ya kuhakikisha kila mwananchi anakuwa na maisha bora na yenye bora bila kujali tofauti za kisiasa,kidini na kikabila.
Alisema CCM imeendelea kuwa Chama bora nchini na barani Afrika kutokana na kujenga misingi imara ya Uongozi na Itikadi kuanzia ngazi za chini za Mashina utamaduni ambao haupatikani katika Vyama vingine vya kisiasa.
Aliwasisitiza Viongozi wa ngazi za Mashina na Matawi kufanya vikao vya kikatiba kwa mujibu wa Katiba ya CCM ya mwaka 1977 ili kupata nafasi ya kujadili,kutathimini na kufikia maamuzi ya pamoja ya kuimarisha Chama na Serikali zake.
Alitoa wito kwa Viongozi wa Mashina na kuwakumbusha wajibu wao ulioelekezwa katika Katiba ya CCM kuwa ni pamoja na kuongoza na kusimamia utekelezaji wa maamuzi yote ya CCM na utendaji wa kazi katika shina pamoja na kuhimiza ulipaji wa ada za Wanachama.
Aliyataja maelekezo mengine kwa Mabalozi hao wa Mashina kuwa wanatakiwa kulinda na kuendeleza siasa za CCM katika Mashina.
Dkt.Dimwa,alisema kazi nyingine ya Mabalozi hao ni kuimarisha ulinzi na usalama katika maeneo yao,kueneza Itikadi na siasa ya CCM katika Mashina pamoja na kuendeleza masuala ya maendeleo katika maeneo yao.
Pamoja na hayo,aliwataka Viongozi wa CCM wa ngazi za majimbo kutekeleza kwa ufanisi Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2025 ili Wananchi waridhike na sera za Chama na kukipatia ushindi katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Kupitia ziara hiyo alisisitiza Wanachama hao kulipa ada kwa wakati ili fedha hizo zisaidie katika masuala ya kiutendaji na fungu lingine linarudi kwa mabalozi.
 Naye Katibu wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Organazesheni CCM Zanzibar Omar Ibrahim  Kirupi,aliwasihi Wanachama wote wenye sifa za kupiga kura wajitokeze kwa wingi kujiandikisha katika daftari la wapiga kura kwa awamu ya pili ili kupata idadi ya mtaji wa kisiasa wa CCM.
Kilupi, aliwambia Wanachama hao kuwa muda wa Uchaguzi Mkuu unakaribia hivyo kila mwanacha ajipange kuhakikisha CCM inashinda ili iendelee kuongoza dola.
Kwa upande wa wananchi wa Wilaya ya Amani kwa wakati tofauti waliwapongeza viongozi wa Sekretarieti hiyo ya CCM Zanzibar kufanya ziara hiyo ambayo kwa upande wao imeacha matokeo chanya ya uimarishaji wa Chama.
Naye Khamis Farid Abdulla, Mkaazi wa Jimbo la Shaurimoyo, alisema ziara hiyo imekuwa na mafanikio makubwa kutokana na uzinduzi wa miradi ya maendeleo  pamoja na nasaha mbalimbali za kuhamasisha wanachama na wananchi kwa ujumla.
Kwa upande wake Mkaazi wa Jimbo la Amani  Zuwena Mahmoud Issa, alisema ziara za aina hiyo zifanyike mara kwa mara kwani viongozi wengi wa ngazi za juu hawafiki katika matawi kusikiliza changamoto za wanachama hali  inayopelekea baadhi ya wanachama kukata tamaa.
Ziara hiyo katika Wilaya ya Amani ikiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Dkt.Dimwa imejumuisha Wakuu wa Idara za CCM na kutembelea,kukagua, na kushiriki ujenzi wa taifa katika miradi ya maendeleo katika mashina,matawi,wadi na majimbo yote ya wilaya hiyo .

About the author

mzalendo