marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sakarya escort

izmit escort

matbet

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

marsbahis giriş

marsbahis

perabet giriş

interbahis

betmarino

betpipo giriş

imajbet

betmarino

casinowon

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

aaa

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

holiganbet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

türk ifşa

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

ngsbahis giriş

perabet

ngsbahis

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

vbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

lordcasino

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

deneme bonusu

jasminbet

jasminbet giriş

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

Featured Kitaifa

TANZANIA YAPOKEA MSAADA WA Sh. TRIL 1.4 KUTOKA GLOBAL FUND

Written by mzalendo

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameki Nchemba Madelu (Mb), (kushoto) na Mkuu wa Global Fund- Afrika, Bw. Linden Morrison, wakionesha Hati za Mikataba ya Msaada yenye thamani ya takribani dola za Marekani milioni 606.9 kwa ajili ya kupambana na maradhi ya UKIMWI, Kifua Kikuu, Malaria na Uimarishaji wa mifumo ya afya nchini, hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kambarage, jijini Dodoma. 

Na. Farida Ramadhani, WF, Dodoma

Tanzania na Global Fund zimesaini Mikataba minne ya misaada yenye thamani ya dola za Marekani milioni 606.9 (sawa na zaidi ya sh. trilioni 1.4) kwa ajili ya kupambana na maradhi ya UKIMWI, Kifua Kikuu, Malaria na Uimarishaji wa mifumo ya afya nchini.

Mikataba hiyo imesainiwa Jijini Dodoma kati ya Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), na Mkuu wa Global Fund- Afrika, Bw. Linden Morrison. 

Mhe. Nchemba alisema msaada kutoka Global Fund umepangwa kutekelezwa kwa miaka mitatu ambapo mpaka sasa Tanzania imepokea misaada kwa vipindi vinne ambavyo ni Julai 2012 – Desemba 2014, Julai 2015 – Desemba 2017, Januari 2018 – Desemba 2022 na Januari 2021 -Desemba 2023.

“Miradi inayotekelezwa kupitia msaada wa Global Fund kwa kipindi cha kuanzia Januari 2024 hadi Desemba 2026 itatekelezwa na Sekta ya Umma na Sekta Binafsi, Wizara ya Fedha inaendelea kuwa Mpokeaji Mkuu wa Sekta ya Umma na Management and Development for Health (MDH) ni Mpokeaji Mkuu wa pili kwa Sekta Binafsi”, alibainisha Mhe. Nchemba.

Aidha, aliishukuru Global Fund kwa kuendelea kuisaidia Tanzania na kubainisha kuwa misaada hiyo inatokana na juhudi mbalimbali anazofanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye ameifanya nchi iaminike Kimataifa.

Kwa upande wake Waziri wa Afya, Mhe.Ummy Mwalimu alisema watatumia fedha hizo kikamilifu katika kuimarisha kinga dhidi ya UKIMWI, Malaria na Kifua Kikuu ambapo asilimia 75 ya fedha hizo wamezielekeza kwenye bidhaa za afya.

“Kwa upande wa UKIMWI tutahakikisha takribani Watanzania milioni 1.7 ambao wanamaambukizi wanapata dawa za kufubaza makali ya UKIMWI au ARV’s kila mwaka”, alisema Mhe. Mwalimu.

Alisema kwa upande wa malaria, fedha hizo zitatumika kuiwezesha Wizara hiyo kuendelea kutoa huduma bure ya kupima Malaria kwakutumia kipimo cha haraka (MRDT) na kutoa dawa za Malaria kwa watu takribani milioni 10 kwa kipindi cha miaka mitatu.

“Nasisitiza kwamba kipimo cha Malaria cha haraka (MRDT) ni bure, dawa mseto ya Malaria pamoja na sindano ya Malaria kali ni bure kwa sababu fedha hizi tulizopata kutoka Global Fund tunakwenda kutumia kununua vifaa vya kupima Malaria pamoja na dawa”, alisisitiza, Mhe. Mwalimu.

Aidha, aliwaagiza Waganga Wakuu wa mikoa na wilaya zote nchini kusimamia maelekezo ya Serikali ya kuhakikisha huduma hizo zinatolewa bure kwa wananchi.

Alisema katika upande wa Malaria pia watagawa vyandarua vyenye dawa takribani milioni 22.6 kwa makundi mbalimbali hususan akina mama wajawazito na Watoto walio chini ya miaka mitano.

Kwa upande wa mapambano dhidi ya Kifua Kikuu, Mhe. Mwalimu alisema watatumia fedha hizo kwa ajili ya kuhakikisha wanaibua wagonjwa wapya wa ugonjwa huo.

Alisema fedha hizo pia zitatumika kuimarisha mifumo ya afya ambapo Wizara hiyo imepanga kununua vifaa tiba kwa ajili ya vituo vya huduma za afya katika ngazi ya kata.

Naye Mkuu wa Global Fund Afrika, Bw. Linden Morrison, alisema kuwa Tanzania ni nchi ya nne kwa kupata misaada mingi kutoka Mfuko huo pia imekuwa mstari wa mbele katika ukusanyaji na usimamizi wa rasilimali jambo lililosababisha kupewa misaada hiyo.

Alisema msaada uliotolewa ni kwa kipindi cha mwaka 2024 hadi 2026 na inalenga kuboresha mifumo ya maabara, mitungi ya Oksijeni, kuboresha mazingira ya watumishi wa afya na kuimarisha mnyororo wa thamani.

Aidha Bw. Morrison alisema kuwa msaada huo unakwenda sambamba na vipaumbele vya Serikali ikiwa ni pamoja na kuboresha mifumo ya Afya nchini.

Ameipongeza Serikali ya Tanzania kwa kufanikisha kusimamia utekelezaji wa

programu iliyoishia Desemba 2023 ambapo ilipata matokeo mazuri ya matumizi ya fedha kutoka mfuko huo katika masuala yakupunguza maambukizi ya HIV, Maralia na kifua kikuu.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameki Nchemba Madelu (Mb), (kushoto) na Mkuu wa Global Fund- Afrika, Bw. Linden Morrison, wakisaini Hati za Mikataba ya Msaada yenye thamani ya takribani dola za Marekani milioni 606.9 (saa na zaidi ya shilingi trilioni 1.4) kwa ajili ya kupambana na maradhi ya UKIMWI, Kifua Kikuu, Malaria na Uimarishaji wa mifumo ya afya nchini, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Kambarage, jijini Dodoma. 

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameki Nchemba Madelu (Mb), (kushoto) na Mkuu wa Global Fund- Afrika, Bw. Linden Morrison wakibadilishana Hati za Mikataba ya Msaada yenye thamani ya takribani dola za Marekani milioni 606.9 (zaidi ya shilingi trilioni 1.4) kwa ajili ya kupambana na maradhi ya UKIMWI, Kifua Kikuu, Malaria na Uimarishaji wa mifumo ya afya nchini, hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kambarage, jijini Dodoma. 

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameki Nchemba Madelu (Mb), (kushoto) na Mkuu wa Global Fund- Afrika, Bw. Linden Morrison, wakionesha Hati za Mikataba ya Msaada yenye thamani ya takribani dola za Marekani milioni 606.9 kwa ajili ya kupambana na maradhi ya UKIMWI, Kifua Kikuu, Malaria na Uimarishaji wa mifumo ya afya nchini, hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kambarage, jijini Dodoma. 

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameki Nchemba Madelu (Mb), akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini Hati za Mikataba minne ya Msaada yenye thamani ya takribani dola za Marekani milioni 606.9 (sawa na zaidi ya shilingi trilioni 1.4) kutoka Mfuko wa Dunia (Global Fund) kwa ajili ya kupambana na maradhi ya UKIMWI, Kifua Kikuu, Malaria na Uimarishaji wa mifumo ya afya nchini, hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kambarage, jijini Dodoma. 

Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu (Mb) akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini Hati za Mikataba minne ya Msaada yenye thamani ya takribani dola za Marekani milioni 606.9 (zaidi ya shilingi trilioni 1.4), uliotolewa na Mfuko wa Dunia (Global Fund) kwa ajili ya kupambana na maradhi ya UKIMWI, Kifua Kikuu, Malaria na Uimarishaji wa mifumo ya afya nchini, hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kambarage, jijini Dodoma. 

Mkuu wa Taasisi ya Management and Development for Health (MDH), Dkt. David Sando(kushoto) na Mkuu wa Global Fund- Afrika, Bw. Linden Morrison, wakionesha Hati za Mkataba wa masaada wa mapambano dhidi ya UKIMWI NA Kifua Kikuu katika hafla ya utiaji saini Mikataba ya Msaada wenye thamani ya takribani Dola za Marekani milioni 606.9 uliotolewa na Global Fund kwa ajili ya uimarishaji wa mifumo ya afya nchini ikiwemo kupambana na UKIMWI, Kifua Kikuu pamoja na Malaria, katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Kambarage, jijini Dodoma. 

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dodoma)

About the author

mzalendo