Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

avrupabet

vipslot

betcool

betlivo

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

kareasbet

hazbet

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

betra

gobahis

casival

casival

betcool

avrupabet

celtabet

jojobet

Hacklink panel

norabahis

kingroyal

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

hepbet

millibahis giriş

gobahis

vipslot

betface

elitbahis giriş

betcool

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

betlike

piabellacasino

timebet

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betewin

jojobet

vipslot

betnis

betmarino giriş

aresbet

aresbet

avrupabet giriş

betface

luxbet

betmarino

casival giriş

betlivo giriş

realbahis

gallerbahis

gallerbahis

aresbet giriş

parmabet

betnis

elitbahis

marsbahis

betra giriş

celtabet giriş

parmabet giriş

vipslot giriş

hazbet giriş

elitbahis

luxbet giriş

hepbet

lordcasino

parmabet

lordcasino

kareasbet

betcool giriş

realbahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

parmabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

madridbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet giriş

marsbahis

sweet bonanza

realko

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

betlivo

millibahis

millibahis

celtabet

millibahis

parmabet giriş

mavibet giriş

coinbar

coinbar

mislibet giriş

mavibet

parmabet giriş

parmabet

bahiscasino

mavibet

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

marsbahis

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

betsat

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

betcio

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

Featured Kitaifa

TANZANIA YAPOKEA MSAADA WA Sh. TRIL 1.4 KUTOKA GLOBAL FUND

Written by mzalendo

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameki Nchemba Madelu (Mb), (kushoto) na Mkuu wa Global Fund- Afrika, Bw. Linden Morrison, wakionesha Hati za Mikataba ya Msaada yenye thamani ya takribani dola za Marekani milioni 606.9 kwa ajili ya kupambana na maradhi ya UKIMWI, Kifua Kikuu, Malaria na Uimarishaji wa mifumo ya afya nchini, hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kambarage, jijini Dodoma. 

Na. Farida Ramadhani, WF, Dodoma

Tanzania na Global Fund zimesaini Mikataba minne ya misaada yenye thamani ya dola za Marekani milioni 606.9 (sawa na zaidi ya sh. trilioni 1.4) kwa ajili ya kupambana na maradhi ya UKIMWI, Kifua Kikuu, Malaria na Uimarishaji wa mifumo ya afya nchini.

Mikataba hiyo imesainiwa Jijini Dodoma kati ya Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), na Mkuu wa Global Fund- Afrika, Bw. Linden Morrison. 

Mhe. Nchemba alisema msaada kutoka Global Fund umepangwa kutekelezwa kwa miaka mitatu ambapo mpaka sasa Tanzania imepokea misaada kwa vipindi vinne ambavyo ni Julai 2012 – Desemba 2014, Julai 2015 – Desemba 2017, Januari 2018 – Desemba 2022 na Januari 2021 -Desemba 2023.

“Miradi inayotekelezwa kupitia msaada wa Global Fund kwa kipindi cha kuanzia Januari 2024 hadi Desemba 2026 itatekelezwa na Sekta ya Umma na Sekta Binafsi, Wizara ya Fedha inaendelea kuwa Mpokeaji Mkuu wa Sekta ya Umma na Management and Development for Health (MDH) ni Mpokeaji Mkuu wa pili kwa Sekta Binafsi”, alibainisha Mhe. Nchemba.

Aidha, aliishukuru Global Fund kwa kuendelea kuisaidia Tanzania na kubainisha kuwa misaada hiyo inatokana na juhudi mbalimbali anazofanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye ameifanya nchi iaminike Kimataifa.

Kwa upande wake Waziri wa Afya, Mhe.Ummy Mwalimu alisema watatumia fedha hizo kikamilifu katika kuimarisha kinga dhidi ya UKIMWI, Malaria na Kifua Kikuu ambapo asilimia 75 ya fedha hizo wamezielekeza kwenye bidhaa za afya.

“Kwa upande wa UKIMWI tutahakikisha takribani Watanzania milioni 1.7 ambao wanamaambukizi wanapata dawa za kufubaza makali ya UKIMWI au ARV’s kila mwaka”, alisema Mhe. Mwalimu.

Alisema kwa upande wa malaria, fedha hizo zitatumika kuiwezesha Wizara hiyo kuendelea kutoa huduma bure ya kupima Malaria kwakutumia kipimo cha haraka (MRDT) na kutoa dawa za Malaria kwa watu takribani milioni 10 kwa kipindi cha miaka mitatu.

“Nasisitiza kwamba kipimo cha Malaria cha haraka (MRDT) ni bure, dawa mseto ya Malaria pamoja na sindano ya Malaria kali ni bure kwa sababu fedha hizi tulizopata kutoka Global Fund tunakwenda kutumia kununua vifaa vya kupima Malaria pamoja na dawa”, alisisitiza, Mhe. Mwalimu.

Aidha, aliwaagiza Waganga Wakuu wa mikoa na wilaya zote nchini kusimamia maelekezo ya Serikali ya kuhakikisha huduma hizo zinatolewa bure kwa wananchi.

Alisema katika upande wa Malaria pia watagawa vyandarua vyenye dawa takribani milioni 22.6 kwa makundi mbalimbali hususan akina mama wajawazito na Watoto walio chini ya miaka mitano.

Kwa upande wa mapambano dhidi ya Kifua Kikuu, Mhe. Mwalimu alisema watatumia fedha hizo kwa ajili ya kuhakikisha wanaibua wagonjwa wapya wa ugonjwa huo.

Alisema fedha hizo pia zitatumika kuimarisha mifumo ya afya ambapo Wizara hiyo imepanga kununua vifaa tiba kwa ajili ya vituo vya huduma za afya katika ngazi ya kata.

Naye Mkuu wa Global Fund Afrika, Bw. Linden Morrison, alisema kuwa Tanzania ni nchi ya nne kwa kupata misaada mingi kutoka Mfuko huo pia imekuwa mstari wa mbele katika ukusanyaji na usimamizi wa rasilimali jambo lililosababisha kupewa misaada hiyo.

Alisema msaada uliotolewa ni kwa kipindi cha mwaka 2024 hadi 2026 na inalenga kuboresha mifumo ya maabara, mitungi ya Oksijeni, kuboresha mazingira ya watumishi wa afya na kuimarisha mnyororo wa thamani.

Aidha Bw. Morrison alisema kuwa msaada huo unakwenda sambamba na vipaumbele vya Serikali ikiwa ni pamoja na kuboresha mifumo ya Afya nchini.

Ameipongeza Serikali ya Tanzania kwa kufanikisha kusimamia utekelezaji wa

programu iliyoishia Desemba 2023 ambapo ilipata matokeo mazuri ya matumizi ya fedha kutoka mfuko huo katika masuala yakupunguza maambukizi ya HIV, Maralia na kifua kikuu.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameki Nchemba Madelu (Mb), (kushoto) na Mkuu wa Global Fund- Afrika, Bw. Linden Morrison, wakisaini Hati za Mikataba ya Msaada yenye thamani ya takribani dola za Marekani milioni 606.9 (saa na zaidi ya shilingi trilioni 1.4) kwa ajili ya kupambana na maradhi ya UKIMWI, Kifua Kikuu, Malaria na Uimarishaji wa mifumo ya afya nchini, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Kambarage, jijini Dodoma. 

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameki Nchemba Madelu (Mb), (kushoto) na Mkuu wa Global Fund- Afrika, Bw. Linden Morrison wakibadilishana Hati za Mikataba ya Msaada yenye thamani ya takribani dola za Marekani milioni 606.9 (zaidi ya shilingi trilioni 1.4) kwa ajili ya kupambana na maradhi ya UKIMWI, Kifua Kikuu, Malaria na Uimarishaji wa mifumo ya afya nchini, hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kambarage, jijini Dodoma. 

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameki Nchemba Madelu (Mb), (kushoto) na Mkuu wa Global Fund- Afrika, Bw. Linden Morrison, wakionesha Hati za Mikataba ya Msaada yenye thamani ya takribani dola za Marekani milioni 606.9 kwa ajili ya kupambana na maradhi ya UKIMWI, Kifua Kikuu, Malaria na Uimarishaji wa mifumo ya afya nchini, hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kambarage, jijini Dodoma. 

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameki Nchemba Madelu (Mb), akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini Hati za Mikataba minne ya Msaada yenye thamani ya takribani dola za Marekani milioni 606.9 (sawa na zaidi ya shilingi trilioni 1.4) kutoka Mfuko wa Dunia (Global Fund) kwa ajili ya kupambana na maradhi ya UKIMWI, Kifua Kikuu, Malaria na Uimarishaji wa mifumo ya afya nchini, hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kambarage, jijini Dodoma. 

Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu (Mb) akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini Hati za Mikataba minne ya Msaada yenye thamani ya takribani dola za Marekani milioni 606.9 (zaidi ya shilingi trilioni 1.4), uliotolewa na Mfuko wa Dunia (Global Fund) kwa ajili ya kupambana na maradhi ya UKIMWI, Kifua Kikuu, Malaria na Uimarishaji wa mifumo ya afya nchini, hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kambarage, jijini Dodoma. 

Mkuu wa Taasisi ya Management and Development for Health (MDH), Dkt. David Sando(kushoto) na Mkuu wa Global Fund- Afrika, Bw. Linden Morrison, wakionesha Hati za Mkataba wa masaada wa mapambano dhidi ya UKIMWI NA Kifua Kikuu katika hafla ya utiaji saini Mikataba ya Msaada wenye thamani ya takribani Dola za Marekani milioni 606.9 uliotolewa na Global Fund kwa ajili ya uimarishaji wa mifumo ya afya nchini ikiwemo kupambana na UKIMWI, Kifua Kikuu pamoja na Malaria, katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kambarage, jijini Dodoma. 

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dodoma)

About the author

mzalendo